Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hili baraza limetulinda sana sisi wa huku maeneo ya rubondoHii habari imefunikwa na mjadala kuhusu dini na ukabila kwenye uteuzi wa BARAZA LA MAWAZRI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili baraza limetulinda sana sisi wa huku maeneo ya rubondoHii habari imefunikwa na mjadala kuhusu dini na ukabila kwenye uteuzi wa BARAZA LA MAWAZRI
Wala sitaki kujua, ila wakosee tu watambue uwepo wa hao wahuni bungeni. Itakapofika wakati wa uchaguzi wawaombe wanaccm wajitokeze kuwaunga mkono, lakini kura zetu wazisahau rasmi. Sasa hivi wenye maamuzi ni sisi wapiga kura, na sio wao. Na uwezo wa kushawishi watu wasipige kura tunao.Hujui kinachoendelea ndani ya Chadema!
Mbowe atabariki muda si mrefu wabunge wakeIle price tag ya Lowassa kwa Mbowe ilikua bahati mbaya tu.
Kwa sasa Mbowe ni mkate mgumu bwashee.
Asishirikiane na wamwaga damu na wezi wa kura.Ushauri wako ww ni upi ili usimdharau?
Na kusaidia serikali kupata hela za mabeberu kupitia mgongo wa demokrasia
Asishirikiane nao kuwasaidia watanzania kurejesha umoja wa kitaifa, kukuza sekta binafsi na uwekezaji kwa ajili ya watanzania aliotaka kuwaongoza? Kwani ana hasira na Watz!?Asishirikiane na wamwaga damu na wezi wa kura.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wakati alikuwa ana mshabikia Membe, sijui alifikiri urais ni sawa na umonitor?jamaa anajikutaga mzee wa busara, anapanga mipango kuliko chama chenyewe saaahv kabaki solemba
Zito alisha saliti CHADEMA enzi hizo, kutaka uenyekiti wa Mbowe, si mtu wa kumwamini. Kwa hili mimi sioni ajabu maana Zito ana historia ya usaliti!Kufuatia uamuzi was chama Cha Act Wazalendo kukubali kushiriki serikali ya mapinduzi Zanzibar huku wakijua kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki , huku wakijua kuna watu wameuawawa , kupigwa , kuteswa, kufungwa...
Ahaaa.. Mkuu acha vituko!Wala sitaki kujua, ila wakosee tu watambue uwepo wa hao wahuni bungeni. Itakapofika wakati wa uchaguzi wawaombe wanaccm wajitokeze kuwaunga mkono, lakini kura zetu wasisahau rasmi. Sasa hivi wenye maamuzi ni sisi wapiga kura, na sio wao. Na uwezo wa kushawishi watu wasipige kura tunao.
Haya sasa. Tuone na lile povu la covid19 lipi ZitoADO SHAIBU: Kamati kuu ilikutana jana jijini Dar es Saalam Tarehe 5 Disemba katika hoteli ya Onomo ambayo iko Posta kwa ajili ya kutafakari hali ya kisiasa inayoendelewa nchini kwetu...
Kwanini awe msaliti.....kwani mwenye haki ya kuwa mwenyekiti CHADEMA NI MBOWE pekee yake...!?Zito alisha saliti CDM enzi hizo, kutaka uenyekiti wa Mbowe, si mtu wa kumwamini. Kwa hili mimi sioni ajabu maana Zito ana historia ya usaliti!