Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #41
Sawaha kama humeelewa 😂mkuhu tumekuhelewa tutahacha kuhula vitunguu swahumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawaha kama humeelewa 😂mkuhu tumekuhelewa tutahacha kuhula vitunguu swahumu
Umesema vyemakwakutumia mswaki laini ulopakwa dawa ya meno ya kutosha, pangusa au sugua ulimi wako taratibu mara kadhaa, sugua meno ya mbele kwa ndani na nje, zamisha mswaki taratibu kwenye magego yaani meno makubwa ya ndani sugua taratibu juu na chini. Fanya hivyo mara mbili ikiwa mdomo wako unatoa harufu kali zaidi kwa muda wa chini ya masaa6 tangu uswaki.
Usiogope kutokwa damu kwa mara ya kwanza, hiyo damu inayotoka ilikua ni hifadhi ya uchafu wa kinywa na meno yako. Baadae haitatoka tena.
Rudia kuswaki hata mara 3 ikiwa mdomo wako unazalisha harufu kali chini ya masaa6 baada ya kuswaki.
Safisha pua kila asubuh, huna haja kuweka sabuni, tumia tu maji safi, ziba pua moja fanya kama unapenga kamasi kuondoa harufu na uvundo ulozalishwa na mipua yako usiku ulipokua unakoroma.
Ukiacha kufanya hivyo ukipiga chafya kwenye kundi la watu utatoa harufu kali sana kutoka puani mwako itakayokera watakao kua karibu yako.
Tumia pamba au kifaa chochote kitakachokuwezesha kuondoa uchafu maskioni, kama utagundua, unapopeana hug na mtu mume au mtu mke unaweza kukutana na harufu kali ambayo mara nyingi hutokea maskioni kwa mtu mwenye maskio machafu. Hasa wanasuka nywele ambao hunawa uso tu kwa muda mrefu. Hawa hutoa harufu kali na mbaya sana ya nywele zilizovunda na maskio machafu.
Hitimisho,
Hakikisha unaswaki vizur zaidi ya mara moja walau kila asubuh, unasafisha pua vizuri kila asubuh na unasafisha maskio yako vizuri kuepuka kuwa kero kwa watakao kua karibu nawe au utakao wasogelea.
Yes nilifundishwa hivyo na kwakweli nafanya hivyo imenisaidia sana kutokua kero kwa wengine.Umesema vyema
🤣nafurahi mumeehelewanaSawaha kama humeelewa 😂
Kabisa tumehelewana vyema sanahaYes nilifundishwa hivyo na kwakweli nafanya hivyo imenisaidia sana kutokua kero kwa wengine.
🤣nafurahi mumeehelewana
Yes nilifundishwa hivyo na kwakweli nafanya hivyo imenisaidia sana kutokua kero kwa wengine.
🤣nafurahi mumeehelewana
😂😂😂Kwa hiyo huwa tunajipa u-charming na u-entertainers fake?😂😂😂
Ahahahaha izo mambo waachie waziefu mzee😂😂😂Mchana huu nimetafuna vitunguu maji, kisha nikatafuna vitunguu saumu, ni vichungu balaa huo muwasho pilipili ikasome. Ishu ikawa mdomo kunuka vibaya, ikabidi nikanunue pipi ili kutoa harufu mbaya mdomoni.
Dah ila watu mnatafuta nini uko?Kuna siku tulikunywa muarobaini kikombe cha chai, mwili mzima ukawa unatoa jasho linanuka muarobaini
Kuna utengenezaji wake shangazi yako hutenda miujiza.Ni Viagra hiyo ujue?Ahahahaha izo mambo waachie waziefu mzee😂😂😂
Moisemusajiografii wewe ujajaribu?
Ewaaaa.... mimi ndo mambo yangu hayaa.. kupiga mswaki na chumvi....Piga mswaki na chumvi hautonuka mdomo mpaka kaburini.
Ase kutafuna kitungu ni ngumu sanaKuna utengenezaji wake shangazi yako hutenda miujiza.Ni Viagra hiyo ujue?
Aroo unafanya kazi gani mpaka unaweza kunusa midomo na jasho la watu?
Ni kazi rahisi.Chagua muda mzuri uliotulia na una uhakika hautotoka nyumbani si chini ya masaa zaidi ya manne.Au,ukishindwa kuvitumia vyenyewe pekee,pendelea vilivyofanywa viungo tu katika vyakula tu.Hivyo huwa vimepunguzwa ukali wa harufu.Ni kama kwenye kachumbari,pilau,nyama nk.Ase kutafuna kitungu ni ngumu sana
Mh bado ujanishaurNi kazi rahisi.Chagua muda mzuri uliotulia na una uhakika hautotoka nyumbani si chini ya masaa zaidi ya manne.Au,ukishindwa kuvitumia vyenyewe pekee,pendelea vilivyofanywa viungo tu katika vyakula tu.Hivyo huwa vimepunguzwa ukali wa harufu.Ni kama kwenye kachumbari,pilau,nyama nk.
ilikuwa ni utundu tu wa kugundua tiba za mitishambaDah ila watu mnatafuta nini uko?
Ahahah mtakuja kufa 😂ilikuwa ni utundu tu wa kugundua tiba za mitishamba
u made my dayUnazipenda "h" hadi basi.Tutumihe kitu gani mkuhu?