Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 1,302
- 1,939
Inawezekana na poti naye akatembea humo humo🤣🤣🤣Shehe Mselem alishasema ni Haramu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana na poti naye akatembea humo humo🤣🤣🤣Shehe Mselem alishasema ni Haramu
Nyinyi jamaa na yule Kiongozi wenu Mkuu, huwa siwaamini kabisa. Hivi mnaweza hata kutoa msimamo wa kuunga mkono eti!!Leo Jumatatu tar. 4. 9.2023 Saa 5:00 asubhhi Chama cha @ACTwazalendo kitatoa Uchambuzi, msimamo na Mapendekezo yake kuhusu sakata la #Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na @DPWorldUAE.
View attachment 2738378
Wewe una akili?Yeyote anayeunga mkono mkataba wa DP WORLD na serikali ya TZ hana akili. Thinking capacity Iko chini. Reasoning is very LOW. Kama huna akili kweli kama nilivyoelezea hata hapa nilichokiandika hutakielewa.
Mkataba hauna ubovu Ila nyie chadema kazi yenu ni kupinga kila kitu cha serikali!!Hakuna anaepinga uwekezaji, kinachopingwa na mkataba mbovu.
Only fools will understand youMkataba hauna ubovu Ila nyie chadema kazi yenu ni kupinga kila kitu cha serikali!!
Chadema na Tec wanapingaStupid as stupid does. Kwani nani anapinga uwekezaji?
Amandla...
Sema nyumbu za chadema ndo haziwezi kunielewa make zenyewe zinasikiliza tu alichosema mbowe hata kama kalewa konyagi zake.Only fools will understand you
Kama una hoja weka mezani ila uwekezaji wa Bandari ni lazima, hongera sana ACT Wazalendo
View: https://www.instagram.com/reel/CwxCiuWKjdJ/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Wewe ni empty kabisaSema nyumbu za chadema ndo haziwezi kunielewa make zenyewe zinasikiliza tu alichosema mbowe hata kama kalewa konyagi zake.
We Mzee mgaya unazeeka vibaya!!ACT Wazalendo iko Zanzibar baba Waislamu Watupu
Huyu Zitto alishaga muuzia Chama Maalim Seif 🤣🌟🐼
Angalia na kiswahili chako hiki Sasa!Mkataba hauna ubovu Ila nyie chadema kazi yenu ni kupinga kila kitu cha serikali!!
Umepewa ngapi mkuu?Sema nyumbu za chadema ndo haziwezi kunielewa make zenyewe zinasikiliza tu alichosema mbowe hata kama kalewa konyagi zake.
We ni kalai akili zako umekabidhi Kwa mbowe mlevi wa konyagiWewe ni empty kabisa
Nyie wote mnapinga mkiongozwa na TECNani anayepinga? Mbona hili swali hamjibu?