Haya Matangazo ya Kuclick post yanakudirect kwingne ndo ad cash, kama ndo yenyewe hamna kitu apo, kwa Usumbufu kwa msomaji,
Nataka kuset muonekano wa picha maana hazionekani vizuri kwa baadhi ya browser itabidi nichange themes
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Bora ukomae kuomba adsence utii masharti yao, ule maisha, izo ad network nyingine michoshoNimekubali kushidwa nimeachana nao
Hua yanasumbua pia hua unapoteza wasomaji banners na inpage push ndio bora zaidiHaya Matangazo ya Kuclick post yanakudirect kwingne ndo ad cash, kama ndo yenyewe hamna kitu apo, kwa Usumbufu kwa msomaji,
Me nimewalenga wabongo wao wanataka kizungu shida tupuBora ukomae kuomba adsence utii masharti yao, ule maisha, izo ad network nyingine michosho
Mbona sisi tumetarget wabongo hao hao na tunaweka kingereza na tuko adsencsMe nimewalenga wabongo wao wanataka kizungu shida tupu
Hapo mwendo wa EnglishNimekubali kushidwa nimeachana nao
Hapa saivi nimeweka adsterra na propeller ads kwa pamoja tuHapo mwendo wa English
Nicheki inbox mkuuHapa saivi nimeweka adsterra na propeller ads kwa pamoja tu
Ndio maana mimi siwaaminiaminiAdsense account ya nayo nilichapwa umeme 2017View attachment 2102431
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Domain Tsh3000 inakushinda?Adsterra si inachukua muda Sana kulipa nayo? Sema propeller wapo Bomba japo siwaelewi hawataki subdomain blogs na wengine kulipa domain kisanga
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Karibu uweke kambiHuu uzi unanifaa sana.
Okay, ngoja nikomae naoWanalipa kwa CPM kwa popunder tu ila ads nyigne ni CPA
Yanaboa ila ukienda hata website za kudownload movies na blogs za nje hili kitu lazima ukutane nayo.Haya Matangazo ya Kuclick post yanakudirect kwingne ndo ad cash, kama ndo yenyewe hamna kitu apo, kwa Usumbufu kwa msomaji,
Hivi nikitumia email mpya adsense wanaweza nikubalia, mkuu au ndo sintokubaliwa tena maana walishawahi niblock miaka4 iliyopita,Mbona sisi tumetarget wabongo hao hao na tunaweka kingereza na tuko adsencs
Kwa muda Gani mkuu maana huwa nakuta bei juu zaidi ya hiyo , maana Kuna malipo kila mwaka sijui kwa mwezi hata sielewiDomain Tsh3000 inakushinda?
Wanakubali vizur tu, watu tuna account ata tatuHivi nikitumia email mpya adsense wanaweza nikubalia, mkuu au ndo sintokubaliwa tena maana walishawahi niblock miaka4 iliyopita,
Ila miaka ya mwanzoni daah nilifaidi Sana adsense baada ya kurudisha kwa kiswahili yakanikuta mabaya
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
View attachment 2104727View attachment 2104728
Itabidi nifanye mchakatoWanakubali vizur tu, watu tuna account ata tatu
ni offer ya mwaka mmoja GODADYKwa muda Gani mkuu maana huwa nakuta bei juu zaidi ya hiyo , maana Kuna malipo kila mwaka sijui kwa mwezi hata sielewi
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Ad cash ela zinapoteaAdcash me nawaelewa sema ukiwa unatumia poppunder ndo wanalipa fresh