ACP Mukadamu: Utaratibu wa askari kusindikiza mabasi ya abiria umeonyesha mafanikio makubwa, tunaweza kuueneza nchi nzima

Kwa sasa ingekuwa vizuri kupata tafiti kutoka tume huru ili kupata takwimu sahihi.....
Exactly maana hawa wenzetu wanakurupuka tuu, hasa baada ya kushindwa kusimamia usalama barabarani. Mfano sioni ni kwa nini barabara kuu zote zisifungwe camera ili kubaini magari yote yanayoendeshwa vibaya...
 
Hata huyu alikuwa anatumika kusindikiza mabasi Mkoa wa Iringa





 
Huyo askari atapewa chake safi kabisa alaf watu wanapiga gia fresh tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…