Achezea bakora kisa kuwafungia watoto ndani na kwenda kulewa

Achezea bakora kisa kuwafungia watoto ndani na kwenda kulewa

View attachment 3092531

Mwanamke mmoja alipata adhabu ya viboko baada ya kuacha watoto peke yao nyumbani na kwenda kulewa. Kitendo chake kilizua hasira kwa jamii, kwani alionyesha uzembe kwa kuwatelekeza watoto, hali ambayo ingeweza kusababisha hatari kubwa.
Tutaambinije kama amechalazwa
 
Back
Top Bottom