GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
🤣🤣🤣Saa tisa usiku mtu una makasiriko
Pombe hizoSaa tisa usiku mtu una makasiriko
Wanywaji huwa wana utulivu wakifikiria walivyotumia mahela.Huyo njaa tu inamsumbua.Pombe hizo
Wewe mambooUsirudie tena kuweka Samsung na infinix kwenye sentence moja, yaani hizi infinix zinazochemka kama birika ya kahawa ndo unaifananisha na samsung?
Tena utakua unapoteza hela kwenda kubeba infinix au tecno ya 500kSimu yoyote inayoanzia 500k hyo ni daraja moja na Samsung,iphone
Matumizi mabaya ya helaTena utakua unapoteza hela kwenda kubeba infinix au tecno ya 500k
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahUsirudie tena kuweka Samsung na infinix kwenye sentence moja, yaani hizi infinix zinazochemka kama birika ya kahawa ndo unaifananisha na samsung?
Unatumia redmi toleo lipiRedm ni Simu na nusu buaana,🤗
Kama myu wa picha unatakiwa kuchukua matoleo ya Redmi Note ila kama mtu wa magame na matumizi ya kubwa ya simu chukuq matoleo ya Redmi K.Unatumia redmi toleo lipi
Niliulizia redmi songea sikuipata aiseee na hawaijuui