Acheni kukejeli simu za watu!

Uko sahihi ndugu. Waache dharau. Wa Infinix kainunia kulingana na kipato chake. Huyo mwenye kipato kikubwa amekipata kwa rehma za Mungu sawa na sisi wenye kidogo. Mtoaji ni mmoja na akiamua kumnyang'anya mtu hashindwi!!
Kuna Infinix ghali kuzidi baadhi ya Samsung! Kumiliki Infinix si ishara ya unyonge, ni uchaguzi wa "mlaji"
 
Reactions: Mu7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…