CCM Zanzibar imemeguka mbaya nimeona wanachama wa CCM wanapeperusha bendera za ACTWazalendo kwikwikwiSisi sio mang'ombe tunaelewa lengo letu. Akisemacho Tundu Lissu na Maalim ndio tunafata. Fullstop
Na nini maana ya kupita bila kupingwa? Kama si hamna mpinzani na yeye ndo imara na bora zaidiAlikuwa anashindana na nani,kama si kupita bila kupingwa
Maalim kajisahau na yeye kuwa anagombea Zenji au kaweka mpira kwapani tayari? Vp mgombea wa Chama Chake The. BenadMambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.
Hii ngoma bado mbichi sana.
On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.
Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!
Kuongezwa? Kukurupuka na roho yako ya kishetani unaongea lugha ya kuzimuNchi inaenda kuongezwa na mlemavu....
😂😂😂😂Bado mama Tanzania
Uchaguzi wa 2015 vibaraka wa Lowasa waliiba kura za JPM.lakini bado Chadema mliangukia pua.
Yani wewe kama kusoma tu Jina Azizi umeshindwa na kutofautisha kati ya Azizi na Aziza umeshindwa, kweli mtaweza kuisoma mikataba yenye maslahi ya nchi, ama kweli upinzani uwezo wa kuiongoza Tanzania hamna.Aziza binti yangu, nisikilize
Nakushauri jikite kwa mpalange
labda lowassa aliyemwachia Mungu, siyo huyu wa sasa hiv aisee...mmeshashtukiwaNdio
Tena tunaweza kumpoteza hata huyo mgombea wenu
This time "The Hague" wanafatilia matukio yooote kwa karibu sana!
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.
Hii ngoma bado mbichi sana.
On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.
Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!
Goliath alivyomuona Daud alimuona hawezi kupambana hata na unyoya wa mguu wake matokeo yake alipigwa na kijana mdogo ambae hakuna alieamni kilichotokea, Na wewe unaelindwa na mitutu na mwenye uwezo wa kifedha usimchukulie Lissu kama mtu dhaifu Lissu atakuangusha na hutaamini Ni yeyeLISSU hana sifa hata moja ya kuongoza Tanzania. Watu waliolewa amani tu ndo wanaweza kumchagua.
Zako ngapi?
Wale vilaza wa Lumumba hawajui hesabu mkuuCcm washapanick, mpaka wakatoa takwimu zao za utafiti lkn ukijumlisha jumla yake inazidi 100%.
Na husiombe gegerea akushike korodani ukiwa ndani ya maji ukiogerea, mtu mzima lzm ulie kama mtoto.
Jiwe anaonekana dhahiri somo la uraia lilimpita pembeni.. haelewi kabisa suala zima la ‘Urais ni nini’? Yani kiuwazi kabisa anafikiri kuwa Rais ni kuwa mtoa amri hovyo hovyo tena kiudhalilishaji, kuwa mtu aliyekunja kunja sura saa zote na kuswagaswaga watumishi wake, kuumbua au kusemesha viongozi wengine hovyo mbele za kadamnasi, wananchi kuwatisha huku amenyanyua kidevu kile! Kichwa kile kinashida mno mno.
#KuraKwaLissuKulaKwaJiwe
CHONDE CHONDE WANACCM WENZANGU TUMUUNGE MKONO LISSU, KURA NI SIRI. TUSIJICHANGANYE KUMCHAGUA JIN MAKATA TWAFWAÀAA
Goliath alivyomuona Daud alimuona hawezi kupambana hata na unyoya wa mguu wake matokeo yake alipigwa na kijana mdogo ambae hakuna alieamni kilichotokea, Na wewe unaelindwa na mitutu na mwenye uwezo wa kifedha usimchukulie Lissu kama mtu dhaifu Lissu atakuangusha na hutaamini Ni yeye
Atayeiba kura ya Lissu tutamfilimba mchana kweupeeeee