ACT Wazalendo: Abdul Nondo amekutwa na kiwango kikubwa cha sumu mwilini

Hivi unaonaje kama ungekuwa unachukua miaka au umri wa watu wengine unajiongezea ili uishi miaka mingi na uriowapola ukiwaacha wakijifia,je ungeuwa wangapi?una roho mbaya sana
 
Hivi unaonaje kama ungekuwa unachukua miaka au umri wa watu wengine unajiongezea ili uishi miaka mingi na uriowapola ukiwaacha wakijifia,je ungeuwa wangapi?una roho mbaya sana
Sasa roho mbaya kuuliza ni nani huyo alimuokota na kumpeleka ofisini?
 
Sasa roho mbaya kuuliza ni nani huyo alimuokota na kumpeleka ofisini?
zamu yenu inakuja kama hutalipiya wewe watalipia wanao, Mozambique wameshaanza kunyolewa wananchi wanachoma ofisi za Frelimo na kuvamia vituo vya polisi na kufungua magereza kuwaachia wafungwa
 
zamu yenu inakuja kama hutalipiya wewe watalipia wanao, Mozambique wameshaanza kunyolewa wananchi wanachoma ofisi za Frelimo na kuvamia vituo vya polisi na kufungua magereza kuwaachia wafungwa
Anza wewe kama kidume kweli
 
Lipo la kujifunza, kwamba, yeyote yanaweza kumkuta. Kila mtu apinge ukatiri juu ya mtu yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…