Acheni siasa za mpira, ukubwa wa Mamelod ni upi?

Acheni siasa za mpira, ukubwa wa Mamelod ni upi?

Ni kama Manchester City, sio timu kubwa ila kwa ubora wao sasa ukienda bila kujipanga wanakupiga na kitu kizito
Wewe mpira unaujua na unauelewa. Jamaa anachanganya vitu viwili tofauti
 
Ukubwa wa mamelod ni upi?

Timu ambayo toka mwaka 2016 haijawai kuchukua ubingwa wa Africa?

Mamelod anayeishia robo na nusu fainali kila siku?

Kuna wajinga wanasema hata wachezaji wa al ahly eti hawaingii kwenye kikosi cha mamelodi bangi au?

Mamelodi kazidiwa mafanikio na
Al ahly
Wydad
Exparence
Tp Mazembe

Mamelodi level zake ni Simba, CR Belousdad na Raja

Acheni kuwapaisha kwangu Mimi timu bora Africa itabaki kuwa al ahly

Mamelodi watanyooshwa na yanga hapa msije kuwakataa tu wanapaishwa utafikiri ni Real Madrid Fulani hivi kumbe ni PSG aliyechangamka kwenye champions ligue.

Naamini kabisa kuna wachezaji kibao wa simba na yanga wanaingia kwenye kikosi cha mamelodi yaani inonga akose namba mamelodi? Au Baka akose namba mamelodi ?

Nawaambia tutarudi hapa tarehe 30 usiku kwenye huu Uzi mamelodi akiwa kafa na akijichanganya anatoka.
inuendo
 
Haya yalipaswa kuandikwa baada ya mechi, tusimtukane mamba kabla ya kuvuka mto.

Kinachosifiwa kwasasa sio Mamelod ni timu kubwa bali Mamelod ni timu bora kwasasa. Huyo Al Ahly katolewa na Mamelod kwenye AFL, na pia katika kundi lake alikuwa na timu mbili kubwa ( Tp Mazembe na Pyramids) na kaondoka kinara wa kundi. Kinachosifiwa na ubora wao kwasasa
hivi huoni huyo anatujoki wanayanga?
 
Ukubwa wa mamelod ni upi?

Timu ambayo toka mwaka 2016 haijawai kuchukua ubingwa wa Africa?

Mamelod anayeishia robo na nusu fainali kila siku?

Kuna wajinga wanasema hata wachezaji wa al ahly eti hawaingii kwenye kikosi cha mamelodi bangi au?

Mamelodi kazidiwa mafanikio na
Al ahly
Wydad
Exparence
Tp Mazembe

Mamelodi level zake ni Simba, CR Belousdad na Raja

Acheni kuwapaisha kwangu Mimi timu bora Africa itabaki kuwa al ahly

Mamelodi watanyooshwa na yanga hapa msije kuwakataa tu wanapaishwa utafikiri ni Real Madrid Fulani hivi kumbe ni PSG aliyechangamka kwenye champions ligue.

Naamini kabisa kuna wachezaji kibao wa simba na yanga wanaingia kwenye kikosi cha mamelodi yaani inonga akose namba mamelodi? Au Baka akose namba mamelodi ?

Nawaambia tutarudi hapa tarehe 30 usiku kwenye huu Uzi mamelodi akiwa kafa na akijichanganya anatoka.
Mfano wa Mamelody na Al Ahly ni sawa na Man City na Real Madrid. Yaani ki historia Madrid ana makombe mengi ya UEFA kuliko timu zote ilizoingia nazo robo combined but recently form Man City yuko vizuri kuliko Real Madrid.

Hata Uingereza Man City anaweza asimzidi Liver au Man U kwa ukubwa wa Club but uwanjani yuko vizuri kuliko hao wawili.
 
Sisi wabongo hatupendi mafanikio ya timu zetu na tunazchukulia poa.
Simba anauwezo sawa na timu nyingi tu achilia mbali Mamelod, na yanga pia ana level hzohzo tu .
Tunapokwama ni sehm padogo Sana.
 
Mpira ni kitu cha ajabu sana ndo maana mimi naupenda

Ukisema mamelodi si mkubwa tunarudi kwa yanga
Yanga ana ukubwa gani

Mara ya kwanza yanga anafika robo fainali ni msimu huu

Yanga amefuzu kwa point chache zaidi kwenye msimu huu wa mashindano

Unafikiri kama wewe huwaheshimu wakubwa waliowahi kuchukua ubingwa wa haya mashindano
Unahisi mamelodi ana haki gani ya kukuheshimu

Mpira hauangaliwi historia

Tungeangalia historia basi hata wydad
casablanca hakutakiwa atoke ila katoka

Wanaangalia current form

Na kwa current form mamelodi ni wako on fire
Hata hao petro sidhani kama wamewahi kubeba ubingwa ila wanaheshimika kwa sababu ya current form
Usichukie watu wanapokutisha mamelodi ni wamoto

Ni kwa sababu ni wamoto kweli kweli

Umeona difference ya points kwenye ligi yao?


Kutulazimisha utampasua ni kama umechamganyikiwa
Nakusubiri uje na hasira zako maana uzi kama umekurupuka hivi kuuanzisha[emoji16]
Nimekomea pale uliposema yanga ameingia robo fainaili mara ya kwanza mwaka huu.
 
Haya yalipaswa kuandikwa baada ya mechi, tusimtukane mamba kabla ya kuvuka mto.

Kinachosifiwa kwasasa sio Mamelod ni timu kubwa bali Mamelod ni timu bora kwasasa. Huyo Al Ahly katolewa na Mamelod kwenye AFL, na pia katika kundi lake alikuwa na timu mbili kubwa ( Tp Mazembe na Pyramids) na kaondoka kinara wa kundi. Kinachosifiwa ni ubora wao kwasasa
Pyramid haijawahi kuwa timu kubwa
 
Sawa nakubali, Masandawana kama Simba tu wakija mnawapiga kono la nyani wanarudi kwao.
 
Mpira ni kitu cha ajabu sana ndo maana mimi naupenda

Ukisema mamelodi si mkubwa tunarudi kwa yanga
Yanga ana ukubwa gani

Mara ya kwanza yanga anafika robo fainali ni msimu huu

Yanga amefuzu kwa point chache zaidi kwenye msimu huu wa mashindano

Unafikiri kama wewe huwaheshimu wakubwa waliowahi kuchukua ubingwa wa haya mashindano
Unahisi mamelodi ana haki gani ya kukuheshimu

Mpira hauangaliwi historia

Tungeangalia historia basi hata wydad
casablanca hakutakiwa atoke ila katoka

Wanaangalia current form

Na kwa current form mamelodi ni wako on fire
Hata hao petro sidhani kama wamewahi kubeba ubingwa ila wanaheshimika kwa sababu ya current form
Usichukie watu wanapokutisha mamelodi ni wamoto

Ni kwa sababu ni wamoto kweli kweli

Umeona difference ya points kwenye ligi yao?


Kutulazimisha utampasua ni kama umechamganyikiwa
Nakusubiri uje na hasira zako maana uzi kama umekurupuka hivi kuuanzisha😁
Anachosema ni nani nyie makolowizard mnavyoikuza hiyo timu kama jamaa wanacheza wakiwa na miguu minne. Wazee wa kujipa faraja mnajisahaurisha kuwa mnacheza na al Ahly.
 
Screen Shot 2024-03-25 at 2.11.28 PM.png

Masandawana wanasema kata simu kata simu, tupo site!

Ogopa matapeli, 30/03/24 ni Mokoena Day
 
Anachosema ni nani nyie makolowizard mnavyoikuza hiyo timu kama jamaa wanacheza wakiwa na miguu minne. Wazee wa kujipa faraja mnajisahaurisha kuwa mnacheza na al Ahly.
Sisi hatujisahaulishi ila shida inakuja mnashindwa kuongea kwa sababu mnatufahamu tupo vizuri kiasi gani

Tumeshawahi kucheza nao tukiwa na yule kocha wa kiwango cha kawaida tukatoa nao sare

Tumeshawahi wafunga si mara moja wala mara mbili

Mnashindwa kuongea kwa sababu adui wangu mimi namfahamu
Wewe wa kwako humfahamu😁😂 kiundani mmecheza kitaambo sana

Timu inayojua siyo inakuzwa inapewa sifa inazostahili
Mbona wewe unajikuza na kujipa moyo kwamba unaweza kumfunga

Ulitaka watu wasiikuze timu pinzani ili nini kitokee
Kwamba isipokuzwa ndo utashinda ama??
Kipindi hushiriki kazi yako kubwa ilikua ni ipi kama sio kushadadia mabwana zako wa afrika kusini wakiongozwa na raisi wenu mpaka mkahongwa na jezi
 
Ukubwa wa mamelod ni upi?

Timu ambayo toka mwaka 2016 haijawai kuchukua ubingwa wa Africa?

Mamelod anayeishia robo na nusu fainali kila siku?

Kuna wajinga wanasema hata wachezaji wa al ahly eti hawaingii kwenye kikosi cha mamelodi bangi au?

Mamelodi kazidiwa mafanikio na
Al ahly
Wydad
Exparence
Tp Mazembe

Mamelodi level zake ni Simba, CR Belousdad na Raja

Acheni kuwapaisha kwangu Mimi timu bora Africa itabaki kuwa al ahly

Mamelodi watanyooshwa na yanga hapa msije kuwakataa tu wanapaishwa utafikiri ni Real Madrid Fulani hivi kumbe ni PSG aliyechangamka kwenye champions ligue.

Naamini kabisa kuna wachezaji kibao wa simba na yanga wanaingia kwenye kikosi cha mamelodi yaani inonga akose namba mamelodi? Au Baka akose namba mamelodi ?

Nawaambia tutarudi hapa tarehe 30 usiku kwenye huu Uzi mamelodi akiwa kafa na akijichanganya anatoka.
Uzuri jumamosi tutaona kwa Mkapa. Kwenye keyboard za TECNO zenu mko nao level moja
 
Back
Top Bottom