ACT Wazalendo: Bandari ni Hoja ya Kiuchumi, Tunaunga Mkono Uwekezaji

ACT Wazalendo: Bandari ni Hoja ya Kiuchumi, Tunaunga Mkono Uwekezaji

Siyo kila uwekezaji tu unaongeza ufanisi na kuleta tija ndiyo maana mmeachana na TICTS.
 
Nyie wote mnapinga mkiongozwa na TEC
Tena hao kanisa katoliki ndiyo kabisa walikuwa wa kwanza kutuingiza kwenye makucha ya ukoloni nchi hii.

Hao kqnisq katoliki ndiyo walikuwa vinara vya kuuwa wazalendo wa vita vya majimaji kwa jina la kurusedi.

Bila hao Tanganyika hata mjerumani asingeitawala.

Hao ni wrong number kabisa.

Wanaenda mbali kohistoriq ya kuifisadi Afrika mpaka kuuwa bila mpango ujio wao na mreno.
 
Unadhani kwa nini muswada wa mabadiliko ya sheria kuuwezesha mkataba kutekelezeka umeondolewa bungeni na serikali? Presha, presha, presha kila mahali hadi akili iwakae sawa
Hizo ni hisia zenu wapinga maendeleo ule muswaada haukupelekwa kwa ajili ya DP world
 
Tena hao kanisa katoliki ndiyo kabisa walikuwa wa kwanza kutuingiza kwenye makucha ya ukoloni nchi hii. Hao kqnisq katoliki ndiyo walikuwa vinara vya kuuwa wazalendo wa vita vya majimaji kwa jina la kurusedi. Bila hao Tanganyika hata mjerumani asingeitawala. Hao ni wrong number kabisa. Wanaenda mbali kohistoriq ya kuifisadi Afrika mpaka kuuwa bila mpango ujio wao na mreno.
Bila shaka hii ni historia ya kutoka katika vitabu vya Mohamed Said
 
Ngoja muone mawazo ya Abdul Nondo yanavyogongana na ya chama chake cha ACT. Asipokuwa makini atafukuzwa

Ninavyoelewa mimi Mamlaka ya Bandari (TPA) wanafanya Watanzania Watoto .

Mjadala kuhusu masuala ya bandari ukaingia kuhusu DP-World ambapo uwekezaji wa DP-World unahusu gati namba 0 hadi Namba 7 . Mjadala mkali ukiwa unaendelea kuhusu DP-World , Serikali kupitia TPA wakachukua advantage ya mjadala wa D-WORLD kutafuta muwekezaji wa gati No.8 hadi 11 kinyemela na bila taarifa kwa umma,sababu waliona watanzania wapo busy na mjadala wa DP-WORLD.TPA Kinyemela wakamtafuta ADANI GROUP kampuni hii ni ya kihindi chini ya familia ya Gautam Adani & Rajaeshi Adani kuendesha Gati namba 8-11 .
 
Tena hao kanisa katoliki ndiyo kabisa walikuwa wa kwanza kutuingiza kwenye makucha ya ukoloni nchi hii.

Hao kqnisq katoliki ndiyo walikuwa vinara vya kuuwa wazalendo wa vita vya majimaji kwa jina la kurusedi.

Bila hao Tanganyika hata mjerumani asingeitawala.

Hao ni wrong number kabisa.

Wanaenda mbali kohistoriq ya kuifisadi Afrika mpaka kuuwa bila mpango ujio wao na mreno.
We ajuza ni mjinga sn
 
Back
Top Bottom