Acheni Ushamba, Hakuna gari za kike wala za kiume

Acheni Ushamba, Hakuna gari za kike wala za kiume

Mwanaume ukinunua Vitz au Nadia, ww andika pale nyuma kwa maandishi makuuubwa 'BABA YAKO ANAYO'???? Uone km kuna mtu atakwambia gari yako ni ya kike...
 
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa naona mada humu JF zikiwa zinaponda magari,kwamba magari kama Toyota Passo,Vitz,IST,Starlet,na n.k ni magari ya kike.

Naomba wote wanaoamini kuwa kuna magari ya kike watoe ushahidi,ni wapi ambako chombo cha moto kimeandikwa kuwa:

A Vehicle Special for female au for male?

Acheni Ushamba nyie watanzania ambao hamjui lolote ktk Dunia hii yenye mambo mengi na mazito.

Tanzania isiyotengeneza hata sindano eti wananchi wake wanadharau magari yanayotengenezwa nje na kuya Classify kuwa hili ni la kike na lile ni la kiume,huu ni ujuha wa hali ya juu.

Watanzania ambao hata kula yao ni shida kwa siku eti nao wanabagua magari,kwa lipi?

Ukienda,Japan,US,UK,Germany,Sweden na popote duniani ambako wanatengeneza magari,hawawezi kukuambia kuwa hili ni gari la kile na lile ni la kiume.

Siku zote maskini ni mtu anayejiona ni bora kuliko wote japokuwa hana lolote,Sasa wewe umehangaika ukapata vipesa vyako unanunua gari anakuja mjinga anakuambia ni la kike,wapi imeandikwa kuwa ni la kike,Ujinga uliokithiri.

Kwenda zako..dume zima unaendesha Passo au vitz halafu ma bmw na ma discovery 3 aendeshe nani?
 
inashangaza sana, watu wakikosa wanamaneno sana hasa kipindi cha mvua...
ila uchaguzi wa rangi uzingatiwe au sio Mshana Jr....???
 
Last edited by a moderator:
Huo Wote Ujinga Kabsa, Ivi Mnatumia IQ Au?? poor brain? kwa nn umdharau mwanaume mwenzako ambaye na yeye baada ya kufanya biashara au kulima na kufnkiwa ameamua kupiga hatua?? yaan mwanaume mwenye mchepuko kwa wake za watu ni bora kuliko anaenunua vitz??? nawakemea ktk Jina La Yesu Kristo, Mshindwe

mapovu yanakutokaaa....una vits???just relax man! maana hata unachokemea hakieleweki
 
Kwa mtazamo wangu binafsi:
Lincoln/Buick = Retireees or pensioners

Suzuki = Folks with bad credit.

Kia = Unsuccessful young college graduates still chasing the dream

Bmw = young guys with good careers

Mercedes = professionals with advancing careers.

Hammer = hustlers, dope sellers

Hondas = folks with regular jobs

Toyotas = same as Hondas

Porsche = stock traders, brokers, analysts, living the dream

Lexus = ladies with good or 6 figures career mostly

Acura = folks with fairly good careers

Vw-Beetle = ladies, milf

Fiat 500 = young ladies

Mini minor = ladies

Mitsubishi = folks with mediocre jobs

Nissan = folks with ok jobs

Magnum = hustlers mostly from the hood/niggaz n bitches

Subaru = nerds esp college lecturers, intellectuals etc

Gmc, Yukon = suburban folks, soccer moms

Ford = folks with ok but not so successful careers

Cadillacs = fairly successful folks

Maserati/Feraris/Bugatti = pro athletes, high rollers, rich folks etc living the dream

Range Rover = high rollers

Hyundai = folks with mediocre careers

Bentleys = high rollers mostly from Hollywood

Sijaona bits,passo,funcargo,Nadia,mark x maana ndio zinazunguka hapa tz hayo ma Buick,hammer ya kuhesabu!
 
Sijaona bits,passo,funcargo,Nadia,mark x maana ndio zinazunguka hapa tz hayo ma Buick,hammer ya kuhesabu!

wewe hujui kama amecopy na kupest mpaka umuaibishe ?
 
Kwa mtazamo wangu binafsi:
Lincoln/Buick = Retireees or pensioners

Suzuki = Folks with bad credit.

Kia = Unsuccessful young college graduates still chasing the dream

Bmw = young guys with good careers

Mercedes = professionals with advancing careers.

Hammer = hustlers, dope sellers

Hondas = folks with regular jobs

Toyotas = same as Hondas

Porsche = stock traders, brokers, analysts, living the dream

Lexus = ladies with good or 6 figures career mostly

Acura = folks with fairly good careers

Vw-Beetle = ladies, milf

Fiat 500 = young ladies

Mini minor = ladies

Mitsubishi = folks with mediocre jobs

Nissan = folks with ok jobs

Magnum = hustlers mostly from the hood/niggaz n bitches

Subaru = nerds esp college lecturers, intellectuals etc

Gmc, Yukon = suburban folks, soccer moms

Ford = folks with ok but not so successful careers

Cadillacs = fairly successful folks

Maserati/Feraris/Bugatti = pro athletes, high rollers, rich folks etc living the dream

Range Rover = high rollers

Hyundai = folks with mediocre careers

Bentleys = high rollers mostly from Hollywood

Hahaha young guys with good careers
 
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa naona mada humu JF zikiwa zinaponda magari,kwamba magari kama Toyota Passo,Vitz,IST,Starlet,na n.k ni magari ya kike.

Naomba wote wanaoamini kuwa kuna magari ya kike watoe ushahidi,ni wapi ambako chombo cha moto kimeandikwa kuwa:

A Vehicle Special for female au for male?

Acheni Ushamba nyie watanzania ambao hamjui lolote ktk Dunia hii yenye mambo mengi na mazito.

Tanzania isiyotengeneza hata sindano eti wananchi wake wanadharau magari yanayotengenezwa nje na kuya Classify kuwa hili ni la kike na lile ni la kiume,huu ni ujuha wa hali ya juu.

Watanzania ambao hata kula yao ni shida kwa siku eti nao wanabagua magari,kwa lipi?

Ukienda,Japan,US,UK,Germany,Sweden na popote duniani ambako wanatengeneza magari,hawawezi kukuambia kuwa hili ni gari la kile na lile ni la kiume.

Siku zote maskini ni mtu anayejiona ni bora kuliko wote japokuwa hana lolote,Sasa wewe umehangaika ukapata vipesa vyako unanunua gari anakuja mjinga anakuambia ni la kike,wapi imeandikwa kuwa ni la kike,Ujinga uliokithiri.
Kwa tanzania hizo ni gari za kike, utake usitake, usijipe moyo kilinganisha na nchi za ulaya na marekano, huko ni huko na huku ni huku, hata hivyo nina mpango wa kuanza maisha upande wa usafiri na gari la "kike"! Mi dume.
 
Huo Wote Ujinga Kabsa, Ivi Mnatumia IQ Au?? poor brain? kwa nn umdharau mwanaume mwenzako ambaye na yeye baada ya kufanya biashara au kulima na kufnkiwa ameamua kupiga hatua?? yaan mwanaume mwenye mchepuko kwa wake za watu ni bora kuliko anaenunua vitz??? nawakemea ktk Jina La Yesu Kristo, Mshindwe
Siyo hivo mkuu we chukulia mfano unakutana na kigari kama ki-nissan duet ama ki-vitz alafu ndani yake anatoka mtu kama JB ama Le Mutuz yani haiji kabisa yani...
 
Matatizo ni ulimbukeni au msemo mwingine maskini akipata >>>> hulia mbwata. Nenda nchi zilizndea utakuta kila mmoja na shughuli zake wanawake na wanaume wana kwenda kazini au popote kwa baiskeli, vespa basi , gari za aina zote na hakuna anaezunguzia
 
Huo Wote Ujinga Kabsa, Ivi Mnatumia IQ Au?? poor brain? kwa nn umdharau mwanaume mwenzako ambaye na yeye baada ya kufanya biashara au kulima na kufnkiwa ameamua kupiga hatua?? yaan mwanaume mwenye mchepuko kwa wake za watu ni bora kuliko anaenunua vitz??? nawakemea ktk Jina La Yesu Kristo, Mshindwe

Mkuu mbona kama umepanic wakati watu tupo kwenye masihara...?
 
Back
Top Bottom