Active Member JF

Yeah.. jamaa ni HB body lipo tabasamu he's gentle. Wakenya kwa rangi zao na lips I salute them.

Amesoma hapa tz tena hapo Tanganyika.
Yani I wish ajue nampenda.[emoji119][emoji119][emoji119]
 
hahahaha
asee hebu andaeni tuzo bas tupewe watu wa online kila muda.
sema wengine ndio kazini hapa jf
 
Ahaa ok.. Ila hapo kwenye 'nakuona ngekechiioo'.. Nadhani ingesomeka' ngakuona ngekechiioo '... Hahahaa pamoja sana..!!
Ngawarima na iyooo, chaaaa, shindo shi kwafinda shekaandika shindo shiingi.

hahahahahahha wasungu weamba typo error.

thanks Mkuu
 
Ngoja niingie mgahawani kidogo nipate japo chakula, nikishiba nitacomment baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…