Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mafuru India,ACT-W, kweli wanakosa fedha dogo apande ndege to India,mbona zito kiliuma kichwa tu akapandishwa ndege
Umeona eeh.Umeokotwa usiku unasema niliwaambia wanipeleke ofisi ya chama usiku saa 5 sababu watanisaidia sasa kweli saa 5 usiku nani yupo ofisini? kama aliweza kuwapigia simu kwanini asingewapigia pale pale alipopatikana. Huyo aliyemuokota mbona haonekani? kweli hakuna hata mashahidi.
Inashangaza sana.Yaani abdul nondo ni tishio kiasi hiki
yaan hali ya mgonjwa PRIVACY zake zitangazwe na HOSPITAL public umeona wapi hiyoAct n madaktari,taarifa itolewe na agha Khan wenyewe
India? 🐼ACT-W, kweli wanakosa fedha dogo apande ndege to India,mbona zito kiliuma kichwa tu akapandishwa ndege
gentleman,Tlaatlaah Lucas Mwashambwa na Shangazi yenu The Sunk Cost Fallacy 2 njaa za mabosi wenu zinamalizia kuligawa Taifa vipande vipande.
Shida sio kwenda India,huko India utapata sapoti kama bongo ,ACT-W, kweli wanakosa fedha dogo apande ndege to India,mbona zito kiliuma kichwa tu akapandishwa ndege
Aonekane kivipi Ndugu yangu?Umeokotwa usiku unasema niliwaambia wanipeleke ofisi ya chama usiku saa 5 sababu watanisaidia sasa kweli saa 5 usiku nani yupo ofisini? kama aliweza kuwapigia simu kwanini asingewapigia pale pale alipopatikana. Huyo aliyemuokota mbona haonekani? kweli hakuna hata mashahidi.
Waliomteka walimwambia ana mdomo sana. Video nyingi za nondo anaongelea ukosefu wa ajira kwa vijana. Inawezekana suala la ukosefu wa ajira kwa vijana ni jambo Tishio mno. Waza nje ya box hali ya ukosefu wa ajiraYaani abdul nondo ni tishio kiasi hiki
😏Atujafikia uko
Weye mjinga sana walipokelewa na walinzi wa chama khanisi Waheed weyeUmeokotwa usiku unasema niliwaambia wanipeleke ofisi ya chama usiku saa 5 sababu watanisaidia sasa kweli saa 5 usiku nani yupo ofisini? kama aliweza kuwapigia simu kwanini asingewapigia pale pale alipopatikana. Huyo aliyemuokota mbona haonekani? kweli hakuna hata mashahidi.
Wampeleke India kabla haujawa too late.Abdul Nondo akutwa na kiwango kikubwa cha sumu mwilini
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT-Wazalendo Taifa Ndg. Abdul Nondo jana tarehe 03 Disemba 2024, alifanyiwa upasuaji mdogo kwenye unyayo baada ya madakatri wanaomuuguza katika hospitali ya Aga Khan kubaini uwepo wa mivunjiko midogomodogo iliyotokana na kuumizwa vibaya wakati alipotekwa na baadae kutelekezwa katika ufukwe wa Bahari wa Coco Beach jijini Dar eSalaam.
Aidha Madaktari wamedai mwili wa Abdul Nondo unaonyesha kuwa na kiwango kikubwa cha Sumu ambayo mpaka sasa hawajajua kama zimetokana na athari za kupigwa na kuteswa au kama alipewa kitu chenye sumu na watekaji wake.
Kutokana na hali hiyo Uongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, umewaomba madaktari kumfanyia Uchunguzi zaidi kwa ajili ya kubaini aina ya Sumu iliyo mwilini mwake na kama zimetokana na kupewa Sumu
Kwa sasa hali ya Mwenyekiti Abdul Nondo bado si nzuri, mikono yake imevimba na ana maumivu makali mwilini japo madaktari wanaendelea kupambana kuhakikisha afya yake inaimarika na kurudi kwenye hali yake ya kawaida.
Tunawashukuru watanzania wote kwa maombi yenu kwa Mwenyekiti wetu, tunaomba tuendelee kumwombea wakati madaktari nao wakiendelea kupambana kurejesha afya yake katika hali ya kawaida.
Wakose hela ya ndege kigoma to dar walipe ya IndiaACT-W, kweli wanakosa fedha dogo apande ndege to India,mbona zito kiliuma kichwa tu akapandishwa ndege
Unakumbuka kupigwa kwa bomu office za IMMMA ADVOCATES?Atujafikia uko
Naona Askari wenzako wamepika tukio la Kukamata wasiojulikana.Tanzania ni moja,
na itabaki kua moja chini ya jemedari mkuu wa nchi moja, na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan na si vinginevyo