Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamefunga vibwebwe tuKibu mabange na kapama wamefunga lini?
Mbumbumbu kazini, awakosagi kichaka cha kujifichia,,watu wanaangalia ushindi wewe unamuangalia mtu mmoja kwenye timu kwani mayele asipofunga na timu ikashinda kuna shida gani? Nyie si ndio mlikuwa mnaimba wimbo wa kwamba yanga inamtegemea mayele peke yake asipokuwepo timu inayumba sasa ajafunga wamefunga wengine mnaanza povu tena kolowizad ndo linatoa povu acheni bangiLeo (13/11/2022) imetimia miezi miwili (siku 62) tangu yule mshambuliaji 'machachari' Fiston Mayele afunge goli katika NBC PL. Ikumbukwe Mayele ndiyo mchezaji pekee ambaye 'tunaimani' anaenda kutuvusha group stage ya CAFCC mbele ya Pyramid na TP Mazembe.
Wanayanga kipindi 'tunaendelea' kuhesabu ile rekodi yetu ya unbeaten katika NBC PL, tukumbuke kuhesabu na hii rekodi ya mshambuliaji 'machachari' Fiston Mayele.
NB: Nashauri mechi ijayo ya NBC PL (17/11/2022) dhidi ya Singida Big Stars (tawi letu), tusimame na kupiga makofi katika dk ya 46 na 66 ili kuzienzi rekodi zetu zifuatazo:-
1. Yanga SC kucheza mechi 46 bila kupoteza mechi.
2. Fiston Mayele kutimiza siku 66 tangu mara ya mwisho alipofunga goli katika NBC PL.
View attachment 2415888
View attachment 2415890
Mbumbumbu kazini, awakosagi kichaka cha kujifichia,,watu wanaangalia ushindi wewe unamuangalia mtu mmoja kwenye timu kwani mayele asipofunga na timu ikashinda kuna shida gani? Nyie si ndio mlikuwa mnaimba wimbo wa kwamba yanga inamtegemea mayele peke yake asipokuwepo timu inayumba sasa ajafunga wamefunga wengine mnaanza povu tena kolowizad ndo linatoa povu acheni bangi
We boya la umbumbuni utamshauri nani kwa mfano, unashindwa kuwashauri kina kibu denis, kina boko unakuja kuongelea habari za kutokufunga kwa mayele, basi tufanye ajafunga mmemzidi nini kwenye msimamo? Timu yake inaongoza ligi tena kwa pira la maana akuna cha ugenini wala nyumbani wewe na timu yako endeleeni kumuangalia mayele atawapa point za kukaa kileleni asipofungaShida yenu ndo hii mkishiba mihigo ya kuchemsha akili nazi zinapotea. Leo mshambualiaji wenu 'machachari', na tegemeo hajafunga goli miezi miwili mnaona kawaida tu, kisa mnashinda goli moja moja. Siku hao kina Feisal hawatafunga ndo akili itakaa sawa. Sasa hapo sijui mtamlaumu Feisal au ndo mtarudi kwa Mayele kumsagia kunguni? Shauri yenu.
We boya la umbumbuni utamshauri nani kwa mfano, unashindwa kuwashauri kina kibu denis, kina boko unakuja kuongelea habari za kutokufunga kwa mayele, basi tufanye ajafunga mmemzidi nini kwenye msimamo? Timu yake inaongoza ligi tena kwa pira la maana akuna cha ugenini wala nyumbani wewe na timu yako endeleeni kumuangalia mayele atawapa point za kukaa kileleni asipofunga
Atafunga tu....muda upoMkuu hakuna mtu anayeumia. Ni suala la kuweka kumbukumbu sawa, ili hata wanetu wakikua watambue kua kuna 'mshambuliaji machachari' aliwahi kupita Yanga SC ambapo msimu wa kwanza alikua mfungaji bora, msimu uliofata alitumia siku 62 (japo siku zinaongezeka) bila kufunga goli hata la offside.
Mbona mwateseka sana nyie Mikia FC.Leo (13/11/2022) imetimia miezi miwili (siku 62) tangu yule mshambuliaji 'machachari' Fiston Mayele afunge goli katika NBC PL. Ikumbukwe Mayele ndiyo mchezaji pekee ambaye 'tunaimani' anaenda kutuvusha group stage ya CAFCC mbele ya Pyramid na TP Mazembe.
Wanayanga kipindi 'tunaendelea' kuhesabu ile rekodi yetu ya unbeaten katika NBC PL, tukumbuke kuhesabu na hii rekodi ya mshambuliaji 'machachari' Fiston Mayele.
NB: Nashauri mechi ijayo ya NBC PL (17/11/2022) dhidi ya Singida Big Stars (tawi letu), tusimame na kupiga makofi katika dk ya 46 na 66 ili kuzienzi rekodi zetu zifuatazo:-
1. Yanga SC kucheza mechi 46 bila kupoteza mechi.
2. Fiston Mayele kutimiza siku 66 tangu mara ya mwisho alipofunga goli katika NBC PL.
View attachment 2415888
View attachment 2415890
Mkuu hakuna mtu anayeumia. Ni suala la kuweka kumbukumbu sawa, ili hata wanetu wakikua watambue kua kuna 'mshambuliaji machachari' aliwahi kupita Yanga SC ambapo msimu wa kwanza alikua mfungaji bora, msimu uliofata alitumia siku 62 (japo siku zinaongezeka) bila kufunga goli hata la offside.
Nasikia wahuni wamempiga misumari Phiri. Sijamsikia kabisa kwa siku za karibuni
Simba gani anakula miwa? Wanyama wa Dar shida tupuMkuu kipindi tunamuadhibu 5-0 Mtibwa Sugar juzi juzi paha, ulikua nchini? Kama hukuwepo, basi taarifa ikufikie Mnyama aliitafuna miwa ya Mtibwa vilivyo huku, General Moses Phiri a.k.a Moses of Our Time akifunga goli bora kabisa.
Mkuu hakuna mtu anayeumia. Ni suala la kuweka kumbukumbu sawa, ili hata wanetu wakikua watambue kua kuna 'mshambuliaji machachari' aliwahi kupita Yanga SC ambapo msimu wa kwanza alikua mfungaji bora, msimu uliofata alitumia siku 62 (japo siku zinaongezeka) bila kufunga goli hata la offside.
Basi tufanye Mayele ni mbovu maana timu yenu isha shindwa kuwapa furaha mnatafta furaha bandiaMkuu hakuna mtu anayeumia. Ni suala la kuweka kumbukumbu sawa, ili hata wanetu wakikua watambue kua kuna 'mshambuliaji machachari' aliwahi kupita Yanga SC ambapo msimu wa kwanza alikua mfungaji bora, msimu uliofata alitumia siku 62 (japo siku zinaongezeka) bila kufunga goli hata la offside.
Ambao hawapati furaha huku ushuani wa kimataifani basi hao ni mamluki.Basi tufanye Mayele ni mbovu maana timu yenu isha shindwa kuwapa furaha mnatafta furaha bandia
Jana hajafunga Feisal wala Mayele ila tumeshida tutakutana hapa mwisho wa msimuShida yenu ndo hii mkishiba mihigo ya kuchemsha akili nazi zinapotea. Leo mshambualiaji wenu 'machachari', na tegemeo hajafunga goli miezi miwili mnaona kawaida tu, kisa mnashinda goli moja moja. Siku hao kina Feisal hawatafunga ndo akili itakaa sawa. Sasa hapo sijui mtamlaumu Feisal au ndo mtarudi kwa Mayele kumsagia kunguni? Shauri yenu.
Mayele ana mechi zake mfano huo apo [emoji116]Ambao hawapati furaha huku ushuani wa kimataifani basi hao ni mamluki.