Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Waziri Hussein Bashe alikuwa na msimamo mzuri kuanzia alipoteuliwa kuwa Waziri wa Kilimo kuhusu kufungua mipaka kwa wageni kuja kununua mazao ya kilimo nchini.
Hii ilikuwa ni furaha kwa wakulima wetu, lakini miezi kama 6 tu iliyopita kwa kelele za Watanzania wavivu wakaiyumbisha Serikali mpaka ikaamua kudhibiti biashara ya mahindi.
Angalia kinachoendelea leo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la Mwananchi.
Hii ilikuwa ni furaha kwa wakulima wetu, lakini miezi kama 6 tu iliyopita kwa kelele za Watanzania wavivu wakaiyumbisha Serikali mpaka ikaamua kudhibiti biashara ya mahindi.
Angalia kinachoendelea leo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la Mwananchi.