Ngwanashigi Gagaga
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 434
- 302
Hongera ACT Wazalendo, mmeonyesha uzalendo wenu! Uchaguzi umekwisha, matokeo yalishatangazwa, pamoja tujenge Nchi yetu!Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!.
Hatimaye ACT Wazalendo sasa wamekubali matokeo, sio tuu watapokea kidogo walichopata, bali pia wata wa join them kwenye kuunda SUK.
Hongera sana ACT, hizi ndio siasa za kweli.
P
Nikapewa zile karatasi....
Nikajongea katika KITUTURU..kalamu mkononi...
Chadema nao wakae na JPM kisha wakubali kumsaidia kurudisha uhusiano wa kimataifa, TL ampe maelekezo Wakili asitishe mambo ya AICC na kumtakia kila la heri JPM, JPM atumie nafasi hii kurudisha umoja wa kitaifa na ushirikiano baina yake na wapinzani. TL awe wakala wa kuwaleta wafadhili,watalii,wawekezaji nchini akiwa huko nje, JPM aboreshe Sera ya uwekezaji na awasaidie sekta binafsi kukuza mitaji na kuinuka tena. Baada ya miaka 5 TL arudi kugombea nafasi ya uraisi. Hata Akishindwa, Tanzania itaheshimika sana.
PESA ZA WAZUNGU NA MISAADA YAO BADO TUNAITAKA SANA TU. ILA ILI WASITUUMIZE INATUPASA KUSHIKAMANA NA TUSINYANYASANE.
QCT washamaliza mchezo wote.Matangazo ya moja kwa moja
Tunawapongeza kwa kufanya Uamuzi wa hekima
Sote ni Ndugu na tunajenga nyumba moja
Sasa ni Wakati wa kuchapa Kazi kwa Wazanzibar na Watanzania wote
Huu sasa ndio uamuzi wa busara, sio kususa tuu bila mpango.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani, if you can't get what you want, just take what you get!, and if you can't beat them, join them!...
Membe alishasepa zake.Membe alikuwepo? Mshauri wenu. Yaani mlikosea sana kumpokea Membe.
Maamuzi ya chama yaheshimiwe na kila mtu kwa kuwa ni ya kikatiba. Hata maamuzi ya Chadema kutokushiriki bunge la JMT ni sahihi pia. Ndugai na wenzake wasishurutishe.
Watapiga kura wengine. Kwani hata mwaka huu umepiga kura? Acha kuwasemea watz mkuu!
Kama ilivyo Chadema.
Siasa waachieni wanasiasa mkiziingilia mwaweza kufa huku mkiacha watu wanatafuna bata, toeni mfano kwa hili, znbr wamekufa watu kibao kisa siasa mwisho wa siku wanasiasa wanaungana kula bata kwa pamoja.ADO SHAIBU: Kamati kuu ilikutana jana jijini Dar es Saalam Tarehe 5 Disemba katika hoteli ya Onomo ambayo iko Posta kwa ajili ya kutafakari hali ya kisiasa inayoendelewa nchini kwetu...
Magu hana siasa za hivyo, na hakuna kitu kama hicho kutokeaThubutu!
Ngoja Mbowe ateuliwe kuwa mbunge ndio utaamini bwashee!
Membe alikuwepo? Mshauri wenu. Yaani mlikosea sana kumpokea Membe.
Ushauri wako ww ni upi ili usimdharau?Tundu Lisu akifuata huu ushauri wako mfu, na yeye tutamdharau kama tunavyowadharau wasaka mlo wengine.
Kama kawaida yenu vibaraka wa CCM mnaendeleza usaliti kwa wapiga kura wenu.ADO SHAIBU: Kamati kuu ilikutana jana jijini Dar es Saalam Tarehe 5 Disemba katika hoteli ya Onomo ambayo iko Posta kwa ajili ya kutafakari hali ya kisiasa inayoendelewa nchini kwetu....
Tumeshawazoea!
Maalim yeye anapambana na umri wake na hivyo hawezi kubali kuwachia nafasi ya makamu wa raisIla Kama ACT mnaamini Maarif Seif ni mpinzani kwa CCM mnapoteza muda muulizeni alifata nn ikulu ya Tanganyika kuongea nn na Magufuri.
Tulisema sana hapa jukwaani juu ya Zitto kuwa ni wakala wa watawalaZitto anajua kucheza na alama za nyakati.