ACT Wazalendo: Bandari ni Hoja ya Kiuchumi, Tunaunga Mkono Uwekezaji

ACT Wazalendo: Bandari ni Hoja ya Kiuchumi, Tunaunga Mkono Uwekezaji

Siku zote tunapiga kelele kuwa ACT inatumika kama chandarua cha ccm.

Wamevizia vizia kuona moto unazimika vipi ili wao wajichukulie nafasi kwa kujipendekeza.

Ebu wasikilize hao kina Zitto. View attachment 2739408
Kitenge TV
Ukizungumzia ACT unamzungumzia Zito
Ukimzungumzia Zito unazungumzia MsogaLine
Ukizungumzia Msoga Line unazungumzia Pemba
 
Siku zote tunapiga kelele kuwa ACT inatumika kama chandarua cha ccm.

Wamevizia vizia kuona moto unazimika vipi ili wao wajichukulie nafasi kwa kujipendekeza.

Ebu wasikilize hao kina Zitto. View attachment 2739408
Ila huyu Maulid Kitenge ameharibu legacy yake mwishoni kabisa. Kwani angebakia kwenye michezo angepoteza nini? CCM watamtumia tu ila siku wakija kumgeuka kama Ruge asije kulialia. Shetani Hana rafiki kabisa anaangalia maslahi tu.

Na kama ni kweli ni mtu wa system basi niseme TISS Ina agents/informants wabovu sana kuliko tulivyodhani.
 
Ila huyu Maulid Kitenge ameharibu legacy yake mwishoni kabisa. Kwani angebakia kwenye michezo angepoteza nini? CCM watamtumia tu ila siku wakija kumgeuka kama Ruge asije kulialia. Shetani Hana rafiki kabisa anaangalia maslahi tu.

Na kama ni kweli ni mtu wa system basi niseme TISS Ina agents/informants wabovu sana kuliko tulivyodhani.
Wamesha muahidi ubunge hapa jijini dsm au pale Tanzania
 
Zito alikuwa anaonekana ni moja kati ya wanasiasa machachari sana na hazina kwa taifa. Ila saivi sijui nini kimempata.
Zitto siku zote ni mnafiki, mchumia tumbo, na pia ni mdini. Ukiona anabweka na kupiga kelele, basi utambue fika anataka tu kutupiwa mfupa wa nyama.

Na akishatupiwa huo mfupa, ananyamaza kimya! Anaweza hata kuwabwekea nyinyi mliokuwa mnamshangaa.
 
Peleka ujinga mbali, kwamba huwa hatuoni ule ukhanithi unaoendelea wakati wa uchaguzi? Ile kuwaengua wagombea wa upinzani ili wa CCM wapite bila kupingwa nayo ni watu kutokupiga kura? Yale mabox yanayoletwa yakiwa na kura za CCM nayo ni watu kutokupiga kura?
CCM huwa inakuwa karibu na wagombea wake so kabla hawajarudisha fomu chama huwa kinakagua na kujiridhisha, nyie ba-vichaaa wagombea wenu hujijazia fomu bila kufuata utaratibu!!
 
Leo Jumatatu tar. 4. 9.2023 Saa 5:00 asubhhi Chama cha @ACTwazalendo kitatoa Uchambuzi, msimamo na Mapendekezo yake kuhusu sakata la #Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na @DPWorldUAE.

-----
Tangu Mwezi Juni mwaka huu kumekuwa na mijadalambalimbali kufuatia taarifa ya Azimio la Bunge kuhusumapendekezo ya kuridhia makubaliano (IGA) kati yaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikaliya Emireti ya Dubai juu ya ushirikiano wa Kiuchumi naKijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendajikazi wa Bandari za Tanzania. Azimio hilo liliridhiwa naBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo Juni10, 2023.

Kufuatia mijadala hiyo, mnamo Julai 5, 2023 Kiongozi waChama cha ACT Wazalendo aliunda Kamati Maalum yaWataalam 22 iliyoongozwa na Wakili Emmanuel Mvula,Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo na Msemaji waKisekta wa Mipango, Uwekezaji na Hifadhi ya Jamiikufanyia kazi masuala yaliyoibuliwa na Jamii kuhusuMakubaliano hayo na kutoa mapendekezo kwa Uongozi waChama Taifa.

Kamati hii ya Wataalam iliyoundwa kwa ajili ya kukishaurichama juu jambo hili ambalo limeleta mjadala mkubwakwenye jamii iliwasilisha Taarifa yake kwa Kiongozi waChama na kujadiliwa na Kamati ya Uongozi ya ACTWazalendo. Kamati ya Uongozi ya Chama inatoa msimamohuu rasmi wa chama kwa niaba ya Kamati Kuu yaACT Wazalendo.


----
Zaidi soma kiambatanisho hapa chini
Actualy kufanya utafiti wa jambo kwa undani kisha kuja na coprehensive analiyisiss inaonyesha umakini wa kiwango ambalo na amabao unaweza kutoa picha na sura halisi ya jambo lenyewe kuliko kujibizana pasipo uelewa wa kiundani na wa kutosha juu ya suala lenyewe.

Binafsi nachelea kuwapongeza ACT kwa kuja na aina ya kipekee ya kuchambua mambo kisekta.
Lakini pia kwa walionza kwa namna nyingine nawapongeza pia na ni vema wakaendeleza spidi kuliko kugeuka nyuma na kushangaa mshindani wako anakujaje na kwa style gani.
 
CCM huwa inakuwa karibu na wagombea wake so kabla hawajarudisha fomu chama huwa kinakagua na kujiridhisha, nyie ba-vichaaa wagombea wenu hujijazia fomu bila kufuata utaratibu!!
Upuuzi mtupu, CCM ingekuwa na umakini huo nchi isingeingia kwenye mikataba ya kishenzi hivi na kuishia kulipishwa fine kila Mara.
 
Tunataka majibu ya hoja....

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Nenda kanisani TEC wanatoa majibu ya maswali yako kila Jumapili
 
Sijui nani alimharibu Zitto. Hana tena heshima hata kwenye corridors za kisiasa zaidi kila mtu anakaa nae kimachale.
 
Zitto ni mnafiki sana. Amevizia sakata limepoapoa huku wengine wakidai DP World hawaji tena ndo anajifanya kuleta maoni ya ACT. Walikuwa wapi muda wote!?, Zitto ni mnafiki na mdini sana.
Jamaa jinga sana, amesubiri kujua mwelekeo wa Rais ni upi baada ya kujua eti ndio analeta mapendekezo, abanishushia kale kaheshima kadogo kalikokuwa kamebaki ni mara 1000 angekaa kimya kama Bakwata walivyoamua kulinda heshima yao.
 
Sijui nani alimharibu Zitto. Hana tena heshima hata kwenye corridors za kisiasa zaidi kila mtu anakaa nae kimachale.
Hana tofauti na Lipumbz kwa sasa, usaliti mbaya utakutafuna mpaka milele.
 
Zitto ni mnafiki sana. Amevizia sakata limepoapoa huku wengine wakidai DP World hawaji tena ndo anajifanya kuleta maoni ya ACT. Walikuwa wapi muda wote!?, Zitto ni mnafiki na mdini sana.
Does it matter..?

Nakupa ushauri huu👇👇

Jadili hoja na msimamo wao (ACT Wazalendo). Achana na tabia ya kushambulia personality ya mtu (Zitto) badala ya hoja yake..

Iwe wamechelewa ama wamewahi, what is important ni kuwa wametoa msimamo wao...

Na kumbuka hili: Mjadala wa mkataba wa bandari wala hata haujapoa wala kwisha. Ndo uko fire kuliko unavyodhani...

Ishu ya mkataba wa bandari haiwezi kwisha hivihivi. Hii itakwisha na kuondoka na CCM na serikali yake..

Kuhusu tamko la ACT WAZALENDO

ACT WAZALENDO hawajatofautiana na wengine wote tunaokosoa mkataba huu..

Tofauti ya tamko lao (ACT WAZALENDO) na vyama vingine vya siasa hususani CHADEMA, taasisi zingine kama TEC, TLS nk ni;

1. Wametumia lugha ya kidiplomasia na ya "staha" kupita kiasi kwa wezi na mafisadi hawa wa CCM..

2. Wamekwepa kuyatolea maoni maeneo nyeti hususani Kwa IGA hii kuhusisha bandari za Tanganyika tu huku za Zanzibar zikiachwa..

However;

Basically, ACT Wazalendo HAWAKUBALIANI NA MKATABA WA BANDARI ila WANAUNGA MKONO UWEKEZAJI wowote wenye tija kwa mikataba iliyo ya manufaa kwa nchi na kamwe sio huu...

That's for today...
 
Does it matter..?

Kwa maoni na ushauri wangu kwako hii huu[emoji116][emoji116]

Jadili hoja na msimamo wao (ACT Wazalendo). Achana na tabia ya kushambulia personality ya mtu (Zitto) badala ya hoja yake..

Iwe wamechelewa ama wamewahi, what is important ni kuwa wametoa msimamo wao...

Na kumbuka hili: Mjadala wa mkataba wa bandari wala hata haujapoa wala kwisha. Ndo uko fire kuliko unavyodhani...

Ishu ya mkataba wa bandari haiwezi kwisha hivihivi. Hii itakwisha na kuondoka na CCM na serikali yake..

Kuhusu tamko la ACT WAZALENDO

ACT WAZALENDO hawajatofautiana na wengine wote tunaokosoa mkataba huu..

Tofauti ya tamko lao (ACT WAZALENDO) na vyama vingine vya siasa hususani CHADEMA, taasisi zingine kama TEC, TLS nk ni;

1. Wametumia lugha ya kidiplomasia na ya "staha" kupita kiasi kwa wezi na mafisadi hawa wa CCM..

2. Wamekwepa kuyatolea maoni maeneo nyeti hususani Kwa IGA hii kuhusisha bandari za Tanganyika tu huku za Zanzibar zikiachwa..

However;

Basically, ACT Wazalendo HAWAKUBALIANI NA MKATABA WA BANDARI ila WANAUNGA MKONO UWEKEZAJI wowote wenye tija kwa mikataba iliyo ya manufaa kwa nchi na kamwe sio huu...

That's for today...
Nakazia kuwa zzk ni zaidi ya msaliti wa siasa za upinzani hapa nchini
 
Nakazia kuwa zzk ni zaidi ya msaliti wa siasa za upinzani hapa nchini
Kila mtu ni msaliti au amewahi kuwa ktk hili au lile katika maisha yake..!

Muhimu kuelewa ni kuwa kila siku ni mpya na usiishi leo kwa kuiangalia na kuikumbuka jana..!

Toa maoni yako juu ya hoja za kina Zitto Kabwe na ACT Wazalendo yake..!

Wewe unauonaje uchambuzi wao?
 
Kila mtu ni msaliti au amewahi kuwa ktk hili au lile katika maisha yake..!

Muhimu kuelewa ni kuwa kila siku ni mpya na usiishi leo kwa kuiangalia na kuikumbuka jana..!

Toa maoni yako juu ya hoja za kina Zitto Kabwe na ACT Wazalendo yake..!

Wewe unauonaje uchambuzi wao?
Slaa ni zaidi
 
Back
Top Bottom