ACT Wazalendo wapendekeza suluhisho la kukabiliana na uhaba wa mafuta, CHADEMA wanazunguka kulaumu

ACT Wazalendo wapendekeza suluhisho la kukabiliana na uhaba wa mafuta, CHADEMA wanazunguka kulaumu

Hawawezi kusikilizwa. Mfano ni ishu ya mkataba wa Bandari, CHADEMA wanapendekeza upitiwe upya, CCM na Serikali wanazunguka mikoani kusema kwamba ni mzuri na utatunufaisha. Kama wapinzani wanapendekeza lakini serikali inaongea tofauti na kinachopendekezwa, utaendelea kupendekeza?
achana na huyo mpumbavu wa makuwadi ya warabu ya dpworld.
 
CHADEMA ni wahuni tu wanafurahisha watu wenye stress zao. Watu wameshindwa kujenga hata kaofisi yao wamepanga nyumba ambayo hata mtu anayejipenda hawezi kupangisha. Ile nyumba ni aibu kuiita makao makuu ya CHADEMA. Hakuna kitu pale wale ni wehu flani tu wanaotafuta namna ya kupata mlo wao. hATA WAO WANAJUA HAWATAKAA WASHIKE DOLA.
Uko sahihi kwa CDM kukosa ofisi, hata hivyo CCM hawana lolote la kujisifia maana wanamiliki majengo ya urithi. Pale mwenye nyumba ya urithi anapomkeli asiye na nyumba.
 
Kwahiyo ACT ni chsma cha kushauri watawala, washauri wa rais wafanye kazi gani sasa
Chadema hawaelewi maana ya upinzani ni nini

Upinzani ni kuwa na mawazo mbadala ya ku solve issue ile yenye changamoto

Chadema hawana mawazo mbadala wao ni kusubiri CCM ichemke wao wapinge wajinga sana

Ndio.maans hawana sera zao zinazoeleweka kwa wananchi

Chadema kukiita chama cha upinzani sio sahihi.ACT ni sahihi sababu kinakuwa na mawazo mbadala ya nini cha kufanya kupata solution ya kutatua tatizo kuliko.mawazo ya chama tawala
 
ukiona zitto kabwe kachangia mada yoyote yenye kukosoa serikali , jua kuwa hiyo kitu imejadiliwa na zitto na TISS , jua ni sehemu ya spinning ya ccm, zitto hawawezi kumchafua MAKAMBA
Heri kuongozwa na waarabu wa Dubai
Na mtakoma mamaeee naona sindano za uso za Chadema zimeingia uzuri mpka mnawapangia sasa cha kushauri.
Ninyi mlivyo honga bandari za Tanganyika kwa wajomba zenu mlishauriana na Chadema?
 
Chadema wajinga sana, Ndo maana ACT ina wanachama wengi baada ya CCM - wacha wote tuwe vichaa kama wewe
 
Nimewahi kuandika na narudia kuandika kwamba wanaojiita Wapinzani Wakuu ambao wanataka Kuchukua Dola zaidi ya kulaumu,kutukana na kutoa mifano ya Nchi za Ulaya umewahi wasikia wakija na njia ya utatuzi wa Changamoto yeyote kwenye jamii?

CHADEMA ni chama cha wahuni wasiojitambua, wana mengi sana ya kujifunza kutoka ACT Wazalendo kuanzia kujadiki hoja, kupendeleza njia mbadala na kuonesha njia.

Hata kwenye sakata la Bandari ACT Wazalendo walikuwa na pendekezo lao ila CHADEMA kama kawaida kulaumu harafu ukiwauliza wao wakupe utatuzi hawana majibu 😂😂

Hongera sana ACT Kwa kuonesha njia na maana ya Upinzani, Serikali pitieni pendekezo hili mchujue yenye shida.

In response to the fuel price hike, ACT Wazalendo, in a statement issued yesterday signed by Energy sector spokesperson Is-haka Mchinjita, and Finance and Economy section spokesperson Ester Thomas, has called on the government to adopt renewable energy as a solution.

The party proposed that all government vehicles should start using natural gas (CNG) to reduce the reliance on foreign currency for fuel imports, potentially saving the government around Sh500 billion annually.
The Citizen

My Take
Ogopeni vyama vya matapeli wanaotumia kila mbinu waingie madarakani.

Hiyo nayo si miisiramu tu. petololi watatuletea wazungu.
 
Nimewahi kuandika na narudia kuandika kwamba wanaojiita Wapinzani Wakuu ambao wanataka Kuchukua Dola zaidi ya kulaumu,kutukana na kutoa mifano ya Nchi za Ulaya umewahi wasikia wakija na njia ya utatuzi wa Changamoto yeyote kwenye jamii?

CHADEMA ni chama cha wahuni wasiojitambua, wana mengi sana ya kujifunza kutoka ACT Wazalendo kuanzia kujadiki hoja, kupendeleza njia mbadala na kuonesha njia.

Hata kwenye sakata la Bandari ACT Wazalendo walikuwa na pendekezo lao ila CHADEMA kama kawaida kulaumu harafu ukiwauliza wao wakupe utatuzi hawana majibu 😂😂

Hongera sana ACT Kwa kuonesha njia na maana ya Upinzani, Serikali pitieni pendekezo hili mchujue yenye shida.

In response to the fuel price hike, ACT Wazalendo, in a statement issued yesterday signed by Energy sector spokesperson Is-haka Mchinjita, and Finance and Economy section spokesperson Ester Thomas, has called on the government to adopt renewable energy as a solution.

The party proposed that all government vehicles should start using natural gas (CNG) to reduce the reliance on foreign currency for fuel imports, potentially saving the government around Sh500 billion annually.
The Citizen

My Take
Ogopeni vyama vya matapeli wanaotumia kila mbinu waingie madarakani.

Sawa nakubaliana na wewe lakini kwa starting moja ambalo ni la kunionyesha kipengele cha majukumu ya chama cha upinzani dhidi ya serikali.
 
Nimewahi kuandika na narudia kuandika kwamba wanaojiita Wapinzani Wakuu ambao wanataka Kuchukua Dola zaidi ya kulaumu,kutukana na kutoa mifano ya Nchi za Ulaya umewahi wasikia wakija na njia ya utatuzi wa Changamoto yeyote kwenye jamii?

CHADEMA ni chama cha wahuni wasiojitambua, wana mengi sana ya kujifunza kutoka ACT Wazalendo kuanzia kujadiki hoja, kupendeleza njia mbadala na kuonesha njia.

Hata kwenye sakata la Bandari ACT Wazalendo walikuwa na pendekezo lao ila CHADEMA kama kawaida kulaumu harafu ukiwauliza wao wakupe utatuzi hawana majibu 😂😂

Hongera sana ACT Kwa kuonesha njia na maana ya Upinzani, Serikali pitieni pendekezo hili mchujue yenye shida.

In response to the fuel price hike, ACT Wazalendo, in a statement issued yesterday signed by Energy sector spokesperson Is-haka Mchinjita, and Finance and Economy section spokesperson Ester Thomas, has called on the government to adopt renewable energy as a solution.

The party proposed that all government vehicles should start using natural gas (CNG) to reduce the reliance on foreign currency for fuel imports, potentially saving the government around Sh500 billion annually.
The Citizen

My Take
Ogopeni vyama vya matapeli wanaotumia kila mbinu waingie madarakani.

Kwa hiyo ACT ni wapinzani wazuri?.
 
Hiyo nayo si miisiramu tu. petololi watatuletea wazungu.
Kumbe shida ni udini 😂😂

Upunguani wenu wa kushinda kanisani inafaida gani Kwa Nchi? Yaani wewe kukemea mapepo Mimi najufaikaje?
 
Kumbe shida ni udini 😂😂

Upunguani wenu wa kushinda kanisani inafaida gani Kwa Nchi? Yaani wewe kukemea mapepo Mimi najufaikaje?
Nyiny waisiramu ndio mipepo yenyewe, mipesa yote miisiramu, sasa na banadali zote za tanzania ziwe za miisiramu? hatutaki.

Kanisa retu rina wasomi, tunaweza kuendesha, tuna msomi wetu Anna Tibaijuka apewe bandali muone kama hajaiendesha.

cc Mama Amon
Anna Tibaijuka
 
Uhaba wa mafuta muusababishe nyinyi, halafu uwalaumu chadema kwa kusema kuwa kuna uhaba wa mafuta? Hizi ni akili matope.
Chadema siyo sehemu ya serikali, ni chama cha upinzani; ACT ni sehemu ya serikali kule kwao, kwa hiyo ni sawa kabisa kutoa mawazo ya kuondoa tatizo.
 
Zito sio mpinzani.
Siasa za upinzani lazima kupinga Ili rival wako ashindwe Ili wewe unayepinga utawale.Ndo siasa
 
Chadema hawaelewi maana ya upinzani ni nini

Upinzani ni kuwa na mawazo mbadala ya ku solve issue ile yenye changamoto

Chadema hawana mawazo mbadala wao ni kusubiri CCM ichemke wao wapinge wajinga sana

Ndio.maans hawana sera zao zinazoeleweka kwa wananchi

Chadema kukiita chama cha upinzani sio sahihi.ACT ni sahihi sababu kinakuwa na mawazo mbadala ya nini cha kufanya kupata solution ya kutatua tatizo kuliko.mawazo ya chama tawala
Ukiona chama Cha upinzani kinasifiwa na CCM shtuka haraka.
 
Nimewahi kuandika na narudia kuandika kwamba wanaojiita Wapinzani Wakuu ambao wanataka Kuchukua Dola zaidi ya kulaumu,kutukana na kutoa mifano ya Nchi za Ulaya umewahi wasikia wakija na njia ya utatuzi wa Changamoto yeyote kwenye jamii?

CHADEMA ni chama cha wahuni wasiojitambua, wana mengi sana ya kujifunza kutoka ACT Wazalendo kuanzia kujadiki hoja, kupendeleza njia mbadala na kuonesha njia.

Hata kwenye sakata la Bandari ACT Wazalendo walikuwa na pendekezo lao ila CHADEMA kama kawaida kulaumu harafu ukiwauliza wao wakupe utatuzi hawana majibu 😂😂

Hongera sana ACT Kwa kuonesha njia na maana ya Upinzani, Serikali pitieni pendekezo hili mchujue yenye shida.

In response to the fuel price hike, ACT Wazalendo, in a statement issued yesterday signed by Energy sector spokesperson Is-haka Mchinjita, and Finance and Economy section spokesperson Ester Thomas, has called on the government to adopt renewable energy as a solution.

The party proposed that all government vehicles should start using natural gas (CNG) to reduce the reliance on foreign currency for fuel imports, potentially saving the government around Sh500 billion annually.
The Citizen

My Take
Ogopeni vyama vya matapeli wanaotumia kila mbinu waingie madarakani.

CCM wanaitambua Chadema kama wapinzani halisi....
 
Chama Cha upinzani ni kimoja tu CHADEMA wengine wasaka fursa
 
Back
Top Bottom