Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Vizuri, lazima uwe flexible ukitaka kusurvive katika mazingira haya ya kisiasaWanajiunga.
ACT watakaa kupendekeza jina moja atakae kuwa makamo wa kwanza wa Rais Zanzibar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri, lazima uwe flexible ukitaka kusurvive katika mazingira haya ya kisiasaWanajiunga.
ACT watakaa kupendekeza jina moja atakae kuwa makamo wa kwanza wa Rais Zanzibar.
Kabisa, kukaza sana sio poa.Vizuri,,lazima uwe flexible ukitaka kusurvive katika mazingira haya ya kisiasa
Mkakati haukosewi mkuu!Membe alikuwepo?Mshauri wenu. Yaani mlikosea sana kumpokea Membe.
Zitto anaendelea na tabia zake za opportunist, chance yoyote itayotokea mbele yake anaitumia tu....
Kila la heri CHADEMA, ICC mnaenda lini?ACT Zanzibar wametepeta.
Makumi ya waliouawa Zanzibar
Wizi wa kutisha wa kura huko Zanzibar...
ACT Zanzibar wametepeta.
Makumi ya waliouawa Zanzibar
Wizi wa jutisha wa kura huko Zanzibar....
MkuuACT Zanzibar wametepeta.
Makumi ya waliouawa Zanzibar...
Mkuu
Bahati mbaya umechelewa kufikia hitimisho. Hivi "vyama vya upinzani" lengo lao ni kuisaidia CCM ibaki madarakani. Basi!
Hawa wapinzani nimeamini hawama principles, ni watu wa kupelekwapelekwa na njaa.
Wakiminywa kidogo njaa ikawauma, wanajipeleka wenyewe kama wasenge
Shariff ndiye anajua kucheza na wakati, muda na umri umemtupa mkono. Nafuu amalizie usitafu akiwa makamo wa Kwanza wa Rais.Zitto anajua kucheza na alama za nyakati.
Mkuu kwako wewe vurugu na mauaji ni furaha, unadhani hoja ya ICC ni tishio kwa utawala huu ulio imara kuliko hapo awali?ACT Zanzibar wametepeta.
Makumi ya waliouawa Zanzibar
Wizi wa jutisha wa kura huko Zanzibar....
Mlitaka akatae kwa faida ya nani?Zitto anaendelea na tabia zake za opportunist, chance yoyote itayotokea mbele yake anaitumia tu...