Acheni wakulima wauze mahindi kwa wateja kwa bei ya soko

Acheni wakulima wauze mahindi kwa wateja kwa bei ya soko

Serikali itanunua mahindi yote,huyo Jamaa kaandika upuuzi tuu usio na msingi na hafuatilii Hali ya mambo. Serikali kununua mahindi inahusikaje na soko kudoda?

Pili hakuna mfanyabiashara ataruhusiwa kwenda farm directly Kununua mahindi ya mkulima bila Kufuata vigezo.

Mwisho Ruto wa Kenya kazuia importation ya mahindi Kwa sababu wamezalisha ziada Kwa ruzuku kama Tanznaia na hivyo wanataka kununua mahindi Yao kwanza na sio ku import mahindi ya Tanzania ambayo ni bei rahisi harafu wauzie Serikali ya Kenya itakuwa hawajamsaidia mkulima wao ndio maana wamezuia.
Acha uongo we mzee ,Grain bulk handlers wameingia mkataba na Rostam na genghi kufungua ghala kadhaa kubwa sana ICD Nairobi , wanatoa nafaka urusi moja kwa moja mpaka Kenya . Mazao ya Kenya hayatoshi kusatisfy demand yao ,kule ugali ndo kama wali huku bongo.

Wanaimport kutoka kule baada ya kuona added bureacracy huku kwe2 . Huwezi wapiga importers added layer ya gharama eti wadeal direct na serkali sio mkulima . Hamna mfanyibiashara yyte hutaka dalali unnecessary .
Lile soko la Kenya miaka mitatu ijayo serikali isipochangamka itapotea
 
Acha uongo we mzee ,Grain bulk handlers wameingia mkataba na Rostam na genghi kufungua ghala kadhaa kubwa sana ICD Nairobi , wanatoa nafaka urusi moja kwa moja mpaka Kenya . Mazao ya Kenya hayatoshi kusatisfy demand yao ,kule ugali ndo kama wali huku bongo.
Wanaimport kutoka kule baada ya kuona added bureacracy huku kwe2 .
Huwezi wapiga importers added layer ya gharama eti wadeal direct na serkali sio mkulima .
Hamna mfanyibiashara yyte hutaka dalali unnecessary .
Lile soko la Kenya miaka mitatu ijayo serikali isipochangamka itapotea
Sikia wewe nyumbu,pamoja na sababu nilizoeleza hapo Juu hii ya kwako ni mojawapo ya sababu ya pili kwamba Kwa nini wameghairi nafaka ya Tanzania Kwa kuwa wamepata nafaka rahisi huko Ukraine.

Sasa kama unayajua hayo Serikali inahusikaje na kuharibika Kwa soko la mahindi? Sana sana ndio inamsaidia Mkulima maana kinyume na hapo hangeweza kupata soko Kwa vile wafanyabiashara wangemlalia maana Hawana pa Kupeleka nao Kwa Sasa wanategemea soko la Serikali.
 
Kila siku nawaambia njia pekee ya kuhakikisha soko la mahindi ni kukuza sekta yamifugo na Uvuvi basi tofauti na hapo ni kuyumba Kwa kwenda mbele.
 
We nae ni punguani,wakati Serikali inanunua ndio bei ilikuwa kubwa.

Sasa mwaka huu uzalishaji ni mkubwa, Serikali ilinunua Tani 350,000 lakini Bado Kuna Tani iddle kama 400,000 ambazo sio mfanyabiashara Wala nani ananunua.

Mbaya zaidi Kenya wameivisha na wakazuia kuingiza mahindi kwao wakulima hawana pa Kupeleka hiyo ziada na msimu wa Kilimo umefika hivyo Serikali imesema mwisho wa mwezi huu itaanza kununua tena.

Bei Bado ni kubwa ila mahindi hayatoki bei Iko kwenye 70,000-80,000 lakini hakuna wanunuzi ,Sasa hii sio bei ya soko? Mahindi hata yakiuzwa 55,000 kama yanatoka inamlipa mkulima.

Hakuna awamu ambapo wakulima wamepata faida ya Kilimo kama awamu ya mama na wanamshukuru Kwa Hilo na Serikali haijazuia popote.

Mwisho kama kweli kutakuwa na El nino lazima Serikali itanunua maana mwaka utakoafuata utakuwa na uzalishaji mdogo hivyo chakula Cha njaa kitatakiwa.
Nani kakudanganya kuwa El Nino unaleta njaa?
 
Option ni waache soko liamue, na mipaka isifungwe, anaetaka kuuza China auze, anaetaka kuuza Kenya auze tu
Kweli tuache soko liamue. Haya ya bei elekezi hayana tija. Sanasana NFRA iongezewe bajeti ya kununua wafikishe hata Tani 1,000,000 kwa msimu
 
Unayosema ni kweli , baada ya serikali kuingilia kati wakenya walifunga mpaka kuingiza mahindi .
Nikichukua hyo TIN number na added bureacracy nikienda kenya kuuza nakuta mahindi ya Uganda na malawi ni cheaper kuliko ye2 , Shida serikali hudhani kuwa tukiwa na kitu wengine hawana hawajui supply chains huku chini ni intertwined sana .
Nliacha kununua mahindi kwa wakulima , Rostam na genghi wamewekeza kwa ghala kubwa Nairobi ICD wanaingiza mahindi toka urusi ,serikali isiposhtuka soko lile litaenda
Mkuu Angalia Dm Yako
 
Kuhusu mahindi mkuu hakika wametuumiza Sana Sina hamu tena
Mkuu tatizo la mahindi halijashabishwa na yeyote na wala serikali haijafunga mipaka, bali mteja mkuu wa mahindi ya tz ambaye ni kenya imezuia uingizwaji wa mahindi kutoka nje ili kulinda wakulima wake kwa sababu mwaka huu kenya imevuna mahindi mengi.
 
Hili ndiyo kosa kubwa sana serikali ya Samia imetufanyia sisi wakulima. Bashe tulikuwa tunamwelewa sana. Wakulima tulikuwa na vicheko, tuliobahatika tuliuza kidogo mahindi huko huko shambani wakenya walitufuata tukawapa Kwa bei mzuri.
Lakini Serikali imeingilia biashara ya mahindi eti wanatataka kununua wao Kisha wake ya waende kununua kwao, sijui wawe na TIN namba, wasiende Moja Kwa Moja mashambani! Huko ni kumkomoa mshirika. Mahindi yametudodea ndani hatuna mahali pa kuuza. Kuna Ndugu yangu ana gunia 3000 Hana mahali pa kuuza. Mimi Nina gunia 100 Sina mahali pa kuuza. Mahindi yamo ndani yanaliwa na panya huku wakenya wanakufa na njaa.

Kibaya zaidi nasikia Urusi wanataka kuweka ghala ya kuuza nafaka Kenya, maana yake tutakuwa tumepoteza soko la Kenya mazima.
Kazi ya kilimo kwa Tanzania ni kazi ya hovyo hovyo. Tuwashauri vijana wasidanganyike watakuwa masikini.
Samahani mkuu 'mpop Ndabhit', natanguliza samahani kwa vile andiko lako lina 'UJINGA" mwingi sana ndani yake.

Sikulaumu wewe pekee juu ya hali hiyo, kwa sababu najua imekuwa jadi ya waTanzania kuuza "UJINGA" kila mahali.

Ili usinione mimi kuwa ninakuonea kwa kutumia neno hilo la ujinga, ngoja nikupe mifano michache kudhihirisha ujinga wako na wa wengi wanaokuunga mkono.
Mifano:
1. Soko huria halina maana ya nchi kujiachia tu biashara ifanyike kiholela. Hakuna nchi hata moja duniani iliyowahi kujiachia tu kila mtu ajifanyie apendavyo mwenyewe. Umezungumzia swala la waKenya kuja shambani kwako na kununua mazao, uliona wapi ikifanyika namna hiyo bila kuwepo taratibu, kama hizo zilizowekwa, ambazo sasa wewe na wenzako mnazilalamikia.

2. Unazungumzia Urusi kuuza mahindi Kenya, na wakati huo huo unasahau kabisa kutaja ushirikiano wetu wa kiuchumi katika Jumuia yetu ya Afrika Mashariki. Ina maana hujui chochote kuhusu uwepo wa ushirikiano wetu katika mambo ya Forodha? Mbona hujahoji chochote kuhusu ukiukwaji wa matakwa ya umoja huo na hao hao Kenya, kama watafanya kama unavyo eleza wewe!

WaTanzania tumekuwa ni watu wa kulalamika tu, hata katika maswala hatuna uelewa nayo. Badala ya kulalama tu, kwa nini tusichukue wakati wa kutafuta taarifa ili tujue usahihi wa mambo husika?
 
Mkuu tatizo la mahindi halijashabishwa na yeyote na wala serikali haijafunga mipaka, bali mteja mkuu wa mahindi ya tz ambaye ni kenya imezuia uingizwaji wa mahindi kutoka nje ili kulinda wakulima wake kwa sababu mwaka huu kenya imevuna mahindi mengi.
Haya sasa, swali la kujiuliza hapa kuhusu huyo Kenya kuzuia mahindi au bidhaa nyingine kuingizwa kwake ili kulinda wakulima wake; hiyo Jumuia ya Afrika Mashariki ipo ya nini sasa?

Huyo huyo Kenya, bidhaa zake zikizuiwa kwa sababu mbalimbali, ndiye wa kwanza kupiga kelele nyingi sana, lakini yeye anapozuia bidhaa za Uganda, kama mayai na maziwa, hauni kuwa anakiuka makubaliano ya ushirikiano wetu?

Sasa hii Jumuia ipo ya maana gani, kama siyo ya ushindani huru ndani ya soko zima. Anayezalisha kwa wingi na kwa gharama ndogo auze popote katika soko lililopo kwa ushindani.

Lakini sisi tunaona sawa tu, tunabaki tukilialia kama watoto wadogo.
 
Mnataka kusiwe na udhibiti ili fisadi na walanguzi wadhibiti kila kitu. Sasa hamkuona mahindi yote yakiishia kenya na wao kuyauza nje na kupata hela za kigeni wao badala yetu? Wakenya wakaja bila udhibiti na kwenda hdii vijijini kununua kwa shilingi ya kitanzania kwa kubadilishiwa hela zao na walanguzi. Hatukulia njaa kama watanzania? Sera za bashe ni kukuza ufisadi tu aende nazo somalia huko ndio ubabe na nguvu zinatawala.
Lakini kuna swali la kujiuliza hapa:

Umeelezea habari ya "waKenya kuja hapa, hadi kwenda vijijini kwa wakulima..."? Hili mimi linanitatiza sana.
Kuna sababu gani zinazozuia waTanzania kuingia hadi huko vijijini na kununua mazao, na kuyasafirisha wao hadi Kenya?

Hii habari kwa kweli huwa siielewi kabisa, kwa nini inakuwa hivyo!

Kenya wao waje hapa na malori yao, hadi vijijini kwa wakulima wetu, na kununua mazao moja kwa moja toka kwa wakulima, na kuyasafirisha mazao hayo hadi kwao Kenya.
Lakini wakati huo huo, sisi kazi hiyo ya kwenda vijijini kwetu, kukutana na wakulima wetu na kununua mazao yao kwa bei nzuri, na kuyasafirisha kwa malori yetu wenyewe hadi Kenya, kuyauza huko kwa bei nzuri; hii kazi kwetu hatuiwezi kabisa. Kwa nini?

Ninaomba mchango wa maelezo juu ya jambo hili.
 
Unayosema ni kweli , baada ya serikali kuingilia kati wakenya walifunga mpaka kuingiza mahindi .
Nikichukua hyo TIN number na added bureacracy nikienda kenya kuuza nakuta mahindi ya Uganda na malawi ni cheaper kuliko ye2 , Shida serikali hudhani kuwa tukiwa na kitu wengine hawana hawajui supply chains huku chini ni intertwined sana .
Nliacha kununua mahindi kwa wakulima , Rostam na genghi wamewekeza kwa ghala kubwa Nairobi ICD wanaingiza mahindi toka urusi ,serikali isiposhtuka soko lile litaenda
Sasa ulitaka wafanya biashara wasifanye biashara?

Serikali ilikataa kununua mahindi yako? Au ilikataa usiuze nje?
 
Waziri Hussein Bashe alikuwa na msimamo mzuri kuanzia alipoteuliwa kuwa Waziri wa Kilimo kuhusu kufungua mipaka kwa wageni kuja kununua mazao ya kilimo nchini.

Hii ilikuwa ni furaha kwa wakulima wetu, lakini miezi kama 6 tu iliyopita kwa kelele za Watanzania wavivu wakaiyumbisha Serikali mpaka ikaamua kudhibiti biashara ya mahindi.

Angalia kinachoendelea leo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la Mwananchi.

View attachment 2783448
Nnauhakika wewe hujawahi kulima kabisa wala kufanya biashara ya mazao.

Usijifanye kuwa msemaji kwa mambo usiyoyajuwa.
 
Nliacha kununua mahindi kwa wakulima , Rostam na genghi wamewekeza kwa ghala kubwa Nairobi ICD wanaingiza mahindi toka urusi ,serikali isiposhtuka soko lile litaenda
Mahindi toka Urusi yaingie Kenya kwa kutozwa Ushuru wa Forodha wa asli mia 35, bado yatakuwa na bei ndogo kuliko hayo yako uliyonunua kijijini kwa bei chee na kuyaingiza Kenya bila ya kulipia ushuru wa Forodha?

Hebu tuekeze vizuri tusiyoyajua sisi wengine ili tupate ufahamu mzuri kama ulio nao wewe.
Malawi anaweza kuwa tofauti, kwa sababu ya COMESA, lakini kwa mahindi ya Urusi, au kwingineko, hebu tupe shule mkuu 'Bandar Abbas'.
 
Kila siku nawaambia njia pekee ya kuhakikisha soko la mahindi ni kukuza sekta yamifugo na Uvuvi basi tofauti na hapo ni kuyumba Kwa kwenda mbele.
Nakubaliana na wewe. Kuna jamaa yangu analima mahindi mengi sana kiteto wakati huo huo ana shamba kubwa la nguruwe Kibaha. Anapata faida kubwa kuwalisha nguruwe mahindi kuliko kuyauza mahindi wale wanadamu. Jamani wakulima tufuge ng'ombe, mbuzi, nguruwe, samaki, nk Kisha mahindi Kwa Muda mfupi tutatengeneza faida kuliko kutegemea wakenya ambao wanazinguliwa na serikali Kwa kuwekewa mazingira mgumu ya biashara.
 
Samahani mkuu 'mpop Ndabhit', natanguliza samahani kwa vile andiko lako lina 'UJINGA" mwingi sana ndani yake.

Sikulaumu wewe pekee juu ya hali hiyo, kwa sababu najua imekuwa jadi ya waTanzania kuuza "UJINGA" kila mahali.

Ili usinione mimi kuwa ninakuonea kwa kutumia neno hilo la ujinga, ngoja nikupe mifano michache kudhihirisha ujinga wako na wa wengi wanaokuunga mkono.
Mifano:
1. Soko huria halina maana ya nchi kujiachia tu biashara ifanyike kiholela. Hakuna nchi hata moja duniani iliyowahi kujiachia tu kila mtu ajifanyie apendavyo mwenyewe. Umezungumzia swala la waKenya kuja shambani kwako na kununua mazao, uliona wapi ikifanyika namna hiyo bila kuwepo taratibu, kama hizo zilizowekwa, ambazo sasa wewe na wenzako mnazilalamikia.

2. Unazungumzia Urusi kuuza mahindi Kenya, na wakati huo huo unasahau kabisa kutaja ushirikiano wetu wa kiuchumi katika Jumuia yetu ya Afrika Mashariki. Ina maana hujui chochote kuhusu uwepo wa ushirikiano wetu katika mambo ya Forodha? Mbona hujahoji chochote kuhusu ukiukwaji wa matakwa ya umoja huo na hao hao Kenya, kama watafanya kama unavyo eleza wewe!

WaTanzania tumekuwa ni watu wa kulalamika tu, hata katika maswala hatuna uelewa nayo. Badala ya kulalama tu, kwa nini tusichukue wakati wa kutafuta taarifa ili tujue usahihi wa mambo husika?
Nimekuelewa sana. Bila shaka wewe ni mtu wa kitengo hivyo malalamiko ya sisi wakulima huyajui.
Na wewe Usiwalalamikie wakenya Kwa kukiuka mtangamano wa Afrika mashariki vinginevyo na wewe ni mmoja Watanzania walewale wanaopenda kulalamika bila kutoa suluhisho.
 
Back
Top Bottom