Acheni kutumia vitunguu saumu kama dawa ya kukata harufu mdomoni pigeni mswaki

Umesema vyema
 
Mchana huu nimetafuna vitunguu maji, kisha nikatafuna vitunguu saumu, ni vichungu balaa huo muwasho pilipili ikasome. Ishu ikawa mdomo kunuka vibaya, ikabidi nikanunue pipi ili kutoa harufu mbaya mdomoni.
 
Kuna siku tulikunywa muarobaini kikombe cha chai, mwili mzima ukawa unatoa jasho linanuka muarobaini
 
Mchana huu nimetafuna vitunguu maji, kisha nikatafuna vitunguu saumu, ni vichungu balaa huo muwasho pilipili ikasome. Ishu ikawa mdomo kunuka vibaya, ikabidi nikanunue pipi ili kutoa harufu mbaya mdomoni.
Ahahahaha izo mambo waachie waziefu mzeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Moisemusajiografii wewe ujajaribu?
 
Ase kutafuna kitungu ni ngumu sana
Ni kazi rahisi.Chagua muda mzuri uliotulia na una uhakika hautotoka nyumbani si chini ya masaa zaidi ya manne.Au,ukishindwa kuvitumia vyenyewe pekee,pendelea vilivyofanywa viungo tu katika vyakula tu.Hivyo huwa vimepunguzwa ukali wa harufu.Ni kama kwenye kachumbari,pilau,nyama nk.
 
Mh bado ujanishaur
 
Tumia vitunguu Swaumu na mtindi..
Na isitoshe vitunguu Swaumu ni km Antibiotic pia,lakini pia inatibu nguvu za kiume pia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…