Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,798
- 1,570
ina maana kwa mwaka ni laki 2 na kitu au?Nmerudia kupiga upya kwa njia ya vipande nmeona utofauti ila sio mbaya sana kwa 2m kukua ni 800 kwa siku of which sio mbaya kwa mfuko ambao umeanza July tu kwa performance yake unazidi mifuko mingi tu ya UTT
Swali langu jeh sio wakina Kaylinda
Acha upumbavuAlpha halal ikatangazwe misikitini Huko kwa wavaa kobazi
Upumbavu gani?Acha upumbavu
Huu uzi hauhusiani na dini yapo majukwaa yenu huko kwa ajili ya wafia diniUpumbavu gani?
Ukiona kitu tayari ina jina linaitwa halal ujue tayar hapo kuna uisilamuHuu uzi hauhusiani na dini yapo majukwaa yenu huko kwa ajili ya wafia dini
Hiyo fund ipo kwa ajili ya watu wote si vizur ukaharibu huu uzi, ndo mana nikasema mambo ya dini tafuta uzi mwingine huko upeleke hayo ya udini au anzisha thread yako wenzio watakufataUkiona kitu tayari ina jina linaitwa halal ujue tayar hapo kuna uisilamu
Na wapi wanaweza hizo pesa ni utata pia, private funds nyingi hawasemi ukweli, Mimi pesa yangu Kwa bongo ni bond za serikali tuu, hao default ni almost zero na 25 year bond ni kama 16%, very good money kama hutaki usumbufu, tatizo ni inflation tuuNmechek mkuu hao TIMIZA FUND speed yao ya upandaji wa vipande vyao ni hatari sana yani thamani ya kipande kinapanda kwa 0.04 kwa siku sio zile fursa kweli kikaja kilio.
Maana yake mtu ukiwa na 2,000,000 una wastani wa kupata 80,000 kwa siku
Mmmh ngoja wataalamu waje
Mkuu greater than mbona hukutupitisha humu.
Kwahio hizi asilimia ni kubwa, ndogo au reasonable tu.Mutual fund zoteee duniani ni wawekezaji.
Wanachofanya, wanachukua/wanakusanya hela kwa wananchi halafu ile hela wanawekeza sehemu mbalimbali kama Hisa, Fixed, na Governmnet bonds.
Na kiwango cha mgao wako inategemea na bei ya kipande kwa hiyo siku.
Utofauti upo kwenye Kiwango cha kuingilia kwenye mfuko na "minimum amount" ya kununulia hivyo vipande (kuendelea kuwekeza).
Mfano; FAIDA FUND wao unaingilia na 10,000 na kuwekeza kila mara ni 5,000
Kwenye asilimia za faida, Mutual fund zotee TZ riba kwa mwaka hua ni 10% - 13%
Hii ni kutokana na kwamba bado Mutual fund bongo ni jambo geni.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Halal fund ni kwa ajili ya kudhamini ujenzi wa misikiti na madrasa asa we Pekela hela yako uone kitakochokukutaHiyo fund ipo kwa ajili ya watu wote si vizur ukaharibu huu uzi, ndo mana nikasema mambo ya dini tafuta uzi mwingine huko upeleke hayo ya udini au anzisha thread yako wenzio watakufata
Halal fund sio wa waislamu tu acha kuropoka ujingaAlpha halal ikatangazwe misikitini Huko kwa wavaa kobazi
Huyo jamaa jau kweli nimeangalia post zake nyingi ni mtu wa ovyo sanaHalal fund sio wa waislamu tu acha kuropoka ujinga
Kwa muda mrefu sana nili pozi kuingia JF ila leo nikasema nipite Jukwa hili hakika mimi sema kweli nilikuwa na juwa hii moja UTT ila hizi zingine ndio umenifungua. Ebu ungezidadavua zaidi ingekuwa bomba sana.INTRODUCTION:-
Mpo raia wotee hasa chama langu la KATAA NDOA??
Mmejiandaaje na 23/09 THE REVOLUTION DAY??
BODY:-
Anyway; turudi kwenye mada.
Ukitoa hizi harakati za ""KATAA NDOA"" mimi bana ni msomi, sijui nijiite hivyo??
Ila kifupi nina elimu ya Finance, Economics, and Investment niliyoipatia kwenye Degree na Masters.
Ilikuwa kidogoo niende kusoma PhD duniani huko ila nilighairi na kuamua ""Kutafuta hela kwenye biashara"".
Nakiri wazi ""Napenda hela balaaaa""
Sasa hapa naongea na wale wanaona wao kwao biashara ni risk na kuamua kukimbilia kwenye Passive income.
Ila ndugu zangu hata Active income ""You can make money while sleeping..!!!""
Hivyo msikimbie sanaa biashara.
SCENARIO.
Humu ndani raia huwa wanaongelea sanaa Mutual Fund, ila huongelea mutual fund za taasisi mbili tu
1. 98% Wanaongelea UTT chini ya Wizara ya Fedha
2. 2% Wanaongelea FAIDA FUND chini ya Wizara ya Utumishi kupitia kwa Watumishi Housing.
ila je mnajua kuwa zipo Mutual Fund za Sekta binafsi??
Hizi hapa....
1. Government.
UTT Amins Funds
Faida Fund
2. Private.
Timiza Fund
Sanlam Investment Fund
Alpha Halal Fund
Inuka Money Market Fund
CONCLUSION.
Kwanini uwekeze tu kwenye UTT hizi nyengine umezisoma ukazielewa au UNAZIJUA HATA??
Siku zotee kabla hujaamua kufanya jambo, lisome kwanza halafu lielewe, halafu ndio ufanye maamuzi SAHIHI.
Karibuni kwa maswali kuhusu MUTUAL FUND.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mkuu mfano nina m 60 nataka niweke, alafu niwe na take gawio kila mwz inawezekan?, kwa muda gani huwa limit? Na kiasi gan nawez kuchukua?
even hata 1 B inawezekana ku wek huko?
Tarehe 24/09 mpaka leo bado upo kibaruani hujapata muda wa kujibu wawateja wakoIkiwa ni asubuhi tena ya kwenda kibaruani.
Mambo mengi kazini, nitarudi leo kutoa ufafanuzi na majibu.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Si mchezoKuna hii inatwa INUKA FUND hii ni pacha wa Orbit Security brokers wa DSE naona kama Professor Anna Tibaijuka na Waziri Mkuu mstaafu mzee Warioba wanamkono pale.
Unaposema ""Money Market"" Umelenga kumaanisha nini hasa??Hizo money market fund zinatofauti gani na hizo fund nyingine