Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 1,302
- 1,939
Hata na TLS nao ni chadema !!!!!Mkataba hauna ubovu Ila nyie chadema kazi yenu ni kupinga kila kitu cha serikali!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata na TLS nao ni chadema !!!!!Mkataba hauna ubovu Ila nyie chadema kazi yenu ni kupinga kila kitu cha serikali!!
TEC wanampinga uwekezaji mazimaHakuna anaepinga uwekezaji, kinachopingwa na mkataba mbovu.
Huu mkataba hata Shetani haumuingii akilini.
Na bila ya hao hata kujua kusoma na kuandika visingekuwepo kwa wakati huo!!Tena hao kanisa katoliki ndiyo kabisa walikuwa wa kwanza kutuingiza kwenye makucha ya ukoloni nchi hii.
Hao kqnisq katoliki ndiyo walikuwa vinara vya kuuwa wazalendo wa vita vya majimaji kwa jina la kurusedi.
Bila hao Tanganyika hata mjerumani asingeitawala.
Hao ni wrong number kabisa.
Wanaenda mbali kohistoriq ya kuifisadi Afrika mpaka kuuwa bila mpango ujio wao na mreno.
We ndo huna akili inapaswa ukapimwe mkojo. Waonee huruma graduates hawana kazi mtaani uwekezaji ndo solution ya ajira.Yeyote anayeunga mkono mkataba wa DP WORLD na serikali ya TZ hana akili. Thinking capacity Iko chini. Reasoning is very LOW. Kama huna akili kweli kama nilivyoelezea hata hapa nilichokiandika hutakielewa.
Tunasema hatupingi wewe unasema tunapinga! Dunia ngumu sana sana hii.
Ni aibu kwa mtu anayejiita King kuwa muongo. Hakuna mahali Chadema na TEC walipopinga uwekezaji. Wanapinga mkataba huu wa uwekezaji ulivyo na sio dhana ya uwekezaji. Chama cha kibepari kitapingaje uwekezaji?Chadema na Tec wanapinga
Mwenye macho haambiwi tazamaHayo maendeleo anayeleta kwako na mumeo sisi hatuyaoni
TLS mule wamejaa wafuasi wa lissu watashindwa kupinga kila jema la serikali kweli?Hata na TLS nao ni chadema !!!!!
Endelea kuyaona wewe na mumeo sisi hatuyaoniMwenye macho haambiwi tazama
Mkataba hauna shida yoyote Ile, chadema wanapinga kila jema la serikali ili wapate political advantage wapate cha kusema Kwa wananchi.Ni aibu kwa mtu anayejiita King kuwa muongo. Hakuna mahali Chadema na TEC walipopinga uwekezaji. Wanapinga mkataba huu wa uwekezaji ulivyo na sio dhana ya uwekezaji. Chama cha kibepari kitapingaje uwekezaji?
Amandla...
Unataka maendeleo gani hebu kuwa specific?Endelea kuyaona wewe na mumeo sisi hatuyaoni
Act wazalendo ni chama kinachojielewaZitto ni mnafiki sana. Amevizia sakata limepoapoa huku wengine wakidai DP World hawaji tena ndo anajifanya kuleta maoni ya ACT. Walikuwa wapi muda wote!?, Zitto ni mnafiki na mdini sana.
Nilitolee upuuzi na uchawaUnataka maendeleo gani hebu kuwa specific?
We akili zako umekabidhi Kwa mbowe mlevi wa konyagi maendeleo huwezi yaona nyumbu wewe.Nilitolee upuuzi na uchawa
Kama mumeo anayaona kwani lazima na mimi niyaone?We akili zako umekabidhi Kwa mbowe mlevi wa konyagi maendeleo huwezi yaona nyumbu wewe.
Hatulazimishi uyaone na wewe usiipangie serikali cha kufanya iache ifanye Kwa maono yake nyumbu wewe.Kama mumeo anayaona kwani lazima na mimi niyaone?
Sawa dada anguHatulazimishi uyaone na wewe usiipangie serikali cha kufanya iache ifanye Kwa maono yake nyumbu wewe.
Ndivyo manvyojdanganya, hao wamekuja wamekuta watu wameshaanza kujenga vyuo vikuu. Soma hitoria ya jina la Dar Es Salaam kilikuwa nini.Na bila ya hao hata kujua kusoma na kuandika visingekuwepo kwa wakati huo!!