ACT Wazalendo: Abdul Nondo amekutwa na kiwango kikubwa cha sumu mwilini

Naona Askari wenzako wamepika tukio la Kukamata wasiojulikana.
there is completely no room or escape root for criminals within the borders of our beautiful country.

there is zero tolerance for the ones who are in one way or another, associates in planing for criminal acts in this very beautiful republic,

endangering peace and stability of good people of Tanzania is grave mistake.
better to be careful, someone may end up being buried

 
Waharifu mnawafuga na mnawatuma na kuwatumia nyinyi CCM vichaa kabisa.
Then mnakuja na maigizo ya kitoto.
 
Sasa Tanzania ndio tumefika hapa kweli?! Simba anaua swala na digidigi kwa ajili ya chakula, nyoka anamuua mwanadamu bila kumla kwa sababu ya kujihami. Mwanadamu anamuua mwanadamu mwenzie kwa ajili ya kulinda nafasi yake kweli!? Laana kubwa sana hii kwa Taifa! Fahamuni kwamba Mungu anaona (God is watching)! History reminds us wababe wa Dunia waliishiaje hapa duniani? Madikteta wa duniani mwisho wao ulikuwaje? Always tenda wema na ha haki katika nafasi yako hapa duniani kwa sababu hujui kesho yako hapa duniani na ahera! GOD IS WATCHING!
 
Aidha Madaktari wamedai mwili wa Abdul Nondo unaonyesha kuwa na kiwango kikubwa cha Sumu ambayo mpaka sasa hawajajua kama zimetokana na athari za kupigwa na kuteswa au kama alipewa kitu chenye sumu na watekaji wake.
 
Huu unyama haukubaliki, utawala wa Sheria upo wapi ?
 
Kaa kimya sio lazima uongee ujinga wako pumbavu Mimi Baba yako nimekwambia kaa kimya
 
Mama anaupiga mkubwa.
 
Profesa wa KIU
 
Wauwaji mnawajua pamamaben
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…