Ndo hivyo bhana... So hapo asiyejua magari ataweka kiweze cha 10 ubungo anajua atatoboa kibaha....wao walipachika ile size ya engine ya uongo, ni sawa na kuna Benz E 500 ambayo ni V8 na ina CC 5... jamaa wamendika ina 2000.. ukicheki pale ndio wanajidai typinge error wanaanza kukushawishi upyaa, madalali wengi janja sanaa
Wanakamata watu ambao hawana uelewa na magari.Hizo badge zinabandikwa tu.
Hakuna M5 hapo.
So far najua bongo kuna M3 tu. M5 labda ipo ila sifahamu.
😂😂😂😂 atafurahia na roho yakwNdo hivyo bhana... So hapo asiyejua magari ataweka kiweze cha 10 ubungo anajua atatoboa kibaha....
Atashangazwa....
Upo vizuri kwa analysis na kuyajua mavyombo ya wazungu!!Hebu tuchukue Audi A1 ambayo ina engine ya 1.4L Turbo halafu direct injection(FSI). Inaproduce 122HP tofauti na IST ambayo inaproduce 104HP with 1.5L.
Highway inakupa around 23Km/L wakati mjini inakupa around 16Km/L
Na kwa kuongezea tu Audi ya 1.4L inakuja na gearbox ya 7 speed S-tronic(Hii ni Direct shift gearbox),
Hizo dsg zimefungwa kwenye hatchback na sedan nyingi sana za mzungu tena performance cars kuanzia M sport kwenye bmw, AMG kwenye mercedes, R, RS kwenye audi na R, R-line kwenye VW
Sasa mwenye IST akikukuta barabarani anawaweza akahisi wewe ni mwenzake akataka akutunishie misuli kwamba anaweza ligi.... Weeeee atapasua block hivihivi anajiona.
Hiyo ni nadra kutokea.huko kwenye audi haiwezekani kuwekewa hiyo gear box isiyoyenyewe ila kwenye ist ndiyo inawezekana kirahisi.Tunazungumzia parts zinazokufa regulary upatikanaji wake ukoje na bei baina ya hayo magari.uki miliki gari ndiyo utanielewa ninachouliza
Tena kama Toyota IST toleo jipya kuanzia 2008 Hadi 2016 ndio mwisho WA kuzalishwa bei kubwa ndani mazagazaga machache Bora uende Kwa mjerumani unapata bei kawaida mazagazaga mengi ya kijanja kijanjaAudi watu wengi hawaweki oil kwa kila fundi...
At least mtu anaangalia sehemu ya kufanyia service gari yake.
Hiyo ya IST kumix Oil siyo story niliyosikia kwa mtu... Ni watu nakutana nayo mara nyingi sana....
Kuna Oils ukiweka kwenye hizo gearbox za CVT kitendo cha kumaliza kuweka Oil gari inakuwa haina hata uwezo wa kupanda kajiwe kadogo.
Mkuu nadhani ni utunzaji wa mtu, Kuna Convertible zimetunzwa na zinafanya kazi kwa Zaidi ya Miaka 20 zipo hapa Bongo.Na hilo vumbi barabarani utaikataa gari yako baada ya week tu.
Kila sehemu kumejaa vumbi.
Convertible nenda majiji yalio masafi, sio hapa bongo.
Najua.Mkuu nadhani ni utunzaji wa mtu, Kuna Convertible zimetunzwa na zinafanya kazi kwa Zaidi ya Miaka 20 zipo hapa Bongo.
Hizi gari bado zipo chache sana sokoni af bei mkasi....Tena kama Toyota IST toleo jipya kuanzia 2008 Hadi 2016 ndio mwisho WA kuzalishwa bei kubwa ndani mazagazaga machache Bora uende Kwa mjerumani unapata bei kawaida mazagazaga mengi ya kijanja kijanja
Sawa mjapani wa jf.usifananishe IST na vitu ajabu [emoji593]
Tupe experience mkuu....View attachment 2074019
Potelea mbali, as long as huyu mjapan anani muvuzisha kutoka Point A kwende point B, mambo ni bam bam[emoji91][emoji91][emoji91]
Kuna Wazee wa Kwa Madiba, ninawajua Wapo smart sana miaka ya 2000 walikuja na Benz Convertible na Mpaka sasa Wana CLK Benz Convertible gari zao Safi na huwa wakiwa mitaani wanafungua inakuwa wazi.Najua.
Ninachoongelea ni kuchafuka kwa ndani ya gari kwa vumbi. Hata gari ya kawaida, ukishusha kioo tu, unakula knobs zimeshaanza shika vumbi. Sasa ukishusha paa lote ndo utajua hujui.
[emoji28][emoji28][emoji28]dahzina patikana chato
Mzee1,390cc ndio injini yake mafuta inanusa Tu zaidi ya IST huku kukiwa na mifumo ya umeme ya kijanja kabisa