Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mimi na kua na hiyo kiu ila sitelekezi watoto?Kiu ya pombe ni mbaya sana
Chezea pombe weee! Hatari!View attachment 3092531
Mwanamke mmoja alipata adhabu ya viboko baada ya kuacha watoto peke yao nyumbani na kwenda kulewa. Kitendo chake kilizua hasira kwa jamii, kwani alionyesha uzembe kwa kuwatelekeza watoto, hali ambayo ingeweza kusababisha hatari kubwa.
Hatari sanaaView attachment 3092531
Mwanamke mmoja alipata adhabu ya viboko baada ya kuacha watoto peke yao nyumbani na kwenda kulewa. Kitendo chake kilizua hasira kwa jamii, kwani alionyesha uzembe kwa kuwatelekeza watoto, hali ambayo ingeweza kusababisha hatari kubwa.
😅😅😅Kiu ya pombe ni mbaya sana
Pombe isilaumiwe mkuuChezea pombe weee! Hatari!
Angewaacha kwa Jirani tu JamaniView attachment 3092531
Mwanamke mmoja alipata adhabu ya viboko baada ya kuacha watoto peke yao nyumbani na kwenda kulewa. Kitendo chake kilizua hasira kwa jamii, kwani alionyesha uzembe kwa kuwatelekeza watoto, hali ambayo ingeweza kusababisha hatari kubwa.
wewe umeolewa?Mbona mimi na kua na hiyo kiu ila sitelekezi watoto?
Mimi ni mwanaume naolewaje?wewe umeolewa?
Wanawake kama hawa hawa mwisho wa siku mambo yakiwaendea vibaya, wanatafuta wanaume wa kuwatunzia watoto wao wakati si kila mwanamme ni mtu sahihi kuwa naye kimapenzi maana utakuta mwingine yupo tu kwako kaja kulawiti watoto wako.View attachment 3092531
Mwanamke mmoja alipata adhabu ya viboko baada ya kuacha watoto peke yao nyumbani na kwenda kulewa. Kitendo chake kilizua hasira kwa jamii, kwani alionyesha uzembe kwa kuwatelekeza watoto, hali ambayo ingeweza kusababisha hatari kubwa.
Oh! nisameheMimi ni mwanaume naolewaje?