Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Jeshi la polisi lipo siku litapigwa na kitu kizito hawataamini macho yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapajua coco beach saa nne Usiki panakuwajeD
Uh! Umeshangaza sana. Yaani mtu akiwa kwenye hali mbaya sana, watu hawawezi kumsaidia!! Wakati kwa watu wenye akili timamu, unachokisema ni kinyume chake. Kwa mwenye akili timamu, mtu aliyepo kwenye hali mbaya sana ndiye watu humsaidia kwa haraka.
Mara 3 nimewahi kuwachukua watu waliogongwa na magari, na kuwakimbiza haraka hospitali, wakiwa hawajitambhi, na sijui kama walipona au la, ila mimi nilitekeleza wajibu wangu wa kiutu.
Polisi walinishukuru sana na kusema kuna watu wa ajabu, wakiona mtu amegongwa na gari, wanamkimbia huyo majeruhi, huku wakieneza maneno ya uwongo, kuwa eti ukimsaidia aliyegongwa na gari, unageuziwa kesi kuwa ni wewe uliyemgonga. Labda hao ndiyo wenye mawazo kama hayo ya kwako.
Mimi katika hizo mara zote 3, polisi walinishukuru, na hakuna hata mmoja aliyewahi kunisumbua kwa lolote, zaidi ya kuombwa tu details zangu.
Zanzibar ndio walianzisha hizi drama za kutekwa, bara wakaiga. Kumbuka mashehe wa uamsho walitekwana baadaye wakakutwa porini, Sasa kutekwa imekuwa dili bara. ACT wameona CDM wanafaidi sana na hizi drama za utekaji nao wameingia sasaZanz hatujawahi kusikia utekaji na namna hii
anza mkuu toka tu barabarani sisi nyuma yya
Sawaanza mkuu toka tu barabarani sisi nyuma yako
Ondoa uchama mkuu hii isseu ukute hata wasio na chama wanatekwaZanzibar ndio walianzisha hizi drama za kutekwa, bara wakaiga. Kumbuka mashehe wa uamsho walitekwana baadaye wakakutwa porini, Sasa kutekwa imekuwa dili bara. ACT wameona CDM wanafaidi sana na hizi drama za utekaji nao wameingia sasa
Act wazalendo walienda kituoni gogoni wakakuta gari lililombeba nondo linabadilishwa plate number.unataka kusema Nini?Amejiuliza maswali ya ufahamu kama ambavyo mtu mwenye akili timamu anapaswa kufanya.
Acha mambo hayo unajifanya huelewi au kwa sababu hajatekwa ndugu yakoMhhhh.....
Mbona tena maelezo ya mwenyekiti hayaeleweki..🤔
Wakati anapigwa alikua anaambiwa nini??
Alipo tupwa coco, aliomba msaada kwa nani??
Kidogo inafikirisha usiku wa saa nne/tano unapo omba msaada eneo kama koko nani atakuamini na kubeba msala huku akiona muhusika anahali mbaya??
Au ndio tuhitimishe kama wahenga walivyosema mganga karudisha kuku...😜
Mimi nampa pole sana Nondo ila chama cha ACT sikiamini sana hasa kiongozi wake mstaafu hiki chama kimekaa kimaadeal deal tu na asilimia kubwa ya waanzilishi wa chama hiki hawakutoka vizuri kwenye vyama walivyotoka. Ngoja tuine jinsi hili sakata linavyoklwenda kwa mawazo yangu na mimi hisia zangu zinavyonoutuma naona kama sarakasi fulani zakufifisha mjadala wa uchaguzi wa serikaali za mitaa Aidha ACT walihusishwa au haswakuhussishwa moja kwa moja ,mimi niendelee kuwadhauri watu pamoja na sakata hilli lakinii mijadala ya nini kilicho jiri ktk uchaguzi wa serkali za mitaa na mambo yaliyojiri wakati wa huo utekaji uchagguzi yaendelee ujhadiliwa. Mimi nauamini kwa asilimia 100% uongozi wa sasa wa wananchi ACT lakini wajue kabisa wenye hocho chama wasnaweza kuwauza wakati wowote wskilleta jeuri. ACT kkinaendelea kujijjenga na kuimarika ila msingii uikiwa mbovu jengo kuimarika ni kazi sana.Wakuu,
Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Isihaka Mchinjita amesema kuwa Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa chama hicho Abdul Nondo amepigwa sana na kuumizwa sana pia kwa hali aliyonayo hawezi kuzungumza vizuri.
Mchinjita ameyasema hayo usiku huu (2:15 Disemba 02, 2024) baada ya kufika katika hospitali ya Aga Khan alipolazwa Nondo na kueleza kuwa baada ya kutekwa kwa Nondo alifungwa kitambaa cheusi na kupigwa sana huku akitishiwa kifo.
Pia soma: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
“maelezo yake ni kwamba alipotolewa pale stendi ya Magufuli alifungwa kitambaa kwa hiyo hakuwa anaona baada ya hapo amekuwa akipigwa muda mrefu baadae walisitisha kwenye eneo ambalo halifahamu baadae alitupwa pale Coco Beach ambapo walimfungua kitambaa na pingu na alibaini kwamba yupo Coco Beach na akaomba msaada”.
Soma pia: Taarifa ya Polisi kuhusu kutekwa kwa Abdul Nondo sijaielewa
Kuhusu kitu ambacho Nondo alikuwa anaambiwa na watekaji Mchinjita amesema “maelezo anaytoa (Abdul Nondo) ni kwamba alipigwa na alikuwa kwenye kitisho cha kifo na yeye alipopelekwa pale Coco Beach na pale baharini alijua ni hatma yake kwa sababu alikuwa amefungwa na wakamuacha kwenye lile eneo lakini baadae akatishwa tu kwamba akikamatwa tena basi hawatomuachia”.
Mimi yote najiuliza na nimeshajiuliza.Je, na wewe uimejiuliza Sativa alinusurikaje?
Je, wanaosema ni Kudra ya mwenyezi Mungu huwa chanzo ni nini hadi watamke hivyo?
Hawa act si ni watoto penwa wa imekuwaje?Wakuu,
Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Isihaka Mchinjita amesema kuwa Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa chama hicho Abdul Nondo amepigwa sana na kuumizwa sana pia kwa hali aliyonayo hawezi kuzungumza vizuri.
Mchinjita ameyasema hayo usiku huu (2:15 Disemba 02, 2024) baada ya kufika katika hospitali ya Aga Khan alipolazwa Nondo na kueleza kuwa baada ya kutekwa kwa Nondo alifungwa kitambaa cheusi na kupigwa sana huku akitishiwa kifo.
Pia soma: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
“maelezo yake ni kwamba alipotolewa pale stendi ya Magufuli alifungwa kitambaa kwa hiyo hakuwa anaona baada ya hapo amekuwa akipigwa muda mrefu baadae walisitisha kwenye eneo ambalo halifahamu baadae alitupwa pale Coco Beach ambapo walimfungua kitambaa na pingu na alibaini kwamba yupo Coco Beach na akaomba msaada”.
Soma pia: Taarifa ya Polisi kuhusu kutekwa kwa Abdul Nondo sijaielewa
Kuhusu kitu ambacho Nondo alikuwa anaambiwa na watekaji Mchinjita amesema “maelezo anaytoa (Abdul Nondo) ni kwamba alipigwa na alikuwa kwenye kitisho cha kifo na yeye alipopelekwa pale Coco Beach na pale baharini alijua ni hatma yake kwa sababu alikuwa amefungwa na wakamuacha kwenye lile eneo lakini baadae akatishwa tu kwamba akikamatwa tena basi hawatomuachia”.
Pia soma:
akwambie nini,nyie ndo watekaji wenyewetuambie
Aliomba msaada kwa bibi yako.Mhhhh.....
Mbona tena maelezo ya mwenyekiti hayaeleweki..🤔
Wakati anapigwa alikua anaambiwa nini??
Alipo tupwa coco, aliomba msaada kwa nani??
Kidogo inafikirisha usiku wa saa nne/tano unapo omba msaada eneo kama koko nani atakuamini na kubeba msala huku akiona muhusika anahali mbaya??
Au ndio tuhitimishe kama wahenga walivyosema mganga karudisha kuku...😜
Acha roho mbaya. Nd mana mmeenguliwa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa!! Mavi kabisa wwUshrikiano uliokuwepo kwenye hii kadhia kati ya viongozi ACT na polisi ni kama ule wa yule mwandishi aliotekeshwa na wanaosemekana ni wafanyabiashara wenzake. Nasubiri pongezi kwa jeshi la polisi kutuka ACT
Wewe ume elewaje, kwani?Inaonekana Kuna ukweli unaujua.ebu tuambie tusije kuwapa lawama polisi bure
Umekielewa ulichoandika?au na wewe mwili mkubwa akili KISODA?Wewe ume elewaje, kwani?
Si hayo kauliza maswali. Umejaribu kujibu hata moja kati ya hayo maswali, badala ya wewe kujazia tu tafsiri yako, ambayo nayo hukutaka kuieleza hapa?
Inawezekana unatoka kwenye "ujinga" ukielekea kwenye upumbavu. Sina njia ya kukusaidia hilo lisitokee.Umekielewa ulichoandika?au na wewe mwili mkubwa akili KISODA?