Acheni kumlaumu Rais Samia. Mafuta yamepanda bei katika soko la Dunia, ulizeni bei za mafuta Kenya, Uganda, Rwanda zipoje

Acheni kumlaumu Rais Samia. Mafuta yamepanda bei katika soko la Dunia, ulizeni bei za mafuta Kenya, Uganda, Rwanda zipoje

Ufisadi upo ila haifiki hata 10% ya makusanyo which is insignificant ..

Hapo kwenye kukusanya Kodi kuna uzembe mkubwa,pesa nyingi inapotea kwa kutokusanywa na kutoingiza vyanzo vipya vya mapato.
Kwann tutegemee kodi kwa kuwaumiza wananchi masikini,kwann tusijifunze alivyofanya mkoloni hakuendesha nchi kwa kutegemea kodi,bali uzalishaji.
Nadharia ya kutaka kukusanya zaidi ni ya kuwafanya wananchi wazidi kuwa masikini.
Ukidhibiti ufisadi ukaokoa hio 10% ya ufisadi ukaipeleka kwenye maendeleo itasaidia kupiga hatua.
 
Ahlan wa Sahlan

Habari zenu wana JF:

Kumekuwa na tabia ya upotoshaji inayoendelea hapa nchini kwa watu kumlaumu rais kwa hali ya kupanda kwa gharama za maisha inavyoendelea kila kukicha, kubwa ni hili la kupanda kwa gharama za mafuta ya petroleum, diesel na mafuta ya taa.

Bei ya mafuta kwa nchi zisizozalisha mafuta zimepanda kwa kiasi kikubwa duniani kote. Pigieni simu watu wa Nairobi, Mombasa, Kisumu, Kampala , Lusaka, Kigali n.k muwaulize bei za mafuta zipoje.

Tembeleeni hii tovuti mjionee bei za mafuta duniani.

Zanzibar wao wanachimba mafuta yao?
 
Back
Top Bottom