ACT Wazalendo: Bandari ni Hoja ya Kiuchumi, Tunaunga Mkono Uwekezaji

ACT Wazalendo: Bandari ni Hoja ya Kiuchumi, Tunaunga Mkono Uwekezaji

Leo Jumatatu tar. 4. 9.2023 Saa 5:00 asubhhi Chama cha @ACTwazalendo kitatoa Uchambuzi, msimamo na Mapendekezo yake kuhusu sakata la #Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na @DPWorldUAE.

View attachment 2738378..
Ziko wapi hizo hoja za msimamo wao ili tuziweke kwenye mizani ya kipimo?

Mimi naona picha ya rangi ya zambarau na nembo ya chama chao...
 
Zitto ni mnafiki sana. Amevizia sakata limepoapoa huku wengine wakidai DP World hawaji tena ndo anajifanya kuleta maoni ya ACT. Walikuwa wapi muda wote!?, Zitto ni mnafiki na mdini sana.

Ukiona mtu yyte ana vidoti vyeusi usoni na weusi kwny kuzunguka macho yake, mtu huyo siyo wa kumuamini hata kidogo.
 
Tunataka majibu ya hoja....

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Ni zaidi ya wendawazimu ni uzombi kabisa huu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Ndivyo manvyojdanganya, hao wamekuja wamekuta watu wameshaanza kujenga vyuo vikuu. Soma hitoria ya jina la Dar Es Salaam kilikuwa nini.

Soma historia ya Ikulu Dar.

Huwa mnadanganyana sana.

Unajuwa neno "Alphabet" kuwa Alif Bee Tee?

mnadharau vyanzo vyenu vya elimu kwa kujazwa ujinga na kanisa, muendelee kuwa watumwa wo wa kuwapelekea fungu la kumi, kama ulikuwa huelewi.
Dar al Salaam maana yake nini? Historia ya Ikulu ya Dar es Salaam inasemaje? ni tofauti na ile iayosema kuwa ilijengwa na wajerumani na ilikamilika 1905 kabla ya kupigwa mabomu na waingereza wakati wa vita ya kwanza ya dunia na kujengwa upya 1922 na waingereza? Au unazungumzia kijiji cha wavuvi cha Mzizima ambacho Sultan Majid bin Said alichokikuta alipokuwa anatafuta bandari mbadala ambayo ingemwezesha kuendelea na biashara yake haramu ya utumwa na kuipa jina la Dar al Salam?

Amandla...
 
We ndo huna akili inapaswa ukapimwe mkojo. Waonee huruma graduates hawana kazi mtaani uwekezaji ndo solution ya ajira.
Mbona Mbunge msukuma anadai ni mashine tu ndio zitatumika?. Uhakika haupo imebaki ahadi tu. Eti ajira zitakuwa nyingi, wakati serikali yenyewe imeshindwa.
 
Act wazalendo ni chama kinachojielewa
ACT shida yao majimbo ya Zanzibar, hawataki kusumbuliwa maana wakipata majimbo yote Pemba na baadhi unguja chama kitapata nguvu. Kwa Sasa kule Zanzibar ACT haina state figure Kama maalim Seif, nguvu sio Kama zamani.
 
Ndivyo manvyojdanganya, hao wamekuja wamekuta watu wameshaanza kujenga vyuo vikuu. Soma hitoria ya jina la Dar Es Salaam kilikuwa nini.

Soma historia ya Ikulu Dar.

Huwa mnadanganyana sana.

Unajuwa neno "Alphabet" kuwa Alif Bee Tee?

mnadharau vyanzo vyenu vya elimu kwa kujazwa ujinga na kanisa, muendelee kuwa watumwa wo wa kuwapelekea fungu la kumi, kama ulikuwa huelewi.
Vibaka nyie mkasumbua sana babu zetu na biashara ya Slave ...munataka tena kutuludisha utumwani ...nyooko zenu
 
Hakuna lolote CHADEMA wapo field ACT wamebakia kubembeleza serikali iwape majimbo ya Zanzibar. Ndio maana wanajikomba na kujifanya neutral kumbe wanataka waachiwe majimbo Zanzibar.
 
ACT na kiongozi wenu zitto nyote mnachangamoto ya utimamu wa kiakili.
 
Mbona Mbunge msukuma anadai ni mashine tu ndio zitatumika?. Uhakika haupo imebaki ahadi tu. Eti ajira zitakuwa nyingi, wakati serikali yenyewe imeshindwa.
Kwani machine hazihitaji watu kama hr, accountants, management, marketing nk?
 
Back
Top Bottom