..Nawaunga mkono.

..Ccm haiheshimu mawazo na michango ya wapinzani.
Kikatiba Rais wa Zanzibar hapaswi kufuata ushauri wa mtu yoyote, ila atasikia ushauri, kuufuata na kuutoufuta ni juu yake hashinikizwi kisheria kabla ya kutoka wangepigana kunabadilisha hilo kwamba Rais awe anaufuata ushauri
 
Thubutu....Nani hataki nafuu ya maisha
 
Wana huo UBAVU
 
Tukubali afrika hakuna upinzani bali kuna wapigania fulsa ACT wanataka kujitoa kwenye serekali ya umoja wa kitaifa kabla ya mwaka mmoja wa uchaguzi hiki ni kichekesho na kutafuta kick

Kwanini wasijitoe mwaka 2021, 2022 au 2023 wasifanye watu wajinga Tanzania hatuna upinzani na hii imeonyesha usanii wa zitto kabwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…