Abdalla mpemba
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 657
- 908
zina patikana chatoSpea zinapatikana wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zina patikana chatoSpea zinapatikana wapi?
Yes Audi zinaua gearbox hasa zenye gearbox za DSG...
Lakini hiyo gearbox ni kama gearbox ya manual.... Utofauti tu ni kwamba hiyo inakuwa na Dual clutch.... Kam hukumess up kwenye services basi mara nyingi kinachokufa ni hizo clutch....
Clutch zinaweza kuwa Dry au Wet....
Kwa ulaya naonaga wanabadili hizo clutch na maisha yanaendelea... Ila kibongobongo ndio imeisha hiyo....
Ulaya pia huwa wanakuwa na Overhaul kit za hizi gearbox za kawaida ila Bongo hazipo.
Mjerumani kaamua kukimbizana na mjapani mpk kaja na audi ya cc 13901,390cc ndio injini yake mafuta inanusa Tu zaidi ya IST huku kukiwa na mifumo ya umeme ya kijanja kabisa
Na nyingi zina DSG.... Kama hiyo A1 wametoa Automatic zenye DSG na manual tu... hakuna matoleo mengine....Shukrani mkuu,
Hivyo ushauri wako ni kama mtu anataka nunua Audi, at any cost inabidi kuavoid yenye iko na DSG gearbox?
Cc1390 kuna toleo moja engine inaproduce Horsepower 185....Mjerumani kaamua kukimbizana na mjapani mpk kaja na audi ya cc 1390
Na nyingi zina DSG.... Kama hiyo A1 wametoa Automatic zenye DSG na manual tu... hakuna matoleo mengine....
Pia siyo rahisi sana kujua kama gari ina DSG... Unless uwe umeendesha.... Au uchimbe sana mtandaoni.
Gari gani ambayo sio hybrid ya cc hizo ikupe 23km/L 😁Hebu tuchukue Audi A1 ambayo ina engine ya 1.4L Turbo halafu direct injection(FSI). Inaproduce 122HP tofauti na IST ambayo inaproduce 104HP with 1.5L.
Highway inakupa around 23Km/L wakati mjini inakupa around 16Km/L
Na kwa kuongezea tu Audi ya 1.4L inakuja na gearbox ya 7 speed S-tronic(Hii ni Direct shift gearbox),
Hizo dsg zimefungwa kwenye hatchback na sedan nyingi sana za mzungu tena performance cars kuanzia M sport kwenye bmw, AMG kwenye mercedes, R, RS kwenye audi na R, R-line kwenye VW
Sasa mwenye IST akikukuta barabarani anawaweza akahisi wewe ni mwenzake akataka akutunishie misuli kwamba anaweza ligi.... Weeeee atapasua block hivihivi anajiona.
Kuna Audi q2 ina cc 1000 unapata hizo kilometresGari gani ambayo sio hybrid ya cc hizo ikupe 23km/L [emoji16]
Kwan variable valve timing kwenye IST hamnaOkay gari za ulaya zinakuwa na perfomance nzuri sababu ya vitu kama hivi...
Hako kagari unaweza ukakuta kana...
EGR
Secondary air injection pump
Stratified fuel injection
Variable valve timing
Valve tronic
Na mengine mengi... Vitu ambavyo ni rarely kuvikuta kwenye engine za mjapani....
Kwa hio unasema gari za Germany zilikuwa zinaanzia cc ngap?Mjerumani kaamua kukimbizana na mjapani mpk kaja na audi ya cc 1390
Nina golf 5 sasa huu ni mwaka wa tano sijawahi sumbuliwa na kitu chochote zaidi ya kumwaga oil na kuweka mafuta kwa petrol station zinazoaminikaNimekuwa nikisikia mafundi kadhaa wakiwaasa watu wasinunue Audi sababu zinakufa sana gearbox, kuna ukweli?
Hahahahahha sasa ni uamuzi kubaki kwenye Toyota au ukimbie kuleMjerumani kaamua kukimbizana na mjapani mpk kaja na audi ya cc 1390
Muhimu sana.. utelezi ujariwe ( caring) kuna mtu na IST yake ataka aanzishe ligi 😂😂😂mambo yako hayo mkuu
Mimi nitakuja na Suzuki Cappuccino ya mwaka 1996 Ina 660cc nikianzisha ligi hutonipataMuhimu sana.. utelezi ujariwe ( caring) kuna mtu na IST yake ataka aanzishe ligi 😂😂😂
View attachment 2073125View attachment 2073126View attachment 2073127View attachment 2073128
😀😀 sitokupata utaelekea wapi aseeMimi nitakuja na Suzuki Cappuccino ya mwaka 1996 Ina 660cc nikianzisha ligi hutonipata
Nitatangulia kufika Kabla yako na kufanya uvuvi wa samaki wakubwa sana.😀😀 sitokupata utaelekea wapi asee
labda tunda cappuccino una maanisha eeh!! 😂😂😂Nitatangulia kufika Kabla yako na kufanya uvuvi wa samaki wakubwa sana.
HuWa nainjoi Sana na comments zako hasa kwenye magari ya mzungu.....Kwa kifupi magari yetu ya Toyota mengi ni 4 speed transmission hapa ndipo shida inapoanza ingawa wengi wanoendesha haya magari ya kijapan hawajui kuwa gari yake haina uwezo WA kubishana na mjerumani.Hebu tuchukue Audi A1 ambayo ina engine ya 1.4L Turbo halafu direct injection(FSI). Inaproduce 122HP tofauti na IST ambayo inaproduce 104HP with 1.5L.
Highway inakupa around 23Km/L wakati mjini inakupa around 16Km/L
Na kwa kuongezea tu Audi ya 1.4L inakuja na gearbox ya 7 speed S-tronic(Hii ni Direct shift gearbox),
Hizo dsg zimefungwa kwenye hatchback na sedan nyingi sana za mzungu tena performance cars kuanzia M sport kwenye bmw, AMG kwenye mercedes, R, RS kwenye audi na R, R-line kwenye VW
Sasa mwenye IST akikukuta barabarani anawaweza akahisi wewe ni mwenzake akataka akutunishie misuli kwamba anaweza ligi.... Weeeee atapasua block hivihivi anajiona.