Acheni kukejeli simu za watu!

Acheni kukejeli simu za watu!

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Samsung ni simu, na Infinix ni simu!

Kama ni gharama, zote ni za gharama. Hakuna inayotolewa bure.

Isitoshe, Infinix inatunza sana chaji!

Wanaowakejeli wanomiliki simu za INFINIX, TECNO na ITEL waache hiyo tabia mara moja. Hawajui jinsi wahusika walivyohenyeka kuzipata.
 

Attachments

  • VID-20230701-WA0000.mp4
    2.9 MB
Muheshimiwa mleta sledi,ni vema ukaelewa hata kwenye usafiri kuna magari na vipando.Kwa mfano,nikitaja volkswagen beetle/veewee na range rover mnyama naamini unajua hapo gari ni lipi na kipando ki-wapi!Vilevile kwenye simu.Zipo simu na visikilizio.Say amen!🙏
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Usirudie tena kuweka Samsung na infinix kwenye sentence moja, yaani hizi infinix zinazochemka kama birika ya kahawa ndo unaifananisha na samsung?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Back
Top Bottom