ACT-Wazalendo yaridhia kushiriki kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar na Vyombo vya Uwakilishi

ACT-Wazalendo yaridhia kushiriki kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar na Vyombo vya Uwakilishi

Hawa wapinzani nimeamini hawama principles, ni watu wa kupelekwapelekwa na njaa.
Wakiminywa kidogo njaa ikawauma, wanajipeleka wenyewe kama wasenge

Missile AKILI nyingi vipi tena?!!🤣🤣

Yaani kwa uwezo wako mkubwa wa kufikiri...hilo la UPINZANI legelege ndio UNALIONA LEO ?!!!🤣🤣

Relaaaaax....

Maendeleo hayana vyama.

Kudos JPM.
 
Ok naona ACT wameamua kufanya ujinga wa karne kushiriki serikali iliyojaa damu bila kujali madhila ya waliouawa, pigwa, teswa ,fungwa, bambikiwa kesi na 2025 watashiriki uchaguzi mkuu bila tume huru na katiba mpya. CHADEMA msifuate huu ujinga.

Nimeamini leo kuwa Maalim Seif ni afisa kipeuo, ndio maana aliiba na nyaraka za Abdul Jumbe akampelekea mzee Nyerere. Wananchi wasimuamini Tena yeye na ACT na Chadema wakifanya hivyo tusiwaamini tena, njaa mbaya sana ndio maana Pascal Njaa kaamua kujitoa ufahamu.
 
Zitto anaendelea na tabia zake za opportunist, chance yoyote itayotokea mbele yake anaitumia tu...
Wewe unamkomalia Zitto wakati CHADEMA imekufa! Ungeonyesha busara kushauri namna gani chama chenu kianze moja kutafuta imani kwa wananchi. Na sidhani kama kitapata nguvu kama kipindi Dk Slaa ni Katibu mkuu.
 
Ok naona Act wameamua kufanya ujinga wa karne kushiriki serikali iliyojaa damu , bila kujali madhira ya waliouwawa , pigwa , teswa , fungwa , bambikiwa kesi na 2025 watashiriki uchaguzi mkuu bila tume huru na katiba mpya . Chadema msifuate huu ujinga . Nimeamini leo kuwa Maalim Seif Ni afisa kipeuo , ndio maana aliiba na nyaraka za Abdul Jumbe akampelekea mzee Nyerere . Wananchi wasimuamini Tena yeye na Act na Chadema wakifanya hivyo tusiwaamini tena , njaa mbaya sana ndio maana Pascal Njaa kaamua kujitoa ufahamu .

pata castle lite baridi apo nakuja kulipa
 
Zitto anaendelea na tabia zake za opportunist, chance yoyote itayotokea mbele yake anaitumia tu.

Alijaribu karata ya Membe ikagoma, sasa kaona aje na hii mpya, sidhani kama hii ni njia nzuri ya kukijenga chama chake.

Vyema sasa azunguke huko mikoani kukitangaza chama chake, hii tabia ya kusubiri matukio yakitangaze chama itamchelewesha kama sio kumpoteza kabisa.

Mnawalaumu viongozi wenu bure tu, andamaneni hamtaki! changieni hamtaki, pesa zimejileta mbele mnataka wakatae ivi mna akili kweli nyie
 
Ok naona Act wameamua kufanya ujinga wa karne kushiriki serikali iliyojaa damu , bila kujali madhira ya waliouwawa , pigwa , teswa , fungwa , bambikiwa kesi na 2025 watashiriki uchaguzi mkuu bila tume huru na katiba mpya . Chadema msifuate huu ujinga . Nimeamini leo kuwa Maalim Seif Ni afisa kipeuo , ndio maana aliiba na nyaraka za Abdul Jumbe akampelekea mzee Nyerere . Wananchi wasimuamini Tena yeye na Act na Chadema wakifanya hivyo tusiwaamini tena , njaa mbaya sana ndio maana Pascal Njaa kaamua kujitoa ufahamu .

Wameweka mbele njaa kuliko principle

Wao ndiyo waliotutangazia jinsi kura zilivyoibiwa huko Zenji.

Wakatutangazia jinsi Mwinyi alivyo kibaraka wa Tanganyika
Wakatutangazia jinsi walivyopeleka mashitaka ICC

Lakini leo, wale waliowashitaki ICC ndo wanakwenda kuwa wadau wao wa kufanya nao kazi (Serikali ya JMT)

Kiufupi, ACT hawana moral authority ya kuzungumzia masuala ya haki nchini maana wao wanaendorse dhulma na kufanya nayo kazi
 
ADO SHAIBU: Kamati kuu ilikutana jana jijini Dar es Saalam Tarehe 5 Disemba katika hoteli ya Onomo ambayo iko Posta kwa ajili ya kutafakari hali ya kisiasa inayoendelewa nchini kwetu...
ACT-WAZALENDO NI OPPORTUNISTIC INFECTIONS, SASA TUWASIKIE MNALALAMIKA KUWA MLIIBIWA KURA, UCHAGUZI HAKUWA WA HAKI ETC.
 
Ismail Jussa ameumizwa, Mazrui alitekwa mara mbili, baadhi ya viongozi na wananchi wamekufa na kujeruhiwa kutokana na huu uchaguzi haramu halafu eti mnaungana na watesi wenu kwa ajili ya maslai ya watu wachache! Maalim Seif, wewe mwenyewe ulisimamishwa kufanya kampeni kwa siku 5. ACT mmeshakuwa mamluki hampo kwa ajili ya wazanzibari na watanzania bara.
 
Ok naona ACT wameamua kufanya ujinga wa karne kushiriki serikali iliyojaa damu bila kujali madhila ya waliouawa, pigwa, teswa ,fungwa, bambikiwa kesi na 2025 watashiriki uchaguzi mkuu bila tume huru na katiba mpya. CHADEMA msifuate huu ujinga...
Kanunue gazeti la jero ujipepelee
 
ADO SHAIBU: Kamati kuu ilikutana jana jijini Dar es Saalam Tarehe 5 Disemba katika hoteli ya Onomo ambayo iko Posta kwa ajili ya kutafakari hali ya kisiasa inayoendelewa nchini kwetu....
ACT kwa mtazamo wangu na maoni yangu ni kwamba.

Au...Mmeangalia maslahi mapana ya Chama chenu kuliko maslahi mapana ya ustawi wa demokrasia na damu,jasho walilomwaga Watu kwaajili ya kutafuta Ukombozi wa Demokrasia,Utawala wa Sheria,Tume Huru na Uchaguzi unaofata Haki na Msingi ya KATIBA.

Au....Kuna baadhi ya Viongozi wenu wamechagua matumbo yao kuliko chochote kwenye hii Dunia.Nasema haya kwasababu wakati mnatoa msimamo wa Chama chenu mlitoa sababu kwanini hamuutambui Uchaguzi na mkatoa na ripoti yenu inayoelezea vizuri namna Uchaguzi ulivyoharibiwa Zanzibar.

Maoni yangu
 
Back
Top Bottom