Acheni wakulima wauze mahindi kwa wateja kwa bei ya soko

Acheni wakulima wauze mahindi kwa wateja kwa bei ya soko

Nnauhakika wewe hujawahi kulima kabisa wala kufanya biashara ya mazao.

Usijifanye kuwa msemaji kwa mambo usiyoyajuwa.
Na wewe unalima wapi? Kutwa uko JF kuchamba wasio wa imani yako kidini?
 
Haya sasa, swali la kujiuliza hapa kuhusu huyo Kenya kuzuia mahindi au bidhaa nyingine kuingizwa kwake ili kulinda wakulima wake; hiyo Jumuia ya Afrika Mashariki ipo ya nini sasa?

Huyo huyo Kenya, bidhaa zake zikizuiwa kwa sababu mbalimbali, ndiye wa kwanza kupiga kelele nyingi sana, lakini yeye anapozuia bidhaa za Uganda, kama mayai na maziwa, hauni kuwa anakiuka makubaliano ya ushirikiano wetu?

Sasa hii Jumuia ipo ya maana gani, kama siyo ya ushindani huru ndani ya soko zima. Anayezalisha kwa wingi na kwa gharama ndogo auze popote katika soko lililopo kwa ushindani.

Lakini sisi tunaona sawa tu, tunabaki tukilialia kama watoto wadogo.
Sasa mkuu hayo maswali ungeenda ukawauliza wakenya na sio mm.
 
Nimekuelewa sana. Bila shaka wewe ni mtu wa kitengo hivyo malalamiko ya sisi wakulima huyajui.
Na wewe Usiwalalamikie wakenya Kwa kukiuka mtangamano wa Afrika mashariki vinginevyo na wewe ni mmoja Watanzania walewale wanaopenda kulalamika bila kutoa suluhisho.
Ungenielewa usingeandika haya uliyoandika hapa.
Basi tu, ndiyo tabia zetu zilivyo, tabia za ubabaishaji na upotoshaji katika kila jambo.
Wewe kuwa mkulima hakukupi ufahamu zaidi ya wengine wote katika maswala haya.
 
Mkuu tatizo la mahindi halijashabishwa na yeyote na wala serikali haijafunga mipaka, bali mteja mkuu wa mahindi ya tz ambaye ni kenya imezuia uingizwaji wa mahindi kutoka nje ili kulinda wakulima wake kwa sababu mwaka huu kenya imevuna mahindi mengi.
Hapana mkuu Kenya ilichukua maamzi ya kuagiza mahindi nje huko Baada ya serikari yetu kusisitizwa na wapumbavu/ wavivu wachache kwamba haya mahindi kuendelea kupita kwenda Kenya kunaweza kusababisha upungufu mkubwa wa mahindi inchini

Lakini wasijue kwamba % kubwa ya mahindi yanayo enda Kenya haya limwi tz nimahindi yanayo limwa Zambia nimahindi mazuri masafi na meupe Yani niyale yanayo faa kwa kute ngenezea Dona

Naweza kusema nimahindi ambayo mwonekano wa Dona yake hauna tofauti na mwonekano wa sembe yetu ya kukoboa

Wafanya biashara wa mahindi Kenya wanalijua Hilo vizuri mkuu
 
Mkuu tatizo la mahindi halijashabishwa na yeyote na wala serikali haijafunga mipaka, bali mteja mkuu wa mahindi ya tz ambaye ni kenya imezuia uingizwaji wa mahindi kutoka nje ili kulinda wakulima wake kwa sababu mwaka huu kenya imevuna mahindi mengi.
Niongezee kwa kusema mkenya hanunui mahindi kwa ajiri ya chakura Cha ndani tu Bari pia nimsambazaji wa unga wa mahindi kwenye inchi za somaria, north & south sudani nk

Kwakifupi kuzuia mahindi yasie de Kenya ni makosa makubwa kwani hakuna solo la ndani linalo kimbizana na soko la mahindi la Kenya
Nikupe mfano mdogo tu kwamba kipindi serikari yetu inatangaza kununua mahindi kwa 800 mpaka 900 kwa kg.

Mkenya alikuwa ananunua kwa 1200 per kg lakini Baada ya mazingira ya mahindi kuvuka kuenda Kenya kuanza kuwa magumu mkenya akaondoka sokoni nakuwnda kuagiza mahindi Mexico

Serikari yetu ika nunua kwa 800 per kg mzambia ple rusaka akanunua kwa 1300 per kg kwahiyo Yale mahindi tuliyo nunua Zambia tukitegemea kuwauzia wakenya tukaanza Tena kuyarudisha rusaka zambia"

Kwani ilikuwa hafadhari kuliko kuiuzia serikari yetu. Sasa hebu fikiria umeusafirisha mzigo kutoka luwingu Zambia/mansa au rusaka unafika tz unakuta biashara hakuna kwani serikari imezuia mahindi yasie de Kenya

Unaanza upya kukata vibari mzigo uende Tena Zambia rusaka"
vipi kuhusu nauri,vibari,vijakazi,gharama za kulala rusaka miezi kadhaa?

mkuu kunawake zawatu mpaka Leo wameolewa rusaka wakiwa wanasubiri pesa zao

kuna walio.jinyonga na Kuna walio firisika pia

lakini binafsi ni mshukuru barozi wetu pale rusaka hakika alitu pambania kwani nibora hasara nusu kuliko hasara mazima
 
Niongezee kwa kusema mkenya hanunui mahindi kwa ajiri ya chakura Cha ndani tu Bari pia nimsambazaji wa unga wa mahindi kwenye inchi za somaria, north & south sudani nk

Kwakifupi kuzuia mahindi yasie de Kenya ni makosa makubwa kwani hakuna solo la ndani linalo kimbizana na soko la mahindi la Kenya
Nikupe mfano mdogo tu kwamba kipindi serikari yetu inatangaza kununua mahindi kwa 800 mpaka 900 kwa kg.

Mkenya alikuwa ananunua kwa 1200 per kg lakini Baada ya mazingira ya mahindi kuvuka kuenda Kenya kuanza kuwa magumu mkenya akaondoka sokoni nakuwnda kuagiza mahindi Mexico

Serikari yetu ika nunua kwa 800 per kg mzambia ple rusaka akanunua kwa 1300 per kg kwahiyo Yale mahindi tuliyo nunua Zambia tukitegemea kuwauzia wakenya tukaanza Tena kuyarudisha rusaka zambia"

Kwani ilikuwa hafadhari kuliko kuiuzia serikari yetu. Sasa hebu fikiria umeusafirisha mzigo kutoka luwingu Zambia/mansa au rusaka unafika tz unakuta biashara hakuna kwani serikari imezuia mahindi yasie de Kenya

Unaanza upya kukata vibari mzigo uende Tena Zambia rusaka"
vipi kuhusu nauri,vibari,vijakazi,gharama za kulala rusaka miezi kadhaa?

mkuu kunawake zawatu mpaka Leo wameolewa rusaka wakiwa wanasubiri pesa zao

kuna walio.jinyonga na Kuna walio firisika pia

lakini binafsi ni mshukuru barozi wetu pale rusaka hakika alitu pambania kwani nibora hasara nusu kuliko hasara mazima
Watu wasiojuwa tofauti ya "r" na "l" wanachosa sana kusoma. Unaishia huelewi kitu. Eti rusaka, barozi, firisika, vibari, hafadhari, serikari, kwa ajiri, somaria.

HOVYO!!
 
Watu wasiojuwa tofauti ya "r" na "l" wanachosa sana kusoma. Unaishia huelewi kitu. Eti rusaka, barozi, firisika, vibari, hafadhari, serikari, kwa ajiri, somaria.

HOVYO!!
Aiseeh tuko busy kufanya maisha sio kukagua kagua herufi za post za watu matako wewe
 
Back
Top Bottom