Achana na rekodi ya 'Unbeatean', Wanayanga hii rekodi pia 'Tuishi Nayo'

Mbumbumbu kazini, awakosagi kichaka cha kujifichia,,watu wanaangalia ushindi wewe unamuangalia mtu mmoja kwenye timu kwani mayele asipofunga na timu ikashinda kuna shida gani? Nyie si ndio mlikuwa mnaimba wimbo wa kwamba yanga inamtegemea mayele peke yake asipokuwepo timu inayumba sasa ajafunga wamefunga wengine mnaanza povu tena kolowizad ndo linatoa povu acheni bangi
 

Shida yenu ndo hii mkishiba mihigo ya kuchemsha akili nazi zinapotea. Leo mshambualiaji wenu 'machachari', na tegemeo hajafunga goli miezi miwili mnaona kawaida tu, kisa mnashinda goli moja moja. Siku hao kina Feisal hawatafunga ndo akili itakaa sawa. Sasa hapo sijui mtamlaumu Feisal au ndo mtarudi kwa Mayele kumsagia kunguni? Shauri yenu.
 
We boya la umbumbuni utamshauri nani kwa mfano, unashindwa kuwashauri kina kibu denis, kina boko unakuja kuongelea habari za kutokufunga kwa mayele, basi tufanye ajafunga mmemzidi nini kwenye msimamo? Timu yake inaongoza ligi tena kwa pira la maana akuna cha ugenini wala nyumbani wewe na timu yako endeleeni kumuangalia mayele atawapa point za kukaa kileleni asipofunga
 


Jana Nabi mwenyewe kakiri hajawahi kuona timu inacheza mpira mbovu kama wa jana.. Alafu linaibuka jitu linadai timu yake inaongoza ligi kwa pira la maana kisa limeshiba mihigo ya ofa toka kwa Ashura Cheupe. Shauri yenu, endeleeni tu kushupaza shingo.

NB: Kuhusu msimamo wa ligi tutakutana mwisho wa ligi.
 
Nasikia wahuni wamempiga misumari Phiri. Sijamsikia kabisa kwa siku za karibuni
 
Atafunga tu....muda upo
 
Mbona mwateseka sana nyie Mikia FC.
 

Cc Ulimakafu
 
Nasikia wahuni wamempiga misumari Phiri. Sijamsikia kabisa kwa siku za karibuni

Mkuu kipindi tunamuadhibu 5-0 Mtibwa Sugar juzi juzi paha, ulikua nchini? Kama hukuwepo, basi taarifa ikufikie Mnyama aliitafuna miwa ya Mtibwa vilivyo huku, General Moses Phiri a.k.a Moses of Our Time akifunga goli bora kabisa.
 
Mkuu kipindi tunamuadhibu 5-0 Mtibwa Sugar juzi juzi paha, ulikua nchini? Kama hukuwepo, basi taarifa ikufikie Mnyama aliitafuna miwa ya Mtibwa vilivyo huku, General Moses Phiri a.k.a Moses of Our Time akifunga goli bora kabisa.
Simba gani anakula miwa? Wanyama wa Dar shida tupu
 

Cc changaule
 
Basi tufanye Mayele ni mbovu maana timu yenu isha shindwa kuwapa furaha mnatafta furaha bandia
 
Jana hajafunga Feisal wala Mayele ila tumeshida tutakutana hapa mwisho wa msimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…