Achana na rekodi ya 'Unbeatean', Wanayanga hii rekodi pia 'Tuishi Nayo'

Achana na rekodi ya 'Unbeatean', Wanayanga hii rekodi pia 'Tuishi Nayo'

Hili nalo wana Yanga mlitazame
JamiiForums-1290500738.jpg
JamiiForums-1379199085.jpg
 
Na uchawi wake wakugusa nyavu za mpinzani kabla ya mechi umeisha nguvu.
 
Hili suala linamtesa sana 'mshambuliaji machachari' Mayele. Lakini kwa 'ubora mkumbwa alionao' naimani zile hat trick alizowagonga Zalan zinaenda kujirudia mbele ya Pyramid na TP Mazembe katka group stage ya CAFCC.
Na jana licha ya kuchoka lakini kocha aliamua kumuacha.
 
Mkuu hakuna mtu anayeumia. Ni suala la kuweka kumbukumbu sawa, ili hata wanetu wakikua watambue kua kuna 'mshambuliaji machachari' aliwahi kupita Yanga SC ambapo msimu wa kwanza alikua mfungaji bora, msimu uliofata alitumia siku 62 (japo siku zinaongezeka) bila kufunga goli hata la offside.
Niambie huo msimu ambao alikuwa ni mfungaji bora ni msimu upi huo?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Niambie huo msimu ambao alikuwa ni mfungaji bora ni msimu upi huo?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app

Msimu wa 2021/22 alikua mfungaji bora wa 'Mabingwa Watarajiwa wa CAFCC' Yanga SC huku katika NBCPL bila figisu za 'Wale Jamaa' huku nako angeondoka na kiatu cha mfungaji bora.
 
Msimu wa 2021/22 alikua mfungaji bora wa 'Mabingwa Watarajiwa wa CAFCC' Yanga SC huku katika NBCPL bila figisu za 'Wale Jamaa' huku nako angeondoka na kiatu cha mfungaji bora.
Kwani ligi imeisha hawezi kuwa mfungaji bora tena wa Yanga ? Halafu icho unachikiongea wewe hata nsimu uliopita alikaa muda mrefu pasipo kufunga kama sikosei baada ya mechi ya Simba dhidi ya Yanga alipobanwa na Inonga ilimchukua muda mrefu tu kuja kufunga tena goli sasa ajabu ni kipi hapo?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Hili suala linamtesa sana 'mshambuliaji machachari' Mayele. Lakini kwa 'ubora mkumbwa alionao' naimani zile hat trick alizowagonga Zalan zinaenda kujirudia mbele ya Pyramid na TP Mazembe katka group stage ya CAFCC.
Timu pekee aliyoifunga magoli mawili msimu huu ni Simba

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Chukua magoli ya msimu huu ya John Bocco , changanya na ya Kibu Denic alafu katiakatia na magoli ya Okwa bado hawamfikii Clement Mzinza [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]....!!!!!
Hii nayo ni aina nyingine ya aibu
Bila kusahau magoli ya mamakambo + kishindwa + molokoko hayafikii yale ya mzungu Dejani japo alishaondoka siku nyingi

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Leo (13/11/2022) imetimia miezi miwili (siku 62) tangu yule mshambuliaji 'machachari' Fiston Mayele afunge goli katika NBC PL. Ikumbukwe Mayele ndiyo mchezaji pekee ambaye 'tunaimani' anaenda kutuvusha group stage ya CAFCC mbele ya Pyramid na TP Mazembe.

Wanayanga kipindi 'tunaendelea' kuhesabu ile rekodi yetu ya unbeaten katika NBC PL, tukumbuke kuhesabu na hii rekodi ya mshambuliaji 'machachari' Fiston Mayele.

NB: Nashauri mechi ijayo ya NBC PL (17/11/2022) dhidi ya Singida Big Stars (tawi letu), tusimame na kupiga makofi katika dk ya 46 na 66 ili kuzienzi rekodi zetu zifuatazo:-

1. Yanga SC kucheza mechi 46 bila kupoteza mechi.
2. Fiston Mayele kutimiza siku 66 tangu mara ya mwisho alipofunga goli katika NBC PL.

View attachment 2415888
View attachment 2415890
Kwako studio, tunaomba mrejesho huku
 
Leo (13/11/2022) imetimia miezi miwili (siku 62) tangu yule mshambuliaji 'machachari' Fiston Mayele afunge goli katika NBC PL. Ikumbukwe Mayele ndiyo mchezaji pekee ambaye 'tunaimani' anaenda kutuvusha group stage ya CAFCC mbele ya Pyramid na TP Mazembe.

Wanayanga kipindi 'tunaendelea' kuhesabu ile rekodi yetu ya unbeaten katika NBC PL, tukumbuke kuhesabu na hii rekodi ya mshambuliaji 'machachari' Fiston Mayele.

NB: Nashauri mechi ijayo ya NBC PL (17/11/2022) dhidi ya Singida Big Stars (tawi letu), tusimame na kupiga makofi katika dk ya 46 na 66 ili kuzienzi rekodi zetu zifuatazo:-

1. Yanga SC kucheza mechi 46 bila kupoteza mechi.
2. Fiston Mayele kutimiza siku 66 tangu mara ya mwisho alipofunga goli katika NBC PL.

View attachment 2415888
View attachment 2415890
Mbona kimya?
 
Leo (13/11/2022) imetimia miezi miwili (siku 62) tangu yule mshambuliaji 'machachari' Fiston Mayele afunge goli katika NBC PL. Ikumbukwe Mayele ndiyo mchezaji pekee ambaye 'tunaimani' anaenda kutuvusha group stage ya CAFCC mbele ya Pyramid na TP Mazembe.

Wanayanga kipindi 'tunaendelea' kuhesabu ile rekodi yetu ya unbeaten katika NBC PL, tukumbuke kuhesabu na hii rekodi ya mshambuliaji 'machachari' Fiston Mayele.

NB: Nashauri mechi ijayo ya NBC PL (17/11/2022) dhidi ya Singida Big Stars (tawi letu), tusimame na kupiga makofi katika dk ya 46 na 66 ili kuzienzi rekodi zetu zifuatazo:-

1. Yanga SC kucheza mechi 46 bila kupoteza mechi.
2. Fiston Mayele kutimiza siku 66 tangu mara ya mwisho alipofunga goli katika NBC PL.

View attachment 2415888
View attachment 2415890
We Maku upo?
 
Mayele alikuwa likizo lakini still ndiye top score wa NBC [emoji16][emoji16] makolo na wachambuzi wenu wa mchongo mnatapa mnoo
 
Back
Top Bottom