Achana na UTT, unazijua "Mutual Funds" za sekta binafsi?

Achana na UTT, unazijua "Mutual Funds" za sekta binafsi?

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
6,958
Reaction score
16,358
INTRODUCTION:-
Mpo raia wotee hasa chama langu la KATAA NDOA??
Mmejiandaaje na 23/09 THE REVOLUTION DAY??

BODY:-
Anyway; turudi kwenye mada.

Ukitoa hizi harakati za ""KATAA NDOA"" mimi bana ni msomi, sijui nijiite hivyo??

Ila kifupi nina elimu ya Finance, Economics, and Investment niliyoipatia kwenye Degree na Masters.

Ilikuwa kidogoo niende kusoma PhD duniani huko ila nilighairi na kuamua ""Kutafuta hela kwenye biashara"".
Nakiri wazi ""Napenda hela balaaaa""

Sasa hapa naongea na wale wanaona wao kwao biashara ni risk na kuamua kukimbilia kwenye Passive income.
Ila ndugu zangu hata Active income ""You can make money while sleeping..!!!""
Hivyo msikimbie sanaa biashara.
SCENARIO.
Humu ndani raia huwa wanaongelea sanaa Mutual Fund, ila huongelea mutual fund za taasisi mbili tu
1. 98% Wanaongelea UTT chini ya Wizara ya Fedha
2. 2% Wanaongelea FAIDA FUND chini ya Wizara ya Utumishi kupitia kwa Watumishi Housing.
ila je mnajua kuwa zipo Mutual Fund za Sekta binafsi??

Hizi hapa....
1. Government.
UTT Amins Funds
 Faida Fund

2. Private.
Timiza Fund
Sanlam Investment Fund
 Alpha Halal Fund
Inuka Money Market Fund

CONCLUSION.
Kwanini uwekeze tu kwenye UTT hizi nyengine umezisoma ukazielewa au UNAZIJUA HATA??

Siku zotee kabla hujaamua kufanya jambo, lisome kwanza halafu lielewe, halafu ndio ufanye maamuzi SAHIHI.
Karibuni kwa maswali kuhusu MUTUAL FUND.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Mkuu mfano nina m 60 nataka niweke, alafu niwe na take gawio kila mwz inawezekan?, kwa muda gani huwa limit? Na kiasi gan nawez kuchukua?

even hata 1 B inawezekana ku wek huko?
INTRODUCTION:-
Mpo raia wotee hasa chama langu la KATAA NDOA??
Mmejiandaaje na 23/09 THE REVOLUTION DAY??

BODY:-
Anyway; turudi kwenye mada.

Ukitoa hizi harakati za ""KATAA NDOA"" mimi bana ni msomi, sijui nijiite hivyo??

Ila kifupi nina elimu ya Finance, Economics, and Investment niliyoipatia kwenye Degree na Masters.

Ilikuwa kidogoo niende kusoma PhD duniani huko ila nilighairi na kuamua ""Kutafuta hela kwenye biashara"".
Nakiri wazi ""Napenda hela balaaaa""

Sasa hapa naongea na wale wanaona wao kwao biashara ni risk na kuamua kukimbilia kwenye Passive income.
Ila ndugu zangu hata Active income ""You can make money while sleeping..!!!""
Hivyo msikimbie sanaa biashara.
SCENARIO.
Humu ndani raia huwa wanaongelea sanaa Mutual Fund, ila huongelea mutual fund za taasisi mbili tu
1. 98% Wanaongelea UTT chini ya Wizara ya Fedha
2. 2% Wanaongelea FAIDA FUND chini ya Wizara ya Utumishi kupitia kwa Watumishi Housing.
ila je mnajua kuwa zipo Mutual Fund za Sekta binafsi??

Hizi hapa....
1. Government.
UTT Amins Funds
 Faida Fund

2. Private.
Timiza Fund
Sanlam Investment Fund
 Alpha Halal Fund
Inuka Money Market Fund

CONCLUSION.
Kwanini uwekeze tu kwenye UTT hizi nyengine umezisoma ukazielewa au UNAZIJUA HATA??

Siku zotee kabla hujaamua kufanya jambo, lisome kwanza halafu lielewe, halafu ndio ufanye maamuzi SAHIHI.
Karibuni kwa maswali kuhusu MUTUAL FUND.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Nmechek mkuu hao TIMIZA FUND speed yao ya upandaji wa vipande vyao ni hatari sana yani thamani ya kipande kinapanda kwa 0.04 kwa siku sio zile fursa kweli kikaja kilio.

Maana yake mtu ukiwa na 2,000,000 una wastani wa kupata 80,000 kwa siku
Mmmh ngoja wataalamu waje
Mkuu greater than mbona hukutupitisha humu.
 
Nmechek mkuu hao TIMIZA FUND speed yao ya upandaji wa vipande vyao ni hatari sana yani thamani ya kipande kinapanda kwa 0.04 kwa siku sio zile fursa kweli kikaja kilio.

Maana yake mtu ukiwa na 2,000,000 una wastani wa kupata 80,000 kwa siku
Mmmh ngoja wataalamu waje
Mkuu greater than mbona hukutupitisha humu.
Hebu fafanua kidogo, mie nimepiga hesabu nimepata Shs. 800 kwa siku.
 
Nmechek mkuu hao TIMIZA FUND speed yao ya upandaji wa vipande vyao ni hatari sana yani thamani ya kipande kinapanda kwa 0.04 kwa siku sio zile fursa kweli kikaja kilio.

Maana yake mtu ukiwa na 2,000,000 una wastani wa kupata 80,000 kwa siku
Mmmh ngoja wataalamu waje
Mkuu greater than mbona hukutupitisha humu.
Labda aje atuambie kuhusu security
 
80k??? Hizo hesabu zako haziko makini!
Nmechek mkuu hao TIMIZA FUND speed yao ya upandaji wa vipande vyao ni hatari sana yani thamani ya kipande kinapanda kwa 0.04 kwa siku sio zile fursa kweli kikaja kilio.

Maana yake mtu ukiwa na 2,000,000 una wastani wa kupata 80,000 kwa siku
Mmmh ngoja wataalamu waje
Mkuu greater than mbona hukutupitisha humu.
 
80k??? Hizo hesabu haziko makini
Hebu fafanua kidogo, mie nimepiga hesabu nimepata Shs. 800 kwa siku.
Nmerudia kupiga upya kwa njia ya vipande nmeona utofauti ila sio mbaya sana kwa 2m kukua ni 800 kwa siku of which sio mbaya kwa mfuko ambao umeanza July tu kwa performance yake unazidi mifuko mingi tu ya UTT

Swali langu jeh sio wakina Kaylinda
 
Nmechek mkuu hao TIMIZA FUND speed yao ya upandaji wa vipande vyao ni hatari sana yani thamani ya kipande kinapanda kwa 0.04 kwa siku sio zile fursa kweli kikaja kilio.

Maana yake mtu ukiwa na 2,000,000 una wastani wa kupata 80,000 kwa siku
Mmmh ngoja wataalamu waje
Mkuu greater than mbona hukutupitisha humu.
Du mbona sijaai sikia hiyo
 
Nmerudia kupiga upya kwa njia ya vipande nmeona utofauti ila sio mbaya sana kwa 2m kukua ni 800 kwa siku of which sio mbaya kwa mfuko ambao umeanza July tu kwa performance yake unazidi mifuko mingi tu ya UTT

Swali langu jeh sio wakina Kaylinda
Si kaylinda hao na ipo mingine mipya na inaonekana itaongezeka
 
INTRODUCTION:-
Mpo raia wotee hasa chama langu la KATAA NDOA??
Mmejiandaaje na 23/09 THE REVOLUTION DAY??

BODY:-
Anyway; turudi kwenye mada.

Ukitoa hizi harakati za ""KATAA NDOA"" mimi bana ni msomi, sijui nijiite hivyo??

Ila kifupi nina elimu ya Finance, Economics, and Investment niliyoipatia kwenye Degree na Masters.

Ilikuwa kidogoo niende kusoma PhD duniani huko ila nilighairi na kuamua ""Kutafuta hela kwenye biashara"".
Nakiri wazi ""Napenda hela balaaaa""

Sasa hapa naongea na wale wanaona wao kwao biashara ni risk na kuamua kukimbilia kwenye Passive income.
Ila ndugu zangu hata Active income ""You can make money while sleeping..!!!""
Hivyo msikimbie sanaa biashara.
SCENARIO.
Humu ndani raia huwa wanaongelea sanaa Mutual Fund, ila huongelea mutual fund za taasisi mbili tu
1. 98% Wanaongelea UTT chini ya Wizara ya Fedha
2. 2% Wanaongelea FAIDA FUND chini ya Wizara ya Utumishi kupitia kwa Watumishi Housing.
ila je mnajua kuwa zipo Mutual Fund za Sekta binafsi??

Hizi hapa....
1. Government.
UTT Amins Funds
 Faida Fund

2. Private.
Timiza Fund
Sanlam Investment Fund
 Alpha Halal Fund
Inuka Money Market Fund

CONCLUSION.
Kwanini uwekeze tu kwenye UTT hizi nyengine umezisoma ukazielewa au UNAZIJUA HATA??

Siku zotee kabla hujaamua kufanya jambo, lisome kwanza halafu lielewe, halafu ndio ufanye maamuzi SAHIHI.
Karibuni kwa maswali kuhusu MUTUAL FUND.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Naifahamu ila sijafuatilia Kwa undani
Screenshot_20240711-095745.jpg
 
Naomba nielekeze Sanlam Investment Fund inafanyaje kazi? Ndio naisikia sasa
Mutual fund zoteee duniani ni wawekezaji.
Wanachofanya, wanachukua/wanakusanya hela kwa wananchi halafu ile hela wanawekeza sehemu mbalimbali kama Hisa, Fixed, na Governmnet bonds.
Na kiwango cha mgao wako inategemea na bei ya kipande kwa hiyo siku.

Utofauti upo kwenye Kiwango cha kuingilia kwenye mfuko na "minimum amount" ya kununulia hivyo vipande (kuendelea kuwekeza).

Mfano; FAIDA FUND wao unaingilia na 10,000 na kuwekeza kila mara ni 5,000

Kwenye asilimia za faida, Mutual fund zotee TZ riba kwa mwaka hua ni 10% - 13%
Hii ni kutokana na kwamba bado Mutual fund bongo ni jambo geni.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom