ACP Mukadamu: Utaratibu wa askari kusindikiza mabasi ya abiria umeonyesha mafanikio makubwa, tunaweza kuueneza nchi nzima

ACP Mukadamu: Utaratibu wa askari kusindikiza mabasi ya abiria umeonyesha mafanikio makubwa, tunaweza kuueneza nchi nzima

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wanayasindikizaje?.
Msafara na ving'ora kama vile viongozi wakuu?.
 
Wanayasindikizaje?.
Msafara na ving'ora kama vile viongozi wakuu?.
... kunakuwa na askari ndani kuhakikisha dereva anazingatia sheria zote za usalama barabarani. Sijui siku iikija kutokea ajali kwa gari iliyokuwa inasindikizwa watasemaje tena! Maana hata gari zao hizo hizo za polisi zinapiga mizinga balaa.

... ingetungwa sheria madereva wote wa mabasi ya abiria lazima wapitie mafunzo ya polisi na wawe askari japo private watakuwa wameua ndege wawili kwa jiwe moja; very simple ni thinking kidogo tu.
 
... kunakuwa na askari ndani kuhakikisha dereva anazingatia sheria zote za usalama barabarani. Sijui siku iikija kutokea ajali kwa gari iliyokuwa inasindikizwa watasemaje tena! Maana hata gari zao hizo hizo za polisi zinapiga mizinga balaa.
Duuuh! huu sasa ni mzaha...
 
... kunakuwa na askari ndani kuhakikisha dereva anazingatia sheria zote za usalama barabarani. Sijui siku iikija kutokea ajali kwa gari iliyokuwa inasindikizwa watasemaje tena! Maana hata gari zao hizo hizo za polisi zinapiga mizinga balaa.

... ingetungwa sheria madereva wote wa mabasi ya abiria lazima wapitie mafunzo ya polisi na wawe askari japo private watakuwa wameua ndege wawili kwa jiwe moja; very simple ni thinking kidogo tu.
Wakipata mafunzo ya polisi ndio watatuua,polisi wanaongoza kuvunja sheria
 
Wakipata mafunzo ya polisi ndio watatuua,polisi wanaongoza kuvunja sheria
... hapana chief; kazi ya msingi ya jeshi la polisi ni usalama wa raia na mali zao. Kuwepo wavunjifu wachache wa sheria haina maana ni jeshi lote linafanya hivyo. Hayo magari waendeshe wao; "mchawi mkabidhi mtoto akulelee"; wahenga hawajawahi kukosea.
 
... kunakuwa na askari ndani kuhakikisha dereva anazingatia sheria zote za usalama barabarani. Sijui siku iikija kutokea ajali kwa gari iliyokuwa inasindikizwa watasemaje tena! Maana hata gari zao hizo hizo za polisi zinapiga mizinga balaa.

... ingetungwa sheria madereva wote wa mabasi ya abiria lazima wapitie mafunzo ya polisi na wawe askari japo private watakuwa wameua ndege wawili kwa jiwe moja; very simple ni thinking kidogo tu.
Sio kwamba gari ya kwanza kuondoka mkoa husika inatanguliwa na gari ya polisi halafu hakuna gari nyingine kuipita hiyo ya mbele?
 
... hapana chief; kazi ya msingi ya jeshi la polisi ni usalama wa raia na mali zao. Kuwepo wavunjifu wachache wa sheria haina maana ni jeshi lote linafanya hivyo. Hayo magari waendeshe wao; "mchawi mkabidhi mtoto akulelee"; wahenga hawajawahi kukosea.
Wanapita na magari yao binafsi njia ya mwendokasi kila siku.kesi ya nyani hakimu ngedere
 
ACP Mukadamu wa kikosi cha usalama barabarani amesema utaratibu wao wa askari kusindikiza mabasi ya abiria umeonyesha mafanikio makubwa sana ya kuzuia ajali hasa huko Singida, Mbeya, Songwe na sasa Dodoma.

Afande Mukadamu amesema utaratibu huu unaweza kufanywa kwa nchi nzima ili kuwanusuru abiria na ajali za kizembe.

Chanzo: Clouds tv

Pia soma > Kuanzia 18/01/2022 Mabasi ya Abiria yatokayo Dodoma yatakuwa yanasindikizwa na Polisi ili kudhibiti ajali barabarani
Hawa hawa waliosababisha ajali ya magari 8 kwa mpigo Tanga ndo wa kuwaamini?
 
Back
Top Bottom