Acheni tu huyu Dotto Magari aendelee Kutudharau Sisi Wasomi wa Tanzania na ninakubaliana nae kwa 100%

Acheni tu huyu Dotto Magari aendelee Kutudharau Sisi Wasomi wa Tanzania na ninakubaliana nae kwa 100%

Ndugu Genta, mbona hata wasio wasomi huku mtaani wanamiliki hizo simu huku wanapanda daladala, sidhani kama ni tatizo la wasomi pekee bali ni tatizo la jamii nzima.
 
Dotto mjinga km wajinga wowote bahato mbaya tumekutana na kizaz cha kushabiki upumbavu taifa litasobga kikiwa na wasomi wengi na sio wasomi vyawa au wajinga wanaopeewa headline
 
Tatizo lenu mnaangalia jambo moja tu, yaani item moja tu simu!

Je wanaohonga pakubwa na kula padogo mbona hamuwasemi?

Mtu anajengea hawara, wakati bado akiishi pangoni!

Wanaume wapumbaf ni wengi kuliko tunavyodhania.
Hao wa simu ghali na huku wakiishi maisha ya hovyo wana nafuu kwa sababu angalao wanamiliki hata hicho kitu.

Kuliko wanaotumikia kichwa cha chini 99% ya mapato yao hadi wanazeeka na kukosa uelekeo.
Hayo yote uliosema yapo kwenye kapu moja
Kwa sasa tumetoa item moja kwenye kapu so jikite kwa mada husika mkuu

Je msomi ambaye ni jobless ni sawa kumiliki simu ya 5m?!
 
Hayo yote uliosema yapo kwenye kapu moja
Kwa sasa tumetoa item moja kwenye kapu so jikite kwa mada husika mkuu

Je msomi ambaye ni jobless ni sawa kumiliki simu ya 5m?!
Kama jobless simu ya 5m kaitoa wapi? Wazazi waweza kuwa na pesa wakampa hawataki mtoto wao apate shida hata kama jobless
 
Hayo yote uliosema yapo kwenye kapu moja
Kwa sasa tumetoa item moja kwenye kapu so jikite kwa mada husika mkuu

Je msomi ambaye ni jobless ni sawa kumiliki simu ya 5m?!
Kumiliki Simu ya 5m kuna tatizo ama kosa gani?

Nadhani mnakosea kulisema jambo hilo kavu kavu, ndipo panapotokea ukakasi, kumbe mnakuwa mnaisemea simu ghali vs mambo mengine kama usafiri nk nk.

Eeh, maana mnaongea bila mfumo sasa!

Mtu anaweza kumiliki simu ghali kama njia ya kujiwekea dhamana kwa mambo ya dharula.

Mtu anaweza kumiliki simu ghali, huku mambo mengine muhimu yakiwa katika mnyororo wa utekelazaji nk nk.

Na katika jamii hatuwezi kuishi kwa kuwaza mawazo yenye kufanana.
 
"Wasomi nikiwa nawasema Kutwa msiwe mnanichukia kwani nawatoeni Ushamba na nawafundisha jinsi ya Kufikiri. Unakuta Msomi ananunua Simu aina ya Iphone 15 yenye Thamani ya Shilingi Milioni Tano halafu unakuta amepakuwa App ya Bolt. Sasa kwanini hiyo Shilingi Milioni Tano yako usingenunua tu Pikipiki ya Shilingi Milioni Mbili iwe inakupeleka unakokenda Kutwa na hiyo Shilingi Milioni Tatu ukanunu hata Kiwanja mahala kuliko kutafuta Sifa za Kijinga uonekane una Simu Kali wakati Akili huna?"amesema Influencer Dotto Magari.

Hakuna Mtu GENTAMYCINE namkubali kama Dotto Magari, kwani anachokisema Kwetu Wasomi yuko sahihi 100% zote.
Msomi ni nani (criteria gani unatumia kwenye hii classification) na asiye msomi ni nani?

Mfano, Vunja bei ni msomi? Na yeye anadharauliwa na dotto manywele?
 
"Wasomi nikiwa nawasema Kutwa msiwe mnanichukia kwani nawatoeni Ushamba na nawafundisha jinsi ya Kufikiri. Unakuta Msomi ananunua Simu aina ya Iphone 15 yenye Thamani ya Shilingi Milioni Tano halafu unakuta amepakuwa App ya Bolt. Sasa kwanini hiyo Shilingi Milioni Tano yako usingenunua tu Pikipiki ya Shilingi Milioni Mbili iwe inakupeleka unakokenda Kutwa na hiyo Shilingi Milioni Tatu ukanunu hata Kiwanja mahala kuliko kutafuta Sifa za Kijinga uonekane una Simu Kali wakati Akili huna?"amesema Influencer Dotto Magari.

Hakuna Mtu GENTAMYCINE namkubali kama Dotto Magari, kwani anachokisema Kwetu Wasomi yuko sahihi 100% zote.
Amini hiki blood,wanaomiliki iphone wengi ni malaya na mashoga.

Unaweza sasa hapo kubashiri akili za hao wanaozimiliki.

Hapo Dottomagari ingawa mi silipendagi ila hapo kagonga ikulu,ni ukweli mtupu
 
Amini hiki blood,wanaomiliki iphone wengi ni malaya na mashoga.

Unaweza sasa hapo kubashiri akili za hao wanaozimiliki.

Hapo Dottomagari ingawa mi silipendagi ila hapo kagonga ikulu,ni ukweli mtupu
Aiseee
 
Amini hiki blood,wanaomiliki iphone wengi ni malaya na mashoga.

Unaweza sasa hapo kubashiri akili za hao wanaozimiliki.

Hapo Dottomagari ingawa mi silipendagi ila hapo kagonga ikulu,ni ukweli mtupu
Sawa Mdogo wangu wa Damu.
 
Amini hiki blood,wanaomiliki iphone wengi ni malaya na mashoga.

Unaweza sasa hapo kubashiri akili za hao wanaozimiliki.

Hapo Dottomagari ingawa mi silipendagi ila hapo kagonga ikulu,ni ukweli mtupu
Anza na yeye huyo role model wako, anamiliki simu ghali lakini hana nyumba.
 
Back
Top Bottom