ACT-Wazalendo na CHADEMA wamefanya pakubwa ila sisi Wananchi ndiyo tumewaangusha. Tusiwaingilie katika maamuzi yoyote wanayochukua baada ya Uchaguzi

Msiwalaumu Wananchi na wapiga kura. Walaumuni viongozi wenu upinzani ambao hawako serious ktk kuleta mabadiliko mbadala wa siasa. Hebu jiulizeni 2015 walituletea mtu anaye "vibrate" na kutaka kutulazimisha awe Rais kwa GIA ya ANGANI. 2020 wanatuletea "mental retarded", "a man of two faces", Shoga mropokaji, Mtume wa mabeberu awe Rais. Hivi huwa wanathani Wananchi ni MABOYA? Kwa nini hawa viongozi wenu hawanaga mipango ya kuandaa na kumnadi mgombea ajaye?
 
Mimi mwenyewe ni chadema, lakini chadema ile ya Dr.Slaa yenye kushindana kwa hoja sio chadema hii ya kudandia kauli za rais kuwa ndio hoja zao za msingi.
Fulani kaguswa na police tu , tayari ni agenda ya chama mihemko mingi kuliko...

Upinzani wa hovyo kabisa
 
Chadema ishajifia kitambo, hawajui hata wanasimamia nini! Hili la kukosa hoja zao, kimewafanya kila siku kudandia nakucheza ngoma ya ccm! Nanukuu "mwaka huu tunashindana na vyama dhaifu haijawahi kutokea" bashiru.
Kabisa
 
Hata huyo Dr. Slaa angekwambia uingie barabarani usingeingia.

Watanzania ni wanafki.
Siyo watanzania wanafiki bali hawana sababu ya msingi na yenye mashiko ya kuandamana , kama mnavyo lazimisha

Alafu kwa nini mnapo zungumzia watanzania ninyi mnaji- exclude[emoji1787][emoji1787] nyie wa wapi?
 
Haswaaa
 
Unatetea lichama ambalo tayari lishakufa. Acha kumsemasema mfu
Inaweza kupita siku kweli hujaitaja CDM?
Kama mnadhani mmeua upinzani basi akili zenu haziko sawa!Tutaendelea kuwanyoosha hapa JF na mtaani kama kawaida!
 
Kama ambavyo inaaminika kuwa katika vyama vyote vya upinzani chadema ndio chama pekee cha upinzani na vyengine vyote vinatumika na serikali,na pia hakuna kiongozi bora hapo chadema kama Mbowe.
 
Watu ambao hata kwenda kupiga kura hawakwenda kama walivyokuwa wakienda kwenye mikutano ya kampeni,mpaka hapo ilipaswa ujiulize kwanini imekuwa hivyo? Na sasa mtu ambaye hata hakuona umuhimu kushiriki zoezi la kupiga kura ndio huyo utegemee aache shughuli zake na kwenda kuandamana?
 
Tusiogope wala kukata tamaa, kila jambo na wakati wake. Kwa mwelekeo huu wa ccm na maamuzi yao kupora will ya Watanzania, upinzani utashamiri zaidi.

Mbinyo wahisani na jumuia za kimataifa,

Waliohidi wananchi hawatomudu hata 40% mfano kujenga majengo sector afya sio issue, vifaa tiba ,madawa vitenganishi ni garama maradufu.

Wawekezaji wakubwa wataendelea kupungua.

Sector utalii bado tete

Miradi mikubwa SGR,Bwawa Nyerere, madaraja nk bado yanahitaji fedha nyingi kilichofanyika hata 25% bado.

Hakika Watanzania tutajuta pamoja.
 
Kama wapinzani hawafai kama usemavyo kwa nini basi mlifanya ujambazi kwenye uchaguzi? Si mngewaacha wananchi wawakatae wenyewe?
 
Na tuliwaonya kuwa watashindwa vibaya sana. Ccm kwa sasa amebadili mbinu za siasa anatumia base yake kule machinations kitu ambacho chadema haina hata shina moja.Halafu utegemee kushinda, kwa taarifa yako sasa hivi ccm inakwenda kuwaingiza mabalozi kwenye payroll ya chama watafanya kazi on daily basis kuhakikisha wanachama wanakuwa wafia chama tayari kwa mapambano ya 2025 kwa ushindi mwingine mnono. Siasa za kuchafuana haxina afya tena
 
Kama wapinzani hawafai kama usemavyo kwa nini basi mlifanya ujambazi kwenye uchaguzi? Si mngewaacha wananchi wawakatae wenyewe?
Kwani hawa waliowakataa kwenye sanduku la kura, na waliokataa kupokea maagizo yao ya kuandamana ulidhani ni ng'ombe? Ni WANANCHI wewe ukiwamo.
 
Very well said , that's the absolute truth. Tukiwa kwenye social media behind the keyboard tunkuwa majabari sana, lakini when push come to shove sote tunaingia mitini never to bee seen again. You have every right to be annoyed.
 
Inaweza kupita siku kweli hujaitaja CDM?
Kama mnadhani mmeua upinzani basi akili zenu haziko sawa!Tutaendelea kuwanyoosha hapa JF na mtaani kama kawaida!
Upinzani haupo siku zote. Leo mkipewa mtihani mdogo tu wa kuwasilisha members Register mtapoteana.Hamjawa tayari kutafuta dola tangu mlipozaliwa 1995 leo miaka 25
 
Kwani hawa waliowakataa kwenye sanduku la kura, na waliokataa kupokea maagizo yao ya kuandamana ulidhani ni ng'ombe? Ni WANANCHI wewe ukiwamo.
You're right!

 
Mleta mada, Jeshi la polisi la Tanzania halina uoga kupiga wananchi risasi ili kulinda maslahi ya genge la watu wachache walioko madarakani.

Nchi za wenzetu za Ulaya wanaandamana wakiwa na uhakika hawatopigwa risasi, huku TZ ukiangalia yaliyotokea Zanzibar unaona wazi wako tayari kuua!

Sasa hata ingekuwa wewe, kushiriki maandamano ambayo unaweza kupigwa risasi ukafa, ni vigumu kushiriki.

Kana unataka unazungumzia Arab spring ya waarabu, basi jiulize kabla hawajaingia barabarani walivumilia ujinga kwa miaka mingapi bila kuingia barabarani? - Kisha jiulize kule Misri jeshi lilipoanza kuchapa watu risasi bila wasiwasi hayo maandamano yaliendelea?

Katika nchi ambayo Jeshi liko Tayari kutandika watu risasi kwa sababu tu ya maandamano raia hawako tayari kuuawa. Labda yatangazwe Maandamano ya kuung'oa utawala madarakani na wananchi wawe tayari kwa hilo na wawe tayari kulipa gharama za mabadiriko hayo kwa damu zao ndo utayaona hayo maandamano, lakini na kufanikiwa kwake itategemea mtawala yuko tayari kuua wangapi ili kubaki madarakani. Watawala wengine wako tayari kuua watu hata10000 ili alinde madaraka yake!
 
Tuanze na madai dhidi ya CCM na serekali.
 
Upinzani haupo siku zote. Leo mkipewa mtihani mdogo tu wa kuwasilisha members Register mtapoteana.Hamjawa tayari kutafuta dola tangu mlipozaliwa 1995 leo miaka 25
Upinzani ni mawazo ya mabadiliko!Na hapo ndipo mnapokwama!Nakuhakikishia hawa wote waliopo akina Mbowe wakijiunga na CCM,mtashangaa bado mitandaoni tunaendelea kuwanyoosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…