Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Serikali hii hii ya majizi ya kura?Hatulazimishi uyaone na wewe usiipangie serikali cha kufanya iache ifanye Kwa maono yake nyumbu wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali hii hii ya majizi ya kura?Hatulazimishi uyaone na wewe usiipangie serikali cha kufanya iache ifanye Kwa maono yake nyumbu wewe.
Yes, sijui akili zao wanaziwekaga wapianalazimisha
malumbano kuhamisha hoja ya mkataba
Mnakumbuka shuka wakati kushakucha kitambo 🤣🤣🤣🤣Leo Jumatatu tar. 4. 9.2023 Saa 5:00 asubhhi Chama cha @ACTwazalendo kitatoa Uchambuzi, msimamo na Mapendekezo yake kuhusu sakata la #Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na @DPWorldUAE.
-----
Tangu Mwezi Juni mwaka huu kumekuwa na mijadalambalimbali kufuatia taarifa ya Azimio la Bunge kuhusumapendekezo ya kuridhia makubaliano (IGA) kati yaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikaliya Emireti ya Dubai juu ya ushirikiano wa Kiuchumi naKijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendajikazi wa Bandari za Tanzania. Azimio hilo liliridhiwa naBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo Juni10, 2023.
Kufuatia mijadala hiyo, mnamo Julai 5, 2023 Kiongozi waChama cha ACT Wazalendo aliunda Kamati Maalum yaWataalam 22 iliyoongozwa na Wakili Emmanuel Mvula,Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo na Msemaji waKisekta wa Mipango, Uwekezaji na Hifadhi ya Jamiikufanyia kazi masuala yaliyoibuliwa na Jamii kuhusuMakubaliano hayo na kutoa mapendekezo kwa Uongozi waChama Taifa.
Kamati hii ya Wataalam iliyoundwa kwa ajili ya kukishaurichama juu jambo hili ambalo limeleta mjadala mkubwakwenye jamii iliwasilisha Taarifa yake kwa Kiongozi waChama na kujadiliwa na Kamati ya Uongozi ya ACTWazalendo. Kamati ya Uongozi ya Chama inatoa msimamohuu rasmi wa chama kwa niaba ya Kamati Kuu yaACT Wazalendo.
----
Zaidi soma kiambatanisho hapa chini
kirusi kile.ACT wanafiki sana.
Wajuzi nisaidieni: Kama mkataba (IGA) umesharidhiwa na bunge, na tulishasikia serikali ikisema yenyewe inasonga mbele, je, mapendekezo haya ya act na ya wadau wengine yatazingatiwa je? Je hakuna njia ya kuilazimisha serikali izingatie mapendekezo ya wadau mbalimbali? Najua serikalini yamejaa majizi. Na ukiangali muwekezaji huyu alivyopatikana, na anavyotetewa, wabunge na wasanii walivyopelekwa Dubai, Kun harufu ya rushwa kubwa hapa.Leo Jumatatu tar. 4. 9.2023 Saa 5:00 asubhhi Chama cha @ACTwazalendo kitatoa Uchambuzi, msimamo na Mapendekezo yake kuhusu sakata la #Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na @DPWorldUAE.
-----
Tangu Mwezi Juni mwaka huu kumekuwa na mijadalambalimbali kufuatia taarifa ya Azimio la Bunge kuhusumapendekezo ya kuridhia makubaliano (IGA) kati yaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikaliya Emireti ya Dubai juu ya ushirikiano wa Kiuchumi naKijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendajikazi wa Bandari za Tanzania. Azimio hilo liliridhiwa naBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo Juni10, 2023.
Kufuatia mijadala hiyo, mnamo Julai 5, 2023 Kiongozi waChama cha ACT Wazalendo aliunda Kamati Maalum yaWataalam 22 iliyoongozwa na Wakili Emmanuel Mvula,Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo na Msemaji waKisekta wa Mipango, Uwekezaji na Hifadhi ya Jamiikufanyia kazi masuala yaliyoibuliwa na Jamii kuhusuMakubaliano hayo na kutoa mapendekezo kwa Uongozi waChama Taifa.
Kamati hii ya Wataalam iliyoundwa kwa ajili ya kukishaurichama juu jambo hili ambalo limeleta mjadala mkubwakwenye jamii iliwasilisha Taarifa yake kwa Kiongozi waChama na kujadiliwa na Kamati ya Uongozi ya ACTWazalendo. Kamati ya Uongozi ya Chama inatoa msimamohuu rasmi wa chama kwa niaba ya Kamati Kuu yaACT Wazalendo.
----
Zaidi soma kiambatanisho hapa chini
Hata TEC wanaunga mkono uwekezaji ktk bandari zetu. Lakini wanapinga kwa nguvu zote mkataba huu mbovu wa Dpworld. Na mimi nimewaelewa. Pia nimeusoma mkataba.Hata KKKT wanaunga mkono uwekezaji bandarini, hata mimi naunga mkono uwekezaji bandarini. Ila sio huo wa mkataba wa KIPUMBAVU kama wa DP WORLD. Wenye vipengele vya unyonyaji. Kama wanaunga mkono DP WORLD siwezi kishangaa. Undumilakiwili, udini na ubinafsi wa Zitto unajulikana
Nashindwa kuelewa kwa nini baadhi ya wachangiaji hupendelea kushambulia watu binafsi badala ya hoja zinazowekwa mezani. ACT Wazalendo wameweka hoja mezani. Tuichambue badala ya kumshambulia Bw. ZitoZitto ni mnafiki sana. Amevizia sakata limepoapoa huku wengine wakidai DP World hawaji tena ndo anajifanya kuleta maoni ya ACT. Walikuwa wapi muda wote!?, Zitto ni mnafiki na mdini sana.
Mkuu huu Uzi umewekwa humu asubuhi saa 1 na mapendekezo ya ACT(pdf) imekuwa uploaded saa 5 au 6 kama sijakosea. Hiyo ni moja, nimesoma mapendekezo yote ya ACT ni mazuri sana na yana nia nzuri. Swali ni kwanini hayakuletwa wakati mjadala wa DP World upo moto!??, Zitto alikuwa anakwepa nini?,kwanini wasubirie hadi tuanze kuhisi serikali imenyanyua mikono kuhusu DP World ndo walete mapendekezo!?,huoni kama wanavizia vizia, wanadai waliunda kamati July 5, leo September 4, miezi miwili mbele walikuwa wanatafiti nini ishu iliyoishajadiliwa mara kibao!?,ndo maana tunamuita Zitto mnafiki, hapendi rangi yake halisi ionekane.Nashindwa kuelewa kwa nini baadhi ya wachangiaji hupendelea kushambulia watu binafsi badala ya hoja zinazowekwa mezani. ACT Wazalendo wameweka hoja mezani. Tuichambue badala ya kumshambulia Bw. Zito
Mkataba hauna shida inabidi serikali ijibu hivyo make maswali yenu sijui ya ukomo yatakuwepo kwenye HGA.Kama hauna shida mbona mnasema mtaurekebisha kutokana na hoja zinazotolewa na wananchi?Au mnadanganya hata kwenye hilo?
Amandla...
Hakuna jipya!! Hakuna asiyeunga mkono uwekezaji. Maeneo yaliyoainishwa kuwa na utata na TEK nao wamepita humo humo!! Plagiarism at work! Laiti hili andiko wangelitoa mwanzo kabisa, wangeibuka mashujaa!! Swali je kama DP World wasipokuwa tayari kukubaliana na mapendekezo yaliyotolewa nini msimamo wa ACT Wazalendo? Hicho ndicho tunachotaka kusikia!!Leo Jumatatu tar. 4. 9.2023 Saa 5:00 asubhhi Chama cha @ACTwazalendo kitatoa Uchambuzi, msimamo na Mapendekezo yake kuhusu sakata la #Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na @DPWorldUAE.
-----
Tangu Mwezi Juni mwaka huu kumekuwa na mijadalambalimbali kufuatia taarifa ya Azimio la Bunge kuhusumapendekezo ya kuridhia makubaliano (IGA) kati yaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikaliya Emireti ya Dubai juu ya ushirikiano wa Kiuchumi naKijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendajikazi wa Bandari za Tanzania. Azimio hilo liliridhiwa naBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo Juni10, 2023.
Kufuatia mijadala hiyo, mnamo Julai 5, 2023 Kiongozi waChama cha ACT Wazalendo aliunda Kamati Maalum yaWataalam 22 iliyoongozwa na Wakili Emmanuel Mvula,Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo na Msemaji waKisekta wa Mipango, Uwekezaji na Hifadhi ya Jamiikufanyia kazi masuala yaliyoibuliwa na Jamii kuhusuMakubaliano hayo na kutoa mapendekezo kwa Uongozi waChama Taifa.
Kamati hii ya Wataalam iliyoundwa kwa ajili ya kukishaurichama juu jambo hili ambalo limeleta mjadala mkubwakwenye jamii iliwasilisha Taarifa yake kwa Kiongozi waChama na kujadiliwa na Kamati ya Uongozi ya ACTWazalendo. Kamati ya Uongozi ya Chama inatoa msimamohuu rasmi wa chama kwa niaba ya Kamati Kuu yaACT Wazalendo.
----
Zaidi soma kiambatanisho hapa chini
Mkataba sio wa kijinga Ila chadema ni matamanio Yao serikali iharibikiwe iselete maendeleo yoyote ili wapate cha kusema Kwa wananchi then matamanio Yao ya kukamata madaraka yatimie, hayati magufuli alipata kusema ukiona adui yako ameanza kukupongeza jiulize mara mbili ni sehemu unakosea, so chadema kupinga kila kitu cha serikali sie wanaccm wala hatushangai Ila wakitaka kutumia nguvu nyingi kupotosha lazima tuwashughulikie.Ulitaka CHADEMA wakubali mkataba wa kijinga vile?
Kila siku maswali hayo hayo?😂😂Tunataka majibu ya hoja....
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
ACT bwana,wameshanusa uelekeo, hivyo nao wamelalia hukohuko ili kujichukulia credit za bure.Mkataba sio wa kijinga Ila chadema ni matamanio Yao serikali iharibikiwe iselete maendeleo yoyote ili wapate cha kusema Kwa wananchi then matamanio Yao ya kukamata madaraka yatimie, hayati magufuli alipata kusema ukiona adui yako ameanza kukupongeza jiulize mara mbili ni sehemu unakosea, so chadema kupinga kila kitu cha serikali sie wanaccm wala hatushangai Ila wakitaka kutumia nguvu nyingi kupotosha lazima tuwashughulikie.
Wanaunga mkono uwekezaji? Kwani Kuna anayepinga uwekezaji? Kinachopingwa ni Yale masharti ya hovyo ya mkataba, na mkataba wenyewe kusainiwa na kufanya Siri. ACT mmengoja na kupima upepo ndo mnakuja na unafiki wenu?Leo Jumatatu tar. 4. 9.2023 Saa 5:00 asubhhi Chama cha @ACTwazalendo kitatoa Uchambuzi, msimamo na Mapendekezo yake kuhusu sakata la #Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na @DPWorldUAE.
-----
Tangu Mwezi Juni mwaka huu kumekuwa na mijadalambalimbali kufuatia taarifa ya Azimio la Bunge kuhusumapendekezo ya kuridhia makubaliano (IGA) kati yaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikaliya Emireti ya Dubai juu ya ushirikiano wa Kiuchumi naKijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendajikazi wa Bandari za Tanzania. Azimio hilo liliridhiwa naBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo Juni10, 2023.
Kufuatia mijadala hiyo, mnamo Julai 5, 2023 Kiongozi waChama cha ACT Wazalendo aliunda Kamati Maalum yaWataalam 22 iliyoongozwa na Wakili Emmanuel Mvula,Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo na Msemaji waKisekta wa Mipango, Uwekezaji na Hifadhi ya Jamiikufanyia kazi masuala yaliyoibuliwa na Jamii kuhusuMakubaliano hayo na kutoa mapendekezo kwa Uongozi waChama Taifa.
Kamati hii ya Wataalam iliyoundwa kwa ajili ya kukishaurichama juu jambo hili ambalo limeleta mjadala mkubwakwenye jamii iliwasilisha Taarifa yake kwa Kiongozi waChama na kujadiliwa na Kamati ya Uongozi ya ACTWazalendo. Kamati ya Uongozi ya Chama inatoa msimamohuu rasmi wa chama kwa niaba ya Kamati Kuu yaACT Wazalendo.
----
Zaidi soma kiambatanisho hapa chini
Kwa hiyo serikali inasema uongo kama wewe?Mkataba hauna shida inabidi serikali ijibu hivyo make maswali yenu sijui ya ukomo yatakuwepo kwenye HGA.
Hapo hakuna hoja mpya ya kuchambua toka ACT Wazalendo!! Wame-copy na ku-paste hoja ambazo tayari zilishaibuliwa na yule wakili wa mbeya na pia na waraka wa maaskofu wa katoliki TEK. ACT Wazalendo walikuwa wapi? Wameamua kudandia gari la wazalendo wa ukweli ili kuepuka kuhukumiwa na historia!!Nashindwa kuelewa kwa nini baadhi ya wachangiaji hupendelea kushambulia watu binafsi badala ya hoja zinazowekwa mezani. ACT Wazalendo wameweka hoja mezani. Tuichambue badala ya kumshambulia Bw. Zito
Chadema nyie mmejaa wapiga kelele ukifika uchaguzi hamuendi kupiga Kura mwisho wa siku ni kuzusha mnaibiwa Kura!!Serikali hii hii ya majizi ya kura?