Uchaguzi 2020 Acheni utani, upinzani hakuna mtu wa kuweza kusimama na Rais Magufuli kwenye uchaguzi mkuu Oktoba

Uchaguzi 2020 Acheni utani, upinzani hakuna mtu wa kuweza kusimama na Rais Magufuli kwenye uchaguzi mkuu Oktoba

Habarini wadau...

Leo naomba nizungumze ukweli juu ya hiki kinachoendelea, eti watu wa upinzani kuandika barua na kuomba nafasi za kuteuliwa kugombea nafasi ya urais wa JMT october 2020, Wanachofanya vyama vya upinzani ni utani nadhani na imefikia wakati wameacha kuwa serious, maana haihitaji kuwa na Phd kutambua kuwa ndani ya upinzani hasa wa sasa, hakuna mtu hata mmoja anayeweza kusimama na JPM na kushindana naye, hawamuwezi kwa kukubalika, kwa sera, kwa uimara wa chama, kuaminiwa na waTanzania, yaani najaribu kuwaza hawa wapinzani wana tatizo gani hadi wanaleta mchezo hadi ktk mambo serious kama urais wa nchi.

Tafadhalini wapinzani bado mnayo nafasi hebu tafakarini upya na muendelee na kujipanga sio kudhani tu, ni lazima Mgombee hata kama ukweli mnaujua kuwa hamuwezi kushindana na JPM.

Kuna mtu aliwashauri wapinzani mumuunge mkono JPM, nafahamu aliwaza vema na anafahamu hali ya wapinzani ilivyo, mimi nawashauri anzeni kwanza kujenga vyama vyenu, kutumia vizuri ruzuku na mapato mengine ya chama na kuwaambia wanachama wenu yametumikaje, pia msifukuzane ovyo, kwakifupi mkajipange, mkisha kuwa serious hapo ndipo mnaweza kufikiria hata kujaribu kugombea urais.

"Bila CCM Madhubuti, nchiyetu itayumba"

CCM imara
So what?
 
Mpaka sasa wanasukumiana"aende lisu"lisu anachomoa hapana "aende nyarandu"
 
Ccm itashinda mapema sana ushindi wa kishindo
 
Ubaya ni kuwa wanasubiri majeruhi toka CCM
 
Habarini wadau...

Leo naomba nizungumze ukweli juu ya hiki kinachoendelea, eti watu wa upinzani kuandika barua na kuomba nafasi za kuteuliwa kugombea nafasi ya urais wa JMT october 2020, Wanachofanya vyama vya upinzani ni utani nadhani na imefikia wakati wameacha kuwa serious, maana haihitaji kuwa na Phd kutambua kuwa ndani ya upinzani hasa wa sasa, hakuna mtu hata mmoja anayeweza kusimama na JPM na kushindana naye, hawamuwezi kwa kukubalika, kwa sera, kwa uimara wa chama, kuaminiwa na waTanzania, yaani najaribu kuwaza hawa wapinzani wana tatizo gani hadi wanaleta mchezo hadi ktk mambo serious kama urais wa nchi.

Tafadhalini wapinzani bado mnayo nafasi hebu tafakarini upya na muendelee na kujipanga sio kudhani tu, ni lazima Mgombee hata kama ukweli mnaujua kuwa hamuwezi kushindana na JPM.

Kuna mtu aliwashauri wapinzani mumuunge mkono JPM, nafahamu aliwaza vema na anafahamu hali ya wapinzani ilivyo, mimi nawashauri anzeni kwanza kujenga vyama vyenu, kutumia vizuri ruzuku na mapato mengine ya chama na kuwaambia wanachama wenu yametumikaje, pia msifukuzane ovyo, kwakifupi mkajipange, mkisha kuwa serious hapo ndipo mnaweza kufikiria hata kujaribu kugombea urais.

"Bila CCM Madhubuti, nchiyetu itayumba"

CCM imara
Hapa kudu linahusika na mirembe iko hapohapo dom
Screenshot_20200605-134911_Twitter.jpeg
 
Kwa juhudu alizozionesha mheshimiwa rais John Pombe Magufuli katika taifa letu, ni dhahili kuwa upinzani hawana nafasi tena ya kupambana na kupindua meza ifikapo mwezi octoba mwaka huu.

Juhudi za kuinua uchumi wa Tanzania na kuifanya nchi yetu kuwa kati ya nchi chache barani Africa zenye uchumi unaokuwa kwa kasi kwa muda mfupi wa miaka mitano

Uboreshaji wa miundo mbinu pamoja na upatikanaji kirahisi huduma zote za afya, hii ni kutokana na miradi mbalimbali inayoendelea kujengwa. Na vituo vya afya katika kila kata hapa nchini.

Nafasi ya Kushinda uchaguzi mkuu ktk kiti cha uraisi kwa "CCM" chama tawala mwezi octoba ni kubwa ukilinganisha na vyama vya upinzani.

Nangojea sera za kila chama ktk uchaguzi huu, japokuwa nina imani chama tawala kitakuwa na wigo mpana ktk uandaaji wa sera zake kuliko upinzani. Hii n kutokana na muendelezo na uhalisia wa kila linalofanywa na serikali hii ya CCM kwa wakati huu wa miaka mitano.
 
It's true, naunga mkono hoja, na hapa nilizungumzia hili
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.

Ila kama mgombea wa pamoja wa upinzani atakuwa ni Tundu Lissu, yes bado rais Magufuli atashinda but it's not going to be an easy ride.

Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
P
Wewe ni Mwanahabari nikusaidie kidogo nenda pale Morogoro mtaa wa msamvu , kaongee na kada ambaye anaitwa Baraka Maswale utajua CCM wanatumia nini katika uchaguzi.

Kauli yako itakuwa kweli kama kutakuwa na Tume huru.
 
Kuwepo na tume huru ya uchaguzi na kusiwepo uingiliaji wa mapolisi. ma-DED, usalama au ma-ccm ktk vyumba vya uchaguzi.
Ikiwa hivyo uchaguzi ukianza saa 12 asubuhi ikifika saa 6 mchana ccm itakuwa imeandaliwa njia nyeupe ya kwenda kuzimu.
ccm weneyewe wanajua hili ndio maana hawataki tume huru kabisa.
 
Kuwepo na tume huru ya uchaguzi na kusiwepo uingiliaji wa mapolisi. ma-DED, usalama au ma-ccm ktk vyumba vya uchaguzi.
Ikiwa hivyo uchaguzi ukianza saa 12 asubuhi ikifika saa 6 mchana ccm itakuwa imeandaliwa njia nyeupe ya kwenda kuzimu.
ccm weneyewe wanajua hili ndio maana hawataki tume huru kabisa.
Maneno ya mkosaji hayo. Kwa sasa ccm haina mpinzan labda mtafute nch nyingine.
 
ccm iliyonyongelea mbali nyongeza ya mishahara ya watumishi wa umma miaka 5.
 
Kwa juhudu alizozionesha mheshimiwa rais John Pombe Magufuli katika taifa letu, ni dhahili kuwa upinzani hawana nafasi tena ya kupambana na kupindua meza ifikapo mwezi octoba mwaka huu.

Juhudi za kuinua uchumi wa Tanzania na kuifanya nchi yetu kuwa kati ya nchi chache barani Africa zenye uchumi unaokuwa kwa kasi kwa muda mfupi wa miaka mitano

Uboreshaji wa miundo mbinu pamoja na upatikanaji kirahisi huduma zote za afya, hii ni kutokana na miradi mbalimbali inayoendelea kujengwa. Na vituo vya afya katika kila kata hapa nchini.

Nafasi ya Kushinda uchaguzi mkuu ktk kiti cha uraisi kwa "CCM" chama tawala mwezi octoba ni kubwa ukilinganisha na vyama vya upinzani.

Nangojea sera za kila chama ktk uchaguzi huu, japokuwa nina imani chama tawala kitakuwa na wigo mpana ktk uandaaji wa sera zake kuliko upinzani. Hii n kutokana na muendelezo na uhalisia wa kila linalofanywa na serikali hii ya CCM kwa wakati huu wa miaka mitano.
Uko mbali sanakiakili
 
Hawana wagombea kabisa ni kuokoteza au kufanya mkopo kama 2015
Ni kweli, siku ya kupiga kura JPM ikifika saa tatu asubuhi atakuwa ameshashinda kura za urais sababu atakuwa tayari amepata kura milioni ishirini na tano.
 
Habarini wadau...

Leo naomba nizungumze ukweli juu ya hiki kinachoendelea, eti watu wa upinzani kuandika barua na kuomba nafasi za kuteuliwa kugombea nafasi ya urais wa JMT october 2020, Wanachofanya vyama vya upinzani ni utani nadhani na imefikia wakati wameacha kuwa serious, maana haihitaji kuwa na Phd kutambua kuwa ndani ya upinzani hasa wa sasa, hakuna mtu hata mmoja anayeweza kusimama na JPM na kushindana naye, hawamuwezi kwa kukubalika, kwa sera, kwa uimara wa chama, kuaminiwa na waTanzania, yaani najaribu kuwaza hawa wapinzani wana tatizo gani hadi wanaleta mchezo hadi ktk mambo serious kama urais wa nchi.

Tafadhalini wapinzani bado mnayo nafasi hebu tafakarini upya na muendelee na kujipanga sio kudhani tu, ni lazima Mgombee hata kama ukweli mnaujua kuwa hamuwezi kushindana na JPM.

Kuna mtu aliwashauri wapinzani mumuunge mkono JPM, nafahamu aliwaza vema na anafahamu hali ya wapinzani ilivyo, mimi nawashauri anzeni kwanza kujenga vyama vyenu, kutumia vizuri ruzuku na mapato mengine ya chama na kuwaambia wanachama wenu yametumikaje, pia msifukuzane ovyo, kwakifupi mkajipange, mkisha kuwa serious hapo ndipo mnaweza kufikiria hata kujaribu kugombea urais.

"Bila CCM Madhubuti, nchiyetu itayumba"

CCM imara
Wewe ukitaka kujua mgombea wa ccm alivyo mwoga wapambanishwe Lissu na jiwe kwenye mdahalo uone kama jiwe atathubutu.
 
Habarini wadau...

Leo naomba nizungumze ukweli juu ya hiki kinachoendelea, eti watu wa upinzani kuandika barua na kuomba nafasi za kuteuliwa kugombea nafasi ya urais wa JMT october 2020, Wanachofanya vyama vya upinzani ni utani nadhani na imefikia wakati wameacha kuwa serious, maana haihitaji kuwa na Phd kutambua kuwa ndani ya upinzani hasa wa sasa, hakuna mtu hata mmoja anayeweza kusimama na JPM na kushindana naye, hawamuwezi kwa kukubalika, kwa sera, kwa uimara wa chama, kuaminiwa na waTanzania, yaani najaribu kuwaza hawa wapinzani wana tatizo gani hadi wanaleta mchezo hadi ktk mambo serious kama urais wa nchi.

Tafadhalini wapinzani bado mnayo nafasi hebu tafakarini upya na muendelee na kujipanga sio kudhani tu, ni lazima Mgombee hata kama ukweli mnaujua kuwa hamuwezi kushindana na JPM.

Kuna mtu aliwashauri wapinzani mumuunge mkono JPM, nafahamu aliwaza vema na anafahamu hali ya wapinzani ilivyo, mimi nawashauri anzeni kwanza kujenga vyama vyenu, kutumia vizuri ruzuku na mapato mengine ya chama na kuwaambia wanachama wenu yametumikaje, pia msifukuzane ovyo, kwakifupi mkajipange, mkisha kuwa serious hapo ndipo mnaweza kufikiria hata kujaribu kugombea urais.

"Bila CCM Madhubuti, nchiyetu itayumba"

CCM imara
Iyumbe mara ngapi?
FB_IMG_1577352801250.jpg
 
Habarini wadau...

Leo naomba nizungumze ukweli juu ya hiki kinachoendelea, eti watu wa upinzani kuandika barua na kuomba nafasi za kuteuliwa kugombea nafasi ya urais wa JMT october 2020, Wanachofanya vyama vya upinzani ni utani nadhani na imefikia wakati wameacha kuwa serious, maana haihitaji kuwa na Phd kutambua kuwa ndani ya upinzani hasa wa sasa, hakuna mtu hata mmoja anayeweza kusimama na JPM na kushindana naye, hawamuwezi kwa kukubalika, kwa sera, kwa uimara wa chama, kuaminiwa na waTanzania, yaani najaribu kuwaza hawa wapinzani wana tatizo gani hadi wanaleta mchezo hadi ktk mambo serious kama urais wa nchi.

Tafadhalini wapinzani bado mnayo nafasi hebu tafakarini upya na muendelee na kujipanga sio kudhani tu, ni lazima Mgombee hata kama ukweli mnaujua kuwa hamuwezi kushindana na JPM.

Kuna mtu aliwashauri wapinzani mumuunge mkono JPM, nafahamu aliwaza vema na anafahamu hali ya wapinzani ilivyo, mimi nawashauri anzeni kwanza kujenga vyama vyenu, kutumia vizuri ruzuku na mapato mengine ya chama na kuwaambia wanachama wenu yametumikaje, pia msifukuzane ovyo, kwakifupi mkajipange, mkisha kuwa serious hapo ndipo mnaweza kufikiria hata kujaribu kugombea urais.

"Bila CCM Madhubuti, nchiyetu itayumba"

CCM imara
Kitu ambacho nina uhakika nacho , mgombea wa CCM yeyote atakayesimama bila Backup ya Policcm ,TEETH na NEC anaenda na MMA.
 
Back
Top Bottom