Achana na Toyota IST chukua huyu mnyama

Achana na Toyota IST chukua huyu mnyama

High Vampire

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
2,915
Reaction score
2,134
Kampuni ya Audi ni kampuni ya magari ya kijerumani inayotengeneza magari ya Aina mbalimbali ni kampuni ya kijanja Kwa kijana na mtu anayejielewa Kwa bongo hapa IST imekuwa gari ya taifa [emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbadala wake ni Audi A1 gari Safi Kwa Bei Safi na toleo la hivi karibuni.

Kama Una ndoto ya kumiliki Toyota IST Bora ukanunua Audi A1 hutajuta

BK185046_af7571.jpg
 
Kampuni ya Audi ni kampuni ya magari ya kijerumani inayotengeneza magari ya Aina mbalimbali ni kampuni ya kijanja Kwa kijana na mtu anayejielewa Kwa bongo hapa IST imekuwa gari ya taifa [emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbadala wake ni Audi A1 gari Safi Kwa Bei Safi na toleo la hivi karibuni
Kama Una ndoto ya kumiliki Toyota IST Bora ukanunua Audi A1 hutajuta View attachment 2072547View attachment 2072548
I think umewalenga wanaonunua Ist new model maana hiyo ndio at least bei yake inalingana na hii ila you get value for money kwenye audi a1 kuliko kwenye hiyo IST new model...

Urahisi wa ist new model ni kwenye kupatikana spea ila bei ya spea bado ni mlima.

Ukiua gearbox andaa 2m kwenye hiyo IST new model...Hapo sijapigia hesabu hela ya ufundi plus laki 2 na upuuzi ya kununua Oil ya CVT gearbox....
 
Mbona hujaweka size ya injini. Hii inanusa au inapuliza mafuta. IST inanusa ndio maana tunaipenda wese kidogo trip kibao.
Hebu tuchukue Audi A1 ambayo ina engine ya 1.4L Turbo halafu direct injection(FSI). Inaproduce 122HP tofauti na IST ambayo inaproduce 104HP with 1.5L.

Highway inakupa around 23Km/L wakati mjini inakupa around 16Km/L

Na kwa kuongezea tu Audi ya 1.4L inakuja na gearbox ya 7 speed S-tronic(Hii ni Direct shift gearbox),

Hizo dsg zimefungwa kwenye hatchback na sedan nyingi sana za mzungu tena performance cars kuanzia M sport kwenye bmw, AMG kwenye mercedes, R, RS kwenye audi na R, R-line kwenye VW

Sasa mwenye IST akikukuta barabarani anawaweza akahisi wewe ni mwenzake akataka akutunishie misuli kwamba anaweza ligi.... Weeeee atapasua block hivihivi anajiona.
 
I think umewalenga wanaonunua Ist new model maana hiyo ndio at least bei yake inalingana na hii ila you get value for money kwenye audi a1 kuliko kwenye hiyo IST new model...

Urahisi wa ist new model ni kwenye kupatikana spea ila bei ya spea bado ni mlima.

Ukiua gearbox andaa 2m kwenye hiyo IST new model...Hapo sijapigia hesabu hela ya ufundi plus laki 2 na upuuzi ya kununua Oil ya CVT gearbox....
Unaiua gearbox ya IST ukiwa unafanya Nini?
 
Back
Top Bottom