Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
INTRODUCTION:-
Mpo raia wotee hasa chama langu la KATAA NDOA??
Mmejiandaaje na 23/09 THE REVOLUTION DAY??
BODY:-
Anyway; turudi kwenye mada.
Ukitoa hizi harakati za ""KATAA NDOA"" mimi bana ni msomi, sijui nijiite hivyo??
Ila kifupi nina elimu ya Finance, Economics, and Investment niliyoipatia kwenye Degree na Masters.
Ilikuwa kidogoo niende kusoma PhD duniani huko ila nilighairi na kuamua ""Kutafuta hela kwenye biashara"".
Nakiri wazi ""Napenda hela balaaaa""
Sasa hapa naongea na wale wanaona wao kwao biashara ni risk na kuamua kukimbilia kwenye Passive income.
Ila ndugu zangu hata Active income ""You can make money while sleeping..!!!""
Hivyo msikimbie sanaa biashara.
SCENARIO.
Humu ndani raia huwa wanaongelea sanaa Mutual Fund, ila huongelea mutual fund za taasisi mbili tu
1. 98% Wanaongelea UTT chini ya Wizara ya Fedha
2. 2% Wanaongelea FAIDA FUND chini ya Wizara ya Utumishi kupitia kwa Watumishi Housing.
ila je mnajua kuwa zipo Mutual Fund za Sekta binafsi??
Hizi hapa....
1. Government.
UTT Amins Funds
Faida Fund
2. Private.
Timiza Fund
Sanlam Investment Fund
Alpha Halal Fund
Inuka Money Market Fund
CONCLUSION.
Kwanini uwekeze tu kwenye UTT hizi nyengine umezisoma ukazielewa au UNAZIJUA HATA??
Siku zotee kabla hujaamua kufanya jambo, lisome kwanza halafu lielewe, halafu ndio ufanye maamuzi SAHIHI.
Karibuni kwa maswali kuhusu MUTUAL FUND.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mpo raia wotee hasa chama langu la KATAA NDOA??
Mmejiandaaje na 23/09 THE REVOLUTION DAY??
BODY:-
Anyway; turudi kwenye mada.
Ukitoa hizi harakati za ""KATAA NDOA"" mimi bana ni msomi, sijui nijiite hivyo??
Ila kifupi nina elimu ya Finance, Economics, and Investment niliyoipatia kwenye Degree na Masters.
Ilikuwa kidogoo niende kusoma PhD duniani huko ila nilighairi na kuamua ""Kutafuta hela kwenye biashara"".
Nakiri wazi ""Napenda hela balaaaa""
Sasa hapa naongea na wale wanaona wao kwao biashara ni risk na kuamua kukimbilia kwenye Passive income.
Ila ndugu zangu hata Active income ""You can make money while sleeping..!!!""
Hivyo msikimbie sanaa biashara.
SCENARIO.
Humu ndani raia huwa wanaongelea sanaa Mutual Fund, ila huongelea mutual fund za taasisi mbili tu
1. 98% Wanaongelea UTT chini ya Wizara ya Fedha
2. 2% Wanaongelea FAIDA FUND chini ya Wizara ya Utumishi kupitia kwa Watumishi Housing.
ila je mnajua kuwa zipo Mutual Fund za Sekta binafsi??
Hizi hapa....
1. Government.
UTT Amins Funds
Faida Fund
2. Private.
Timiza Fund
Sanlam Investment Fund
Alpha Halal Fund
Inuka Money Market Fund
CONCLUSION.
Kwanini uwekeze tu kwenye UTT hizi nyengine umezisoma ukazielewa au UNAZIJUA HATA??
Siku zotee kabla hujaamua kufanya jambo, lisome kwanza halafu lielewe, halafu ndio ufanye maamuzi SAHIHI.
Karibuni kwa maswali kuhusu MUTUAL FUND.
#YNWA
#YANGA_BINGWA