Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unaonaje kama ungekuwa unachukua miaka au umri wa watu wengine unajiongezea ili uishi miaka mingi na uriowapola ukiwaacha wakijifia,je ungeuwa wangapi?una roho mbaya sanaUmeokotwa usiku unasema niliwaambia wanipeleke ofisi ya chama usiku saa 5 sababu watanisaidia sasa kweli saa 5 usiku nani yupo ofisini? kama aliweza kuwapigia simu kwanini asingewapigia pale pale alipopatikana. Huyo aliyemuokota mbona haonekani? kweli hakuna hata mashahidi.
Sasa roho mbaya kuuliza ni nani huyo alimuokota na kumpeleka ofisini?Hivi unaonaje kama ungekuwa unachukua miaka au umri wa watu wengine unajiongezea ili uishi miaka mingi na uriowapola ukiwaacha wakijifia,je ungeuwa wangapi?una roho mbaya sana
zamu yenu inakuja kama hutalipiya wewe watalipia wanao, Mozambique wameshaanza kunyolewa wananchi wanachoma ofisi za Frelimo na kuvamia vituo vya polisi na kufungua magereza kuwaachia wafungwaSasa roho mbaya kuuliza ni nani huyo alimuokota na kumpeleka ofisini?
Anza wewe kama kidume kwelizamu yenu inakuja kama hutalipiya wewe watalipia wanao, Mozambique wameshaanza kunyolewa wananchi wanachoma ofisi za Frelimo na kuvamia vituo vya polisi na kufungua magereza kuwaachia wafungwa
mwenye part time sessions nyingi zadi vyuo vikuu mbalimbali ndani na nje ya nchiProfesa wa KIU

Acha ujinga wako. Hiyo siyo taarifa ya kitabibu. Ni taarifa kwa umma!Act n madaktari,taarifa itolewe na agha Khan wenyewe
CCM mitano tena 🤣 🤣 🤣 🤣Umeona eeh.
Inawezekana alijiteka, akajipiga hadi kujivimbisha mikono mgongo na nyayo, akajiwekea sumu, kisha kwenda kujitupa coco beach, na baadae kuita watu wampeleke ofisini kwao.
Au unaonaje?
Lipo la kujifunza, kwamba, yeyote yanaweza kumkuta. Kila mtu apinge ukatiri juu ya mtu yeyote.Abdul Nondo akutwa na kiwango kikubwa cha sumu mwilini
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT-Wazalendo Taifa Ndg. Abdul Nondo jana tarehe 03 Disemba 2024, alifanyiwa upasuaji mdogo kwenye unyayo baada ya madakatri wanaomuuguza katika hospitali ya Aga Khan kubaini uwepo wa mivunjiko midogomodogo iliyotokana na kuumizwa vibaya wakati alipotekwa na baadae kutelekezwa katika ufukwe wa Bahari wa Coco Beach jijini Dar eSalaam.
Aidha Madaktari wamedai mwili wa Abdul Nondo unaonyesha kuwa na kiwango kikubwa cha Sumu ambayo mpaka sasa hawajajua kama zimetokana na athari za kupigwa na kuteswa au kama alipewa kitu chenye sumu na watekaji wake.
Kutokana na hali hiyo Uongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, umewaomba madaktari kumfanyia Uchunguzi zaidi kwa ajili ya kubaini aina ya Sumu iliyo mwilini mwake na kama zimetokana na kupewa Sumu
Kwa sasa hali ya Mwenyekiti Abdul Nondo bado si nzuri, mikono yake imevimba na ana maumivu makali mwilini japo madaktari wanaendelea kupambana kuhakikisha afya yake inaimarika na kurudi kwenye hali yake ya kawaida.
Tunawashukuru watanzania wote kwa maombi yenu kwa Mwenyekiti wetu, tunaomba tuendelee kumwombea wakati madaktari nao wakiendelea kupambana kurejesha afya yake katika hali ya kawaida.
Kuna watu wanajidai wehu kabisa, kisa kushabikia uchawa.CCM mitano tena 🤣 🤣 🤣 🤣