Achana na Toyota IST chukua huyu mnyama

Achana na Toyota IST chukua huyu mnyama

labda tunda cappuccino una maanisha eeh!! 😂😂😂
Hii hapa
BK170480_a91ea6.jpg
 
Gari gani ambayo sio hybrid ya cc hizo ikupe 23km/L 😁

Okay Calm Down

Imagine Audi zile za miaka ya 2000 ukiikuta A4 yenye 2.0 tena siyo FSI na haina S tronic Transmission inakupa 15Km/L highway.

Hiyo gari tunaizungumzia hapa ni gari ya 2011, Ina Cc1390, Ni FSI, Ina 7 speed S-tronic na tech mengine ya kutisha....

Weee amka usingizini.

Hiyo ingekuwa Hybrid ingekupa hata 50Km/L. 🤣🤣🤣
 
Wewe unamiliki gari gani?...
Unafikiri watu wanapenda IST sababu ya mafuta tu et
Ndio maana mimi nilisema mwanzo badala ya kununua IST new model bora kununua hiyo A1... Sababu haya kwenye hiyo IST new model bado hutopata unafuu kwenye spea...

Mnawasemaga wajerumani kwamba Ooooh Oil zenu gharama. Oil ya CVT ya kwenye IST new model ni laki na upuuzi.

Kama unazungumzia IST old model sawa.
 
HuWa nainjoi Sana na comments zako hasa kwenye magari ya mzungu.....Kwa kifupi magari yetu ya Toyota mengi ni 4 speed transmission hapa ndipo shida inapoanza ingawa wengi wanoendesha haya magari ya kijapan hawajui kuwa gari yake haina uwezo WA kubishana na mjerumani.

Kwa mfano Volkswagen golf GTi ni 7 speed transmission(DSG) alafu ina turbocharger, dashboard yake inasoma speed 300 km/h SASA bila kuelewa unakuta mwenye Toyota runx au allex anataka kubishana nalo kwasababu Tu inafanana muundo WA body

Acha na Hiyo Kuna VW Golf R nyingi tu Top speed ni 320....

Kigari kidogo ila balaa lake lisikie tu....
 
Nunueni tu jamani, Audi is a very good car ila tukumbuke tu Bush zake sio za elfu 25 wala ball joint zake sio za elfu 25!

Economy ya sheli inaweza kuwa nzuri ila tukumbuke filter na engine oil service haitapungua 200K.

Msije kumtafuta mchawi tu😅
Unajua fika Service utafanya lini... Agiza Filter nje....

Au service ya Gari huwa inatokea ghafla?
 
Back
Top Bottom