ACT Zanzibar wametepeta.
Makumi ya waliouawa Zanzibar
Wizi wa jutisha wa kura huko Zanzibar
Mashitaka ICC hayana tena nguvu
ACT imewatupa wananchi wa Zanzibar chini ya basi
ACT wamekosa msimamo thabiti wameenda kukaa na madhalimu katika meza ya ulaji.
Hakuna chama tena hapo ni chama maslahi.
Zitto Pole sana, hamna credibility tena ya kuzungumzia uchaguzi huru na haki kwa sababu mko radhi kula matunda ya uchaguzi usiyo wa haki.
Kiufupi ACT haina ajenda kuelekea 2025
Nawaomba Chadema wasigeuke jiwe, wakaze tutawaheshimu zaidi, na Chadema itaimarika zaidi.
Ni kuhadaa umma kudai eti ACT imesikiiza maoni ya wanachama wake, kiufupi ni kuwa akina maalim walikuwa wanataka kusikia wanachotaka kuambiwa maana wangekuwa na msimamo wasingeuliza kama nao wakale kilicho haramu au la!
Leo ACT kwangu mimi imekuwa CCM B