ACP Mukadamu: Utaratibu wa askari kusindikiza mabasi ya abiria umeonyesha mafanikio makubwa, tunaweza kuueneza nchi nzima

ACP Mukadamu: Utaratibu wa askari kusindikiza mabasi ya abiria umeonyesha mafanikio makubwa, tunaweza kuueneza nchi nzima

Kwa sasa ingekuwa vizuri kupata tafiti kutoka tume huru ili kupata takwimu sahihi.....
Exactly maana hawa wenzetu wanakurupuka tuu, hasa baada ya kushindwa kusimamia usalama barabarani. Mfano sioni ni kwa nini barabara kuu zote zisifungwe camera ili kubaini magari yote yanayoendeshwa vibaya...
 
ACP Mukadamu wa kikosi cha usalama barabarani amesema utaratibu wao wa askari kusindikiza mabasi ya abiria umeonyesha mafanikio makubwa sana ya kuzuia ajali hasa huko Singida, Mbeya, Songwe na sasa Dodoma.

Afande Mukadamu amesema utaratibu huu unaweza kufanywa kwa nchi nzima ili kuwanusuru abiria na ajali za kizembe.

Chanzo: Clouds tv

Pia soma > Kuanzia 18/01/2022 Mabasi ya Abiria yatokayo Dodoma yatakuwa yanasindikizwa na Polisi ili kudhibiti ajali barabarani
Hata huyu alikuwa anatumika kusindikiza mabasi Mkoa wa Iringa

A579C0D6-9840-4B8D-8FE1-36B568A783F9.jpeg


426BD031-E8F6-4BB0-A8AC-9949213DA40C.jpeg


F4A8851C-F1FF-4EB2-B8F3-52C6C76248CF.jpeg
 
Huyo askari atapewa chake safi kabisa alaf watu wanapiga gia fresh tu
 
Back
Top Bottom