Kwa muda mrefu sasa nimekuwa naona mada humu JF zikiwa zinaponda magari,kwamba magari kama Toyota Passo,Vitz,IST,Starlet,na n.k ni magari ya kike.
Naomba wote wanaoamini kuwa kuna magari ya kike watoe ushahidi,ni wapi ambako chombo cha moto kimeandikwa kuwa:
A Vehicle Special for female au for male?
Acheni Ushamba nyie watanzania ambao hamjui lolote ktk Dunia hii yenye mambo mengi na mazito.
Tanzania isiyotengeneza hata sindano eti wananchi wake wanadharau magari yanayotengenezwa nje na kuya Classify kuwa hili ni la kike na lile ni la kiume,huu ni ujuha wa hali ya juu.
Watanzania ambao hata kula yao ni shida kwa siku eti nao wanabagua magari,kwa lipi?
Ukienda,Japan,US,UK,Germany,Sweden na popote duniani ambako wanatengeneza magari,hawawezi kukuambia kuwa hili ni gari la kile na lile ni la kiume.
Siku zote maskini ni mtu anayejiona ni bora kuliko wote japokuwa hana lolote,Sasa wewe umehangaika ukapata vipesa vyako unanunua gari anakuja mjinga anakuambia ni la kike,wapi imeandikwa kuwa ni la kike,Ujinga uliokithiri.
Huo Wote Ujinga Kabsa, Ivi Mnatumia IQ Au?? poor brain? kwa nn umdharau mwanaume mwenzako ambaye na yeye baada ya kufanya biashara au kulima na kufnkiwa ameamua kupiga hatua?? yaan mwanaume mwenye mchepuko kwa wake za watu ni bora kuliko anaenunua vitz??? nawakemea ktk Jina La Yesu Kristo, Mshindwe
washamba hawa
hata bajaj inaonekana hauna
Kwenda zako..dume zima unaendesha Passo au vitz halafu ma bmw na ma discovery 3 aendeshe nani?
Kwa mtazamo wangu binafsi:
Lincoln/Buick = Retireees or pensioners
Suzuki = Folks with bad credit.
Kia = Unsuccessful young college graduates still chasing the dream
Bmw = young guys with good careers
Mercedes = professionals with advancing careers.
Hammer = hustlers, dope sellers
Hondas = folks with regular jobs
Toyotas = same as Hondas
Porsche = stock traders, brokers, analysts, living the dream
Lexus = ladies with good or 6 figures career mostly
Acura = folks with fairly good careers
Vw-Beetle = ladies, milf
Fiat 500 = young ladies
Mini minor = ladies
Mitsubishi = folks with mediocre jobs
Nissan = folks with ok jobs
Magnum = hustlers mostly from the hood/niggaz n bitches
Subaru = nerds esp college lecturers, intellectuals etc
Gmc, Yukon = suburban folks, soccer moms
Ford = folks with ok but not so successful careers
Cadillacs = fairly successful folks
Maserati/Feraris/Bugatti = pro athletes, high rollers, rich folks etc living the dream
Range Rover = high rollers
Hyundai = folks with mediocre careers
Bentleys = high rollers mostly from Hollywood
Sijaona bits,passo,funcargo,Nadia,mark x maana ndio zinazunguka hapa tz hayo ma Buick,hammer ya kuhesabu!
Kwa mtazamo wangu binafsi:
Lincoln/Buick = Retireees or pensioners
Suzuki = Folks with bad credit.
Kia = Unsuccessful young college graduates still chasing the dream
Bmw = young guys with good careers
Mercedes = professionals with advancing careers.
Hammer = hustlers, dope sellers
Hondas = folks with regular jobs
Toyotas = same as Hondas
Porsche = stock traders, brokers, analysts, living the dream
Lexus = ladies with good or 6 figures career mostly
Acura = folks with fairly good careers
Vw-Beetle = ladies, milf
Fiat 500 = young ladies
Mini minor = ladies
Mitsubishi = folks with mediocre jobs
Nissan = folks with ok jobs
Magnum = hustlers mostly from the hood/niggaz n bitches
Subaru = nerds esp college lecturers, intellectuals etc
Gmc, Yukon = suburban folks, soccer moms
Ford = folks with ok but not so successful careers
Cadillacs = fairly successful folks
Maserati/Feraris/Bugatti = pro athletes, high rollers, rich folks etc living the dream
Range Rover = high rollers
Hyundai = folks with mediocre careers
Bentleys = high rollers mostly from Hollywood
Kwa tanzania hizo ni gari za kike, utake usitake, usijipe moyo kilinganisha na nchi za ulaya na marekano, huko ni huko na huku ni huku, hata hivyo nina mpango wa kuanza maisha upande wa usafiri na gari la "kike"! Mi dume.Kwa muda mrefu sasa nimekuwa naona mada humu JF zikiwa zinaponda magari,kwamba magari kama Toyota Passo,Vitz,IST,Starlet,na n.k ni magari ya kike.
Naomba wote wanaoamini kuwa kuna magari ya kike watoe ushahidi,ni wapi ambako chombo cha moto kimeandikwa kuwa:
A Vehicle Special for female au for male?
Acheni Ushamba nyie watanzania ambao hamjui lolote ktk Dunia hii yenye mambo mengi na mazito.
Tanzania isiyotengeneza hata sindano eti wananchi wake wanadharau magari yanayotengenezwa nje na kuya Classify kuwa hili ni la kike na lile ni la kiume,huu ni ujuha wa hali ya juu.
Watanzania ambao hata kula yao ni shida kwa siku eti nao wanabagua magari,kwa lipi?
Ukienda,Japan,US,UK,Germany,Sweden na popote duniani ambako wanatengeneza magari,hawawezi kukuambia kuwa hili ni gari la kile na lile ni la kiume.
Siku zote maskini ni mtu anayejiona ni bora kuliko wote japokuwa hana lolote,Sasa wewe umehangaika ukapata vipesa vyako unanunua gari anakuja mjinga anakuambia ni la kike,wapi imeandikwa kuwa ni la kike,Ujinga uliokithiri.
Hivi kweli mwanaume unaweza kuendesha Nadia? Maana hata jina lake tu mtihan
Siyo hivo mkuu we chukulia mfano unakutana na kigari kama ki-nissan duet ama ki-vitz alafu ndani yake anatoka mtu kama JB ama Le Mutuz yani haiji kabisa yani...Huo Wote Ujinga Kabsa, Ivi Mnatumia IQ Au?? poor brain? kwa nn umdharau mwanaume mwenzako ambaye na yeye baada ya kufanya biashara au kulima na kufnkiwa ameamua kupiga hatua?? yaan mwanaume mwenye mchepuko kwa wake za watu ni bora kuliko anaenunua vitz??? nawakemea ktk Jina La Yesu Kristo, Mshindwe
Huo Wote Ujinga Kabsa, Ivi Mnatumia IQ Au?? poor brain? kwa nn umdharau mwanaume mwenzako ambaye na yeye baada ya kufanya biashara au kulima na kufnkiwa ameamua kupiga hatua?? yaan mwanaume mwenye mchepuko kwa wake za watu ni bora kuliko anaenunua vitz??? nawakemea ktk Jina La Yesu Kristo, Mshindwe
u r welcome mkuu..av a nice dayYou made my first smile of the day...